Bado logic inakukatalia. Kama weusi ni imara zaidi ya wazungu, kwanini mchanganyiko wa mzungu na mweusi uwe weak kuliko mzungu mwenyewe.
Hapo ilitakiwa mweusi awe strong, afate chotara wa kizungu na kiafrika then afate mzungu au jamii za Asia.
Sasa kwa kesi hii ni kinyume, yani ni sawa na kusema wazungu ni weupe, waafrika ni weusi lakini chotara ni weusi zaidi ya wote hao.
Tokea siku nyingi inajulikana kuwa black Americans wana life expectancy ndogo, wanapata magonjwa ya moyo kuliko wazungu na matatizo kibao. Nilisoma kutoka kitabu cha 'Comparatible worth of Different races'.
Hii inaakisi maisha yetu yalivyo huku, watu ambao waliwahi kuwa na viribatumbo, matege, malnutrition, kwashiorkor na magonjwa ya utotoni kibao siamini kama wanaweza kuwa na kinga za maana. Tuna asili ya kuwa na kinga lakini maisha yetu yanatufanya tuwe very weak.
Lets wait.