Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
Pis kali mbona wapo wengi!?ππππ vijana wanataka kuoa pisi kali ili wasifiwe na kuonekana wajanja.
Nikiacha kukusikiliza nitakuwa mkaidi maana umetumia capitalWARANGI WATOE BRO WARANGI WATOE.
Kama unataka kulia oa mrangi.
Kuna watu na watu mkuu.Wote hao wakishaujua mji beki hazikabi. Umpate ndio katoka kwao uko na akikisha umekata connection zote za yeye kuwa na marafiki wanaoitana mashoga especially wadada wa saluni na bar maids
Ukitaka kuoa mrangi mfuate mzee wa kirangi akichagulie,usijichagulie wewe mwenyewe.Nikiacha kukusikiliza nitakuwa mkaidi maana umetumia capital
Ila Kuna jirani yangu hapa ana enjoy mno!
Usimtishe mwana bhana. Demu yoyote akikulia bush ni wife material ikitokea kaja mjini basi awe chini ya uangalizi wa mtu mzima mwenye familia. Shida inaanza pale vibinti vinapokuja mjini na kupokelewa na marafiki zao uko magetoni. Hapo hakuna cha mrangi, muiraqwi, mkurya wala nani nani sijui wote wanaangukia kwenye udangajiPis kali mbona wapo wengi!?
Tanga kuna toto za kisambaa ama Wambugu ni wazuri KONDOA NZIMA HAWAINGII NDANI.
Tena wana matyaakooo sio poa.
Warangi wana sura za kukomaa halafu nywele vipilipili.
Pia hawajatulia.
We muache atuolee mtaa.
Kati yΓ Warangi na wairaq ni wanawake gani ni wazuri kimuonekano?Ukitaka kuoa mrangi mfuate mzee wa kirangi akichagulie,usijichagulie wewe mwenyewe.
Weeeeh wairaqwu ni moto wa kuotea mbali.Kati yΓ Warangi na wairaq ni wanawake gani ni wazuri kimuonekano?
Sasa mserereko uko wapi wakati wanashirikiana na mkewe kimaisha, kwani mwanamke akichangia pakubwa ikiwa kipato chake kinaruhusu kuna ubaya gani? Ilo suala la kuja kumuona mtoto ni la kitamaduni zao wao wenyewe wamasai. Wenye akili kama zako ndio mnadangwa na wake zenu mpaka kwenye ndoa halafu mnafikiri ndio uanamumeKwahiyo nimuache mke wangu nioe mmsai mkuu?
Niko njia panda.
By the way mwanaume halisi yule hapendi mserereko. Ni aibu Kwa jamii ,kifamilia,kiukoo,kimkoa na kitaifa.
Chuo anaweza ku-maintain maadili maana bado yupo chini ya wazazi kimalezi ila hawa ambao wamekuja mjini na kupokelewa na mashoga zao uko magetoni my friend usije ukayatimba.Kuna watu na watu mkuu.
Jamii ya Wamasai huwa hawapendi mazoea ya kipumbavu kabisa.
Kuna mdada niliwahi soma nae ni maasai yule dada pale chuo wenzake takriban wote waliharibika ila yeye alibaki strict mpaka anaondoka pale.
Na ni watu wanaokuza mila zao popote wanapoenda,huwa sio malimbukeni.
Katika miangaiko ya kimaisha kutafuta ugali nishaweka kambi Karatu kwa miezi kadhaa, tatizo wairaqwi hawana tako na miguu ya bia halafu K zao baridi sana(usiniulize nimejuaje)Weeeeh wairaqwu ni moto wa kuotea mbali.
Yani muiraqwu ukimuweka na msomali huwezi watofautisha.
Sidhani kama kuna kabila TZ linawafikia kwa uzuri hao watu.
Million 14 hao wamasai matajiri hao tena walioelimikaNilibahatka kuoa binti wa kimasai, nilikuwa sina maisha napitia changamoto ya maisha lakini yeye wala hakunikimbia. Kitu alichoniambia nimtafutie shilingi elfu 35,000/= ya kufanya ujasiriamali ya kuendesha biashara ya mboga mboga kwenye minada ya wamaasai.
Huwezi amini ndani ya miaka 2 kanipga gepu ya maendeleo pakubwa, sasa hivi anauza Mavazi ya kimasai huko mnadani. Kiwanja tumenunua kwa pamoja ila yeye ndiye kachangia pakubwa.
Mwez wa kumi na mbili mama mkwe anakuja kumshka mtot yaan mjukuu wake sasa mke amenitonya nitafute pesa ya sherehe kama milioni 3 maana yeye kaambiwa na mama yake watakuja na milioni 14 kwa wamasai ndiyo desturi yao wanaita mbesi mama kwenda kwa mtoto wake wa kike kumsalimia duh! Kweli ya Mungu mengi.
Mkuu kuna alishaletewa milion 30 hz 14 nkawaidaMilioni
Million 14 hao wamasai matajiri hao tena walioelimika
Nilibahatka kuoa binti wa kimasai, nilikuwa sina maisha napitia changamoto ya maisha lakini yeye wala hakunikimbia. Kitu alichoniambia nimtafutie shilingi elfu 35,000/= ya kufanya ujasiriamali ya kuendesha biashara ya mboga mboga kwenye minada ya wamaasai.
Huwezi amini ndani ya miaka 2 kanipga gepu ya maendeleo pakubwa, sasa hivi anauza Mavazi ya kimasai huko mnadani. Kiwanja tumenunua kwa pamoja ila yeye ndiye kachangia pakubwa.
Mwez wa kumi na mbili mama mkwe anakuja kumshka mtot yaan mjukuu wake sasa mke amenitonya nitafute pesa ya sherehe kama milioni 3 maana yeye kaambiwa na mama yake watakuja na milioni 14 kwa wamasai ndiyo desturi yao wanaita mbesi mama kwenda kwa mtoto wake wa kike kumsalimia duh! Kweli ya Mungu mengi.
Hapo sawa kuondoa sio mbali vipi Kuna eneo labda specific la kwenda maana kondoa kubwa kidogoUkitaka kuoa mrangi mfuate mzee wa kirangi akichagulie,usijichagulie wewe mwenyewe.
ππ½ββοΈππ½ββοΈππ½ββοΈWazee wa kimasai waliona mbali sana kuwakata "ANTENA" kina mama yoyo....Chanzo cha mabaya ni pesa na wasichana chunga sana alishasema Salu T ,huyo alikupenda kwa dhati na si mihemko ya ngono ndio maana lisimamia shoo ,ingekuwa hawa CHUPI mkononi hakuna rangi ungeacha kuiona...sisupport FGM ila % kubwa ya waliokatwa Antena wametulia.
Kutulia hurka ya mtu wala haihusiani na antenna.Wazee wa kimasai waliona mbali sana kuwakata "ANTENA" kina mama yoyo....Chanzo cha mabaya ni pesa na wasichana chunga sana alishasema Salu T ,huyo alikupenda kwa dhati na si mihemko ya ngono ndio maana lisimamia shoo ,ingekuwa hawa CHUPI mkononi hakuna rangi ungeacha kuiona...sisupport FGM ila % kubwa ya waliokatwa Antena wametulia.
mkuu kiukweli unatia hasira nifuate chombo huko kilicho chini ya miaka 22Weeeeh wairaqwu ni moto wa kuotea mbali.
Yani muiraqwu ukimuweka na msomali huwezi watofautisha.
Sidhani kama kuna kabila TZ linawafikia kwa uzuri hao watu.
Chuo amekuja kapanga Geto na wenzake wawili.Chuo anaweza ku-maintain maadili maana bado yupo chini ya wazazi kimalezi ila hawa ambao wamekuja mjini na kupokelewa na mashoga zao uko magetoni my friend usije ukayatimba.