Wamarekani weusi waathirika zaidi na virusi vya Covid19 tofauti na wenye rangi nyeupe

Black America ndio hufa kwa wingi sana kuliko weupe...takwimu zinaonyesha hivyo....

Weupe wana ngozi imara na strong more than Black people...Mungu aepushie mbali gonjwa hili.


Idadi waliokufa marekani kufikia leo ni 18,817 na wagonjwa 505,874


Ndani ya saa 24 tu wamekufa 2108, idadi ambayo imevunja rekodi duniani.
 
mzee upo deep.ntakitafuta hicho kitabu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mzungu ana ngozi strong kuliko mtu mweusi? mzee ficha upumbavu wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
so white ni mzungu tu.so kipindi kile cha jim crow laws waarabu na wahindi nao walikuwa wanabaguliwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Why is coronavirus (COVID-19) death rate so high for African Americans?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…