Wamarekani weusi waathirika zaidi na virusi vya Covid19 tofauti na wenye rangi nyeupe

'Ulizia Russia, saudia, Iran, nk mweusi hata uenyekiti wa mtaa Urusi au Saudia hawezi kupata. '

Hio sentensi hapo juu si ya kweli, kuna jamaa anaitwa Jean Gregoire Sagbo, ni mzaliwa za Benin na ni councilor of Novozavidovo huko Urussi.
Ni mmoja tu siyo? Taja mwengine
 
Wamarekani weusi wengi ni masikini ndio maana wengi wameathirika na Corona
Sent using Jamii Forums mobile app
 
$60m, vipande vya dhahabu, nk
Hahah balozi mstaafu wa TZ wa nchini Russia alisema Wkt inshu ya dr.Shika inatokea Russia yeye alikua ni balozi kule,kilichotokea Shika alienda kusoma kule then akawa anaji-bragg ana mabilioni,ma-viwanda warussi wakamteka wakamkata kidole alivyofanikiwa kutoroka ndipo ubalozi ukamsaidia huyo shika kumlipia tiketi kurudi bongo.

Kwa hio alibebaje hizo $60mil kuwapelekea hao mafiasi?mnaijua lkn $60mil?

Mmiliki wa $60mil yuko sa hivi analala chini hapa bongo.
 
Hata ujumbe wa chama cha ushirika hawapati[emoji14][emoji14]
Ulizia Russia, saudia, Iran, nk mweusi hata uenyekiti wa mtaa Urusi au Saudia hawezi kupata. '

Hahah
 
Waafrika tunajibagua wenyewe...


Kinachofanya waafrika tusife kwa wingi ni muingiliano mdogo baina yetu... Fikiria ni watu wangapi unawajua huwa ni wasafiri wa kwenda nje ya nchi hapo utapata jibu, ili maradhi yasambae kwa nchi za Afrika yanahitaji muda mrefu kutokana na muingiliano mdogo tofauti na nchi zilizo endelea...

Tusijipe moyo kwamba muafrika haumwi... Binadamu wote ni sawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Trevor Noah kaeleza viruzi kwanini wanugu wamepigwa zaidi na hili janga.

 
Sasa si wanakufa kwa Corona sababu ya umasikini, kuna uwezo wa mwafrika masikini aliyepo Africa kupona kweli?
 
Watu weusi waliamini kuwa huyu corona anaua wazungu zaidi,,, nadhani sasa hawakuwa makini kuchukua tahadhari kama tu ambavyo waafrika wengi hivi sasa bado wanapuuzia kuhusu kufuata njia za kujikinga.

Lakini najaribu kufikiria kuwa huu ugonjwa unawapa support ma'racist kufanya vitu vyao.

TUFANYE BIDII KUJIKINGA

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Coronavirus Killing A Lot Of Blacks In The U.S
 
Warusi walimtapeli ndo maana analala chini
 
Marekani ni nchi ambayo kuna rangi 2 tu za binadamu..white & black...hakuna coloured, half-caste anayetambulika kama sijui mixed race, sijui nini...Arabs ni black...Indians ni black...Asians siyo white..
Sasa kundi hili la blacks nalo linajibagua ipasavyo, hispanics, Mexicans, Carribeans, African-American, Arabs, mvurugano mtupu..

Everyday is Saturday.................... 😎
 
Nachukia sana ninapomuona mtu anaongea kwa hisia zake kama wewe na kutaka kuwaaminisha watu. Huu ni uongo uliokomaa na umejikita katika hisia zako binafsi. Tupe vyanzo vya kitafiti vinavyothibitisha haya unayoyasema, vinginevyo ni uongo na kujijazia matumaini hewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…