Wamasai ni watu poa sana!

Nijivute msomera taratibu
Anyway umeongea vizuri sana ila kiuhalisia wamasai na warangi ndio wife material waliobaki tz
 
Hii ni bongo muvi usiilete hapa
 
Amechagua fungu lililo jema.
 
Kwa hiyo wewe kwa sasa unatambulika pia kama baba yeyoo na mke wako ni mama yeyoo!!

Na mimi ngoja nitafute binti wa kuoa wa Kimasai. Siku zote nilifikiri raia wa kawaida huwezi kuoa kwa urahisi tu binti wa Kimasai!
😂😂😂 ndy mkuu
 
Hongera mkuu ubarikiwe pamoja na familia yako
 
Nijivute msomera taratibu
Anyway umeongea vizuri sana ila kiuhalisia wamasai na warangi ndio wife material waliobaki tz
Wote hao wakishaujua mji beki hazikabi. Umpate ndio katoka kwao uko na akikisha umekata connection zote za yeye kuwa na marafiki wanaoitana mashoga especially wadada wa saluni na bar maids
 
Wote hao wakishaujua mji beki hazikabi. Umpate ndio katoka kwao uko na akikisha umekata connection zote za yeye kuwa na marafiki wanaoitana mashoga especially wadada wa saluni na bar maids
Huu mtihani Sasa maana kumchagulia mtu marafiki ni almost impossible
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…