Wamasai kuweni makini Zanzibar, mmewekewa chambo mnavutwa mnavutika tu bila kujitambua

Wamasai wanapelekewa moto na wataliana daily znz mpaka imefika muda serikali inataka kuwaondosha
Haa Moto Mwingi Wanaishia Kusema Rafiki Rafiki Inaingia.........Haa Nchi Hii Hovyo Sana
 
Andiko lako zuri sana sasa solution ni kwamba waachwe wabaki kwao tangu lini mmasai ukamtengenisha na fimbo na sime yake?.Moja ya makabila duniani ambayo ni vigumu sana kuacha mila zao ni wamasai,wa aborigine wa Australia,wa papua New Guinea,wahindi wekundu,Yonomani wa Brazili wale wanaokula nyama ya mtu wao mpendwa aliyekufa kuaminini mzimu wake ubaki kwao na kabila moja Indonesia linaitwa Torojan.
Serikali inatakiwa ichukulie hili jambo sio kisiasa zaidi.Kama ni kuharibu mazingira mbona kunajengwa mahoteli huko mbugani.
Wamasai waachwe waendelee kuishi na wanyama taratibu zifuatwe tu wapewe masharti maalum jinsi ya kuishi huko.Kama ni hivyo hivi kuna kitu kinaharibu mazingira kama uchimbaji wa migodi mikubwa ambapo wanapewa migodi hatimaye tunaachiwa mashimo?
Uzuri wa wamasai ni kwamba kula nyama ya porini kwao ni dhambi kubwa mno kwa maana hiyo wanashiriki kusaidia kuwatunza wanyama.
Nimeishi Arusha nimekulia Arusha siku zote wamasai wanatembea na fimbo zao.Wana amani sana hawa jamaa ila tu usiwachokoze sijawahi ona mmasai katandika fimbo au ng'udi wanavyoita bila sababu ya msingi.Tena wanaingia nazo hadi bar.Kule kwa Mrombo tunakunywa nao unakuta anakula nyama anakata na sime lakini hawana vurugu.
 
Wanawatomba hao wazungu tena wengi ni vizee vimejichokea mda mwingi vinavuta sigara wanavitomba sana kwenye mahotel
 
Wanajichanganya huko kuwatomba wazungu Sheria zipi zifuatwe?
 
Kweli mkuu Bora wangeachwa tu huko maporini
 
wamasai wanawekewa 'chambo' na wao bila kujijua naona wanaingia wazima wazima.
Serikali ya Zanzibar sio tu inafanya Ubaguzi, pia inakiuka sheria za Kimataifa zinazotaka kulinda, kudumisha, na kuendeleza tamaduni na jadi za Kijamii.

Hususani, kama Jamii ya Wamasai.

Kwa tafsiri ya 'chambo' huko juu, naweza kusema kwa kimombo ni sawa na 'inducing or coercing'.

Sasa unapofanya Inducement and coercing kwa kwa kundi la kijamii(hapa la Wamaasai)kufanya Uhalifu na kisha kufuta 'utambulisho' wao wa 'Kitamaduni', in my school of thoghts, constitutes genocide.

Sio hivyo tu, according to United Nations Genocide Convention, jambo hilo likiwa kimfumo(systemic) ni kigezo tosha kuita Genocide.

Sasa, kama kweli vitendo kama hivyo vinatokea Zanzibar ambayo ni Tanzania, vinamaanisha nia ya kimakusudi na ya kimfumo ya kuliangamiza kabila la Wamaasai, ni Genocide.

Tanzania, Stop the Genocide of our fellow Citizens.
 
Kwa hbr ya Loliondo hakuna unalojua, kaa kimya we bwege
 
Kuna watu walimtoa nyoka porini kwenye makazi yake na kusema wataishi nae nyumbani, baada ya muda wakasema hawawezi kuishi nae mpaka aiteme sumu yake yote na meno asiwe nayo.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Hujanielewa... This is a well calculated move, hizo sime na rungu ndo Leo wameziona?
Nakazia, sio tu kwamba ni leo ndio wameziona, ila pia kila mmasai amepita Bandarini, akakaguliwa, na kukabidhiwa silaha zake hizo ambazo huwa zinakusanywa kabla ya kupanda boti Dar.

Wakati huo huo, ukiwa na silaha ya moto Zanzibar hawakupi hadi siku ukitoka Zanzibar ndio unarejeshewa.

Simply kama hawataki watembee na silaha, wazizuie bandarini zisiingie Zanzibar.
 
Rubbish thinking
 
Wamasai wanapelekewa moto na wataliana daily znz mpaka imefika muda serikali inataka kuwaondosha
Haiwezekani mtu anaua simba halafu anapelekewa moto tena kwa hiari. Nakataa asee.
 
Wamasai wanapelekewa moto na wataliana daily znz mpaka imefika muda serikali inataka kuwaondosha

kwa kweli wanasikitisha sana, kazi yao kuu ni kujiuza kwa wazungu wakike na wakiume
 
Wapemba mna chuki sana.
 
Rubbish thinking
Tembelea mahotel uwaone wazungu wanavyowaingiza Wamasai kwenda kuwatomba sio wanaume tu mpaka wanawake

Unakaa kaa kwenu Kibada huko utajua nini kinachoendelea mjini hata 3 star hotel haujui inafananaje
 
Haiwezekani mtu anaua simba halafu anapelekewa moto tena kwa hiari. Nakataa asee.

umewahi fika kwenye fukwe za utalii zanzibar? hao ndugu zetu wamasai ni vitonga kupitiliza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…