Wamarekani weusi waathirika zaidi na virusi vya Covid19 tofauti na wenye rangi nyeupe

Wamarekani weusi waathirika zaidi na virusi vya Covid19 tofauti na wenye rangi nyeupe

Marekani weusi ni jambo la kiutamaduni zaidi.

Mara ya kwanza kumuona Meghan Markle, mke wake Prince Harry wa Uingereza, nilifikiri ni mzungu.

Kumbe kachangia rangi kwa wazazi.

Kimarekani huyo ni mweusi.

Sent from my typewriter using Tapatalk
👏👏
 
Hao black Amercan nao wamechanjwa chanjo za TB kilazima kama sisi ma blacks wa huku?wanakula ugali na mihogo kama blacks wa huku?hao tunaesabu ni kama wazungu tu kasoro rangi...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikweli ila weusi kama weusi bado sio kigezo sana, maana hapa hata wahindi weusi wanaweza kuingia.

Ila immunity ya muafrika ambaye hana chembe ya cloning wala uchotara hapa mamzungumzia mtu ambaye katika ukoo wao hakujawahi kuwepo mzungu. Mtu huyu anakinga imara zaidi katika ugonjwa huu especially kijana asiyekua affected na magonjwa mengine
Link ya huo utafiti
 
Marekani weusi ni jambo la kiutamaduni zaidi.

Mara ya kwanza kumuona Meghan Markle, mke wake Prince Harry wa Uingereza, nilifikiri ni mzungu.

Kumbe kachangia rangi kwa wazazi.

Kimarekani huyo ni mweusi.

Sent from my typewriter using Tapatalk
Exactly, biracial wote wanaingia katika category ya waafrika, hii iko hata Brazil sio marekani tu
 
Uimara unafifia pale ambapo genes za uzungu zinakua zipo kwa kiasi kikubwa kuliko genes za u-nigga

Lakini licha hata ya hivyo lakini bado victim waliokufa ni wale wale ambao wanamagonjwa ya ziada

Ifahamike kwamba huu ugonjwa bila kupata assist kutoka kwa ugonjwa mwingine ni ngumu sana kumuua kijana wa kiafrika (sio black america)
Umeshakubali ni black American, hata kama ana genes za uzungu nyingi bado ana Uafrika kuliko mzungu pure. Sasa kwanini black Americans ndo wafe wengi kuliko wazungu ambao ndo tunawaita weak.

Na kama unasema victims wana magonjwa mengi ndo point yenyewe nnayoisema hapa, kama black wako strong kwanini wawe na magonjwa mengi. Yani utatumia vigezo gani kusema wao wako strong wakati huo ndo wana magonjwa mengi kuliko wazungu.

Wao ndo wachache kwenye jamii za Marekani lakini wao ndo wagonjwa wengi wa corona, wakati huo pia ndo wanaongoza asilimia za vifo. Sasa utaanzaje kusema wako strong. Utabishana na data.

Kama Waafrika na weusi ni strong lakini umaskini ndo chanzo cha kufa kwingi uko Marekani, basi sababu hiyo ndo itaua wengi na uku.
 
Hao black Amercan nao wamechanjwa chanjo za TB kilazima kama sisi ma blacks wa huku?wanakula ugali na mihogo kama blacks wa huku?hao tunaesabu ni kama wazungu tu kasoro rangi...

Sent using Jamii Forums mobile app
Umenikumbusha Bibi yangu alikutana na Black American, akaambiwa huyu ni Mmarekani, lakini ni mtu mweusi kama sisi.

Akasema, msiseme hivyo, huyu ni mzungu mweusi.

Sent from my typewriter using Tapatalk
 
Huu ugonjwa wakati unaanza tulikua tunaongopeana saaana humu
Mara oooooh Watu weusi hawasumbiliwi na huu ugonjwa,
Oooooh ugonjwa ni wa nchi za baridi, nchi zetu za joto tutapeta tuu
Mambo sasa yako tofautii weusi wanakufa na Nchi zetu za joto tunaathirika
Kazi ipoooo
 
Huenda kuna ukweli kwa ulichoandika hapa.
Ila ile nchi ni dunia ya kwanza bhana, ukiamua kukomaa utapata maisha tu labda hawana African American ni wavivu.

Kweli kabisa unalosema kama utajitenga na miji wanayokaa wao na Aukatafuta maisha yako Mbona unatoboa tu
Tatizo sio sisi tunaoenda huko bali wao kama wazawa wamekuwa na maisha ya kuigana na kujiweka dhalili wenyewe
Mkuu kuna sehemu zingine USA unakuta blacks wanaishi maisha ya duni mpaka unasema hivi huyu nikimuweka kariakoo na tenga la nyanya nani atamjua I swear [emoji23] huwezi kumtoa
Wanajirudisha nyuma sana kwa kukaa kwenye society moja na elimu duni pia kila mmoja anaona kuuza ngada itamtoa


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Umeshakubali ni black American, hata kama ana genes za uzungu nyingi bado ana Uafrika kuliko mzungu pure. Sasa kwanini black Americans ndo wafe wengi kuliko wazungu ambao ndo tunawaita weak.

Na kama unasema victims wana magonjwa mengi ndo point yenyewe nnayoisema hapa, kama black wako strong kwanini wawe na magonjwa mengi. Yani utatumia vigezo gani kusema wao wako strong wakati huo ndo wana magonjwa mengi kuliko wazungu.

Wao ndo wachache kwenye jamii za Marekani lakini wao ndo wagonjwa wengi wa corona, wakati huo pia ndo wanaongoza asilimia za vifo. Sasa utaanzaje kusema wako strong. Utabishana na data.

Kama Waafrika na weusi ni strong lakini umaskini ndo chanzo cha kufa kwingi uko Marekani, basi sababu hiyo ndo itaua wengi na uku.
Kua na strong immunity haimaanishi kwamba hautaumwa gonjwa lolote

Na katika hao walioumwa hayo magonjwa mengine kumbuka sio wote waliumwa, bali wengi wao walikua na unene uliopitiliza na kundi lingine lilikua ni watu wenye umri wa mkubwa. Sasa unatakiwa kujua kua kinga ya mwili hupungua nguvu kadri unavyozidi kupoteza ujana

Na ndio maana hapo unaona katika takwimu za waafrika vijana wasiokua na matatizo mengine waliokufa kwa corona ni hakuna

Mfano mzuri hata kwa sisi tu hapa waafrika japokua kiasili tunakinga imara kuliko wazungu lakini bado huo uimara tunazidiana sisi kwa sisi


Mimi niki-ng'atwa na n'ge hua nikiweka tu lile jiwe la sumu basi mchezo unaishia hapo wakati maza akiumwa na nge hulazwa hospitalini na dripu za kutosha anawekewa. Lakini kipindi cha ujana wake haikuwa rahisi kulazwa hospitalini kwasababu ya n'ge.

Kitu kingine ni kwamba sio tu baada ya hii korona kuingia, hata kabla ya korona tumeshuhudia race nyeupe ikipoteza maisha kwa mafua ya kawaida tu ambayo kwa muafrika si kitu
 
Hapa nafikiri umembagua mpoki, muombe radhi

Sent using Jamii Forums mobile app
Ungekua unaelewa mpoki anavyojikubali na rangi yake usingesema nambagua

Alishawahi kusema

eti watu wanasema mimi mweusi, basi namimi nikajikuta mwamba nikawa najisifu kuna nchi moja hivi ilitangaza mashindano ya mtu mweusi na tuzo ziliwekwa kwa atayeshika nafasi ya kwanza. Aisee sikuamini nilipoenda kushiriki, nilikuta kuna watu weusi hadi wakitembea wanaacha rangi walimopita


Moja kati ua watu wanojivunia rangi yao namkubali ni mpoki, na sioni kama nambagua katika hili kwa kumuwekea mfano
 
Wahindi weusi huwajui?

Yani ni weusi pengine kuliko hata mpoki ila kinachoweza kutofautisha na sisi ni nywele tu
Hawa ndio wahindi weusi
IMG_20200407_140048_875.jpeg
IMG_20200407_140036_330.jpeg
IMG_20200407_140014_461.jpeg
IMG_20200407_140024_295.jpeg


It's Scars
 
Kweli kabisa unalosema kama utajitenga na miji wanayokaa wao na Aukatafuta maisha yako Mbona unatoboa tu
Tatizo sio sisi tunaoenda huko bali wao kama wazawa wamekuwa na maisha ya kuigana na kujiweka dhalili wenyewe
Mkuu kuna sehemu zingine USA unakuta blacks wanaishi maisha ya duni mpaka unasema hivi huyu nikimuweka kariakoo na tenga la nyanya nani atamjua I swear [emoji23] huwezi kumtoa
Wanajirudisha nyuma sana kwa kukaa kwenye society moja na elimu duni pia kila mmoja anaona kuuza ngada itamtoa


Sent from my iPhone using Tapatalk
Wana inferiority complex, ni rahis kwa mwafrika Toka afrika kufanikiwa marekani kuliko mmarekani mweusi, wao ni kulalamika

Mfano hakuna watu waliopitia maisha magumu Kama Jews wamekaa na wazungu almost miaka 1500+ na wamebaguliwa sana, lakin ni moja ya jamii iliyobaguliwa na inayobaguliwa sana
 
Wana inferiority complex, ni rahis kwa mwafrika Toka afrika kufanikiwa marekani kuliko mmarekani mweusi, wao ni kulalamika

Mfano hakuna watu waliopitia maisha magumu Kama Jews wamekaa na wazungu almost miaka 1500+ na wamebaguliwa sana, lakin ni moja ya jamii iliyobaguliwa na inayobaguliwa sana

Hivi blacks tunakwama wapi?
Hata peponi naona tutapigana tu
Jews ni watu wengine kabisa
Ila weusi ni wabaya sisi kwa sisi
Ukimkuta mweusi na mweupe sehemu Bora umaemeshe mweupe
Limenitokea sana kwa ushuhuda Kweli ni inferiority complex


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Bado logic inakukatalia. Kama weusi ni imara zaidi ya wazungu, kwanini mchanganyiko wa mzungu na mweusi uwe weak kuliko mzungu mwenyewe.
Hapo ilitakiwa mweusi awe strong, afate chotara wa kizungu na kiafrika then afate mzungu au jamii za Asia.
Sasa kwa kesi hii ni kinyume, yani ni sawa na kusema wazungu ni weupe, waafrika ni weusi lakini chotara ni weusi zaidi ya wote hao.

Tokea siku nyingi inajulikana kuwa black Americans wana life expectancy ndogo, wanapata magonjwa ya moyo kuliko wazungu na matatizo kibao. Nilisoma kutoka kitabu cha 'Comparatible worth of Different races'.

Hii inaakisi maisha yetu yalivyo huku, watu ambao waliwahi kuwa na viribatumbo, matege, malnutrition, kwashiorkor na magonjwa ya utotoni kibao siamini kama wanaweza kuwa na kinga za maana. Tuna asili ya kuwa na kinga lakini maisha yetu yanatufanya tuwe very weak.

Lets wait.
Wamarekani weusi wanaongoza kwa kupigana risasi, kubwia unga, bangi na sigara, kula hovyo, hivyo wao kuwa weak kuliko weusi haishangazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uimara unafifia pale ambapo genes za uzungu zinakua zipo kwa kiasi kikubwa kuliko genes za u-nigga

Lakini licha hata ya hivyo lakini bado victim waliokufa ni wale wale ambao wanamagonjwa ya ziada

Ifahamike kwamba huu ugonjwa bila kupata assist kutoka kwa ugonjwa mwingine ni ngumu sana kumuua kijana wa kiafrika (sio black america)
Hizi tafiti sijui mmezifanyia wapi, au misconception mliyojitungia kichwani tu kujifariji
Kwanza unaonekana hujui hata kuhusu genetics, eti genes za uzungu zinakuwa nyingi.
, kwenye cross breeding hakuna anayetoa genes nyingi kuliko mwenzake, wote wanatoa chromosomes 23

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi tafiti sijui mmezifanyia wapi, au misconception mliyojitungia kichwani tu kujifariji
Kwanza unaonekana hujui hata kuhusu genetics, eti genes za uzungu zinakuwa nyingi.
, kwenye cross breeding hakuna anayetoa genes nyingi kuliko mwenzake, wote wanatoa chromosomes 23

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa
 
Hizi takwimu zinatia shaka. Haiwezekani 50% ya watu 4600 ikawa watu 1800. Hii habari ina walakini.
 
Back
Top Bottom