S.Liondo
JF-Expert Member
- Apr 20, 2011
- 3,408
- 1,713
Kwahiyo unajiridhisha kwa kuichoma moto sio!We kweli hamnazo kabisa, hata hao wakenya hawapo tayari vitu viingie nchini mwao kienyeji enyeji to hususani mifugo bila kujilizisha afya ya mifugo husika.