Wamarekani weusi waathirika zaidi na virusi vya Covid19 tofauti na wenye rangi nyeupe

Wamarekani weusi waathirika zaidi na virusi vya Covid19 tofauti na wenye rangi nyeupe

Ila wote wapo katika kundi la black Americans ....sijawahi sikia race ya black Indians US
Sijskusudia kwamba black indian wako america

Nimekusudia kua sio kila mweusi ni muafrica na kwamba kwasababu hiyo basi anavidhibiti imara dhidi ya corona
 
Sijskusudia kwamba black indian wako america

Nimekusudia kua sio kila mweusi ni muafrica na kwamba kwasababu hiyo basi anavidhibiti imara dhidi ya corona
Hapo umeeleweka..,japo point yangu haikuwa hapo... Ndo maana basi hatukuelewana.
 
Hii kitu haichagui, yenyewe inapitia wote tu bila kujali kabila, utaifa, rangi n.k..ona vile Miblack America inakufa kama sisimizi ukilinganisha na mibeberu wametofautiana kidogo.
 
Badili kichwa cha habari. ....WAMAREKANI WEUSI WENYE MARADHI MENGINE SUGU YASIYOAMBUKIZWA WANAATHIRIKA ZAIDI...
hata waliofariki Africa wote walikuwa na maradhi covid ikamalizia.
 
Kiufupi corona inaweza kummaliza yeyote , utofauti nikwamba corona huku Africa hatuna interaction yawatu kutoka nje ya nchi nakuingia kwa kiwango kikubwa.
 
Maafisa wa Afya hapo awali walieleza kuwa wakaazi wengi wa New Orleans wanakabiliwa na matatizo ya unene wa kupitiliza, kisukari na presha ya kupanda kwa kiwango cha juu zaidi nchini Marekani hali inayowafanya kuwa rahisi kudhurika zaidi na Covid-19.

Hiki kipande nilicho bold ni nukuu niliyoitoa hapo kwenye hiyo post yako, ilitakiwa kiwe kichwa cha habari. Vinginevyo unaweza kuwachanganya wadau wakajua kua mwafrika anakufa kwa corona

Mtu kama chris brown, rihana, willsmith nk hao wengi wao wana genes za uzungu na ndo kinacho wakostisha
Sio kweli African Americans wengi ni masihara na wasiojali maelekezo wanayopewa, yaan wengi walikataa shule ni vilaza

Na wanavyosema Africa Americans ina include biracial Kama Joe Cole na wengineo
 
Uimara unafifia pale ambapo genes za uzungu zinakua zipo kwa kiasi kikubwa kuliko genes za u-nigga

Lakini licha hata ya hivyo lakini bado victim waliokufa ni wale wale ambao wanamagonjwa ya ziada

Ifahamike kwamba huu ugonjwa bila kupata assist kutoka kwa ugonjwa mwingine ni ngumu sana kumuua kijana wa kiafrika (sio black america)
Yaani unavyoelezea hizo genes (kama kweli zipo) ni kama vile ndio hizo zinazohusika ktk kuamua rangi ya ngozi (nyeusi) kitu ambacho hakiwezekani.

Lakini pia hata kama tujaalie kweli zipo na kuna linkage kati yake na group of genes zinazocontrol rangi (nyeusi) ya ngozi, basi kanuni za urithi zinaonesha kuwa genes hizo zingekuwa zinaenda kwa pamoja na gene(s) zinazocontol rangi, pasi na ufanisi wake kuathiriwa na intensity ya weusi wa ngozi. Yaani ingekuwa ima mtu anazo au hana.

Anyway, kuna sayansi kubwa nyuma ya genes' interactions and mechanism of their functioning. Kama kweli zipo, wabobezi wa fani hizo watakuja na majibu toka kwenye tafiti hapo baadae
 
Yaani unavyoelezea hizo genes (kama kweli zipo) ni kama vile ndio hizo zinazohusika ktk kuamua rangi ya ngozi (nyeusi) kitu ambacho hakiwezekani.

Lakini pia hata kama tujaalie kweli zipo na kuna linkage kati yake na group of genes zinazocontrol rangi (nyeusi) ya ngozi, basi kanuni za urithi zinaonesha kuwa genes hizo zingekuwa zinaenda kwa pamoja na gene(s) zinazocontol rangi, pasi na ufanisi wake kuathiriwa na intensity ya weusi wa ngozi. Yaani ingekuwa ima mtu anazo au hana.

Anyway, kuna sayansi kubwa nyuma ya genes' interaction and mechanism of their functioning. Kama kweli zipo, wabobezi wa fani hizo watakuja na majibu toka kwenye tafiti hapo baadae
Nikweli ila weusi kama weusi bado sio kigezo sana, maana hapa hata wahindi weusi wanaweza kuingia.

Ila immunity ya muafrika ambaye hana chembe ya cloning wala uchotara hapa mamzungumzia mtu ambaye katika ukoo wao hakujawahi kuwepo mzungu. Mtu huyu anakinga imara zaidi katika ugonjwa huu especially kijana asiyekua affected na magonjwa mengine
 
Hizo % nimezisoma mpaka ziimenichanganya nimeshindwa kuelewa.
 
Nasikia hata Beyonce ni black American
Maafisa wa Afya hapo awali walieleza kuwa wakaazi wengi wa New Orleans wanakabiliwa na matatizo ya unene wa kupitiliza, kisukari na presha ya kupanda kwa kiwango cha juu zaidi nchini Marekani hali inayowafanya kuwa rahisi kudhurika zaidi na Covid-19.

Hiki kipande nilicho bold ni nukuu niliyoitoa hapo kwenye hiyo post yako, ilitakiwa kiwe kichwa cha habari. Vinginevyo unaweza kuwachanganya wadau wakajua kua mwafrika anakufa kwa corona

Mtu kama chris brown, rihana, willsmith nk hao wengi wao wana genes za uzungu na ndo kinacho wakostisha

kwahiyo sasa mumekua munawakataa 😂😂😂😂
 
Sio kweli African Americans wengi ni masihara na wasiojali maelekezo wanayopewa, yaan wengi walikataa shule ni vilaza

Na wanavyosema Africa Americans ina include biracial Kama Joe Cole na wengineo

Mkuu hapo kuna ukweli maana kuhusu maradhi maana ukiangalia wengi wanene sana na hali yao kimaisha wengi wao ni duni kutokana na kukosa elimu
Wote mko sahihi in a way


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Eti wana wastani wa maisha mafupi kuliko weupe
Bora waseme ukweli wamewakandamiza kwa miaka yote bila maisha bora


Sent from my iPhone using Tapatalk
Huenda kuna ukweli kwa ulichoandika hapa.
Ila ile nchi ni dunia ya kwanza bhana, ukiamua kukomaa utapata maisha tu labda hawana African American ni wavivu.
 
Back
Top Bottom