Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni bongo muvi usiilete hapaNilibahatka kuoa binti wa kimasai, nilikuwa sina maisha napitia changamoto ya maisha lakini yeye wala hakunikimbia. Kitu alichoniambia nimtafutie shilingi elfu 35,000/= ya kufanya ujasiriamali ya kuendesha biashara ya mboga mboga kwenye minada ya wamaasai.
Huwezi amini ndani ya miaka 2 kanipga gepu ya maendeleo pakubwa, sasa hivi anauza Mavazi ya kimasai huko mnadani. Kiwanja tumenunua kwa pamoja ila yeye ndiye kachangia pakubwa.
Mwez wa kumi na mbili mama mkwe anakuja kumshka mtot yaan mjukuu wake sasa mke amenitonya nitafute pesa ya sherehe kama milioni 3 maana yeye kaambiwa na mama yake watakuja na milioni 14 kwa wamasai ndiyo desturi yao wanaita mbesi mama kwenda kwa mtoto wake wa kike kumsalimia duh! Kweli ya Mungu mengi.
Vipi wahangaza na wasukuma?Nijivute msomera taratibu
Anyway umeongea vizuri sana ila kiuhalisia wamasai na warangi ndio wife material waliobaki tz
Amechagua fungu lililo jema.Jana nilikuwa na binamu yangu kwenye party, yeye ni mlevi na mpenda starehe. Ni wale akitoka Ijumaa asubuhi kwenda kwenye ujasiriamali kwake anarudi Jumatatu usiku. Ile Ijumaa anaunga kazini hadi starehe, anaibuka asubuhi starehe anaenda kutafuta, hivyohivyo mpaka akirudi Jumatatu usiku ndio analala. Kwahiyo alikuwa anakaa mchafu na ananuka pombe.
Sasa jana nikashangaa mbona ametoka uzee, kanawiri, macho yamepungua wekundu na hajavimba uso. Kumbe ameoa sogea tuishi kaacha kulala viwanja na kunywa supu ya mapupu. Mke yuko strict hakuna kulala nje wala kurudi umelewa.
Binamu hadi jana tukazungumzia kilimo na viwanja, na kusafirisha mikoani. Akataja hela ambazo kabla hajawahi taja, na manunuzi ambayo hakuwa anafanya. Nikagundua tu hizi akili ni mchango wa mke wake.
😏😏😏Hawafai kuongoza nchi!
Hawajuagi democrasia wanachojua n ubabe kifupi watusi na wamasai siyo kabisa kwene uongozi
😂😂😂 ndy mkuuKwa hiyo wewe kwa sasa unatambulika pia kama baba yeyoo na mke wako ni mama yeyoo!!
Na mimi ngoja nitafute binti wa kuoa wa Kimasai. Siku zote nilifikiri raia wa kawaida huwezi kuoa kwa urahisi tu binti wa Kimasai!
Ndy destur yao mamkwe aji kunisalimia kienyej lazm bhan aje kwa heshma kuja kumsalimia bnt yakekwaiyo unalelewa na Toto la kimasai
Mrangi unataka uoe au utuolee?Nijivute msomera taratibu
Anyway umeongea vizuri sana ila kiuhalisia wamasai na warangi ndio wife material waliobaki tz
Naweka ndani mtoto mulhatMrangi unataka uoe au utuolee?
Wote hao wakishaujua mji beki hazikabi. Umpate ndio katoka kwao uko na akikisha umekata connection zote za yeye kuwa na marafiki wanaoitana mashoga especially wadada wa saluni na bar maidsNijivute msomera taratibu
Anyway umeongea vizuri sana ila kiuhalisia wamasai na warangi ndio wife material waliobaki tz
Huu mtihani Sasa maana kumchagulia mtu marafiki ni almost impossibleWote hao wakishaujua mji beki hazikabi. Umpate ndio katoka kwao uko na akikisha umekata connection zote za yeye kuwa na marafiki wanaoitana mashoga especially wadada wa saluni na bar maids
Tumpe mda mtoa mada .Ngoja tupate maoni kutoka KATAA NDOA GANG
Wamasai wengi ni walutheriMTU yoyote anae abudu dini za kiafrika lazima awe muungwana na mtu poa
Ila wanafuata maadili na kuishi maisha Kwa kumfuata taratibu zao za kiafrika!Wamasai wengi ni walutheri