Kama ilivyo ada, mheshimiwa Lissu ameamua kuwafuata wananchi kule waliko na kusemezana nao.
Jana alipita katika eneo la Ngorongoro na kuongea na wamasai, Mheshimiwa Lissu akazungumza nao kuhusu madhila wanayoyapata katika hifadhi hiyo na namna atakavyoyashughulikia pindi akiwa Rais. Akawakumbusha historia ya hifadhi hiyo na sacrifice ambayo wamasai walifanya ili kufanikisha uanzishwaji wa hifadhi hiyo.
Kwa mujibu wa lugha ya Kimwili na muitikio chanya wa Wakazi hao ni dhahiri Lissu amepata uungwaji mkono wa Wamasai.
Wakati huohuo akipita njiani Lissu amepokea baraka za wazee wa kimasai.
Hongera sana Lisu. Pita kila mahali utakapoweza na muda ukaruhusu. Hata penye watu 100, usipadharau. Maneno mawili, dakika 2 zinatosha.
Watanzania baada ya kuongozwa kikatili, wanahitaji faraja. Watu wapewe matumaini, waambiwe na wathibitishiwe kuwa hii ni nchi yao ambayo wana mamlaka nayo. Hata tukitofautiana vipi, haki ya umiliki wa Taifa letu, kwa kila mmoja, ni sawa.
Tofautiana na wale wapu.mbavu ambao ukitofautiana tu kifikra, utawasikia, Magufuli ndiyo Rais, kama hutaki, hama nchi! Mtu ahame nchi kwa sababu tu umetofautiana naye kifikra? Pumbaf kabisa.
Huyu jamaa amepata kibali toka kwa Mungu ni Mashetani tu ndiyo hawataweza kuona hilo....nimesikia jana jiwe ameshaanza kuomba kura kwa kupiga magoti.....
Ebu tazama hapo umati ambao Lissu akiona njiani anapunguza speed wamshangilie na vipicha vitaletwa JF Lissu sijui keshashinda; upande wa pili awasimami kama wanataka kumsikiliza Magufuli waende uwanjani.
Magufuli kusubiriwa njiani ni kawaida sana tena na watu wengi kushinda wanaoudhuria mikutano ya Lissu kwenye viwanja vyake.
Ebu tazama hapo umati ambao Lissu akiona njiani anapunguza speed wamshangilie na vipicha vitaletwa JF Lissu sijui keshashinda; upande wa pili awasimami kama wanataka kumsikiliza Magufuli waende uwanjani.
Magufuli kusubiriwa njiani ni kawaida sana tena na watu wengi kushinda wanaoudhuria mikutano ya Lissu kwenye viwanja vyake.
Huyu jamaa amepata kibali toka kwa Mungu ni Mashetani tu ndiyo hawataweza kuona hilo....nimesikia jana jiwe ameshaanza kuomba kura kwa kupiga magoti.....
Kwa akili yako ukisikia mtu anaijua Nchi unadhani kuwa anafahamu njia,mitaa na vitongoji vyote vya kila sehemu? Kweli Pole Pole Chakubanga sijui kawatoa wapi nyie zero.
Ebu tazama hapo umati ambao Lissu akiona njiani anapunguza speed wamshangilie na vipicha vitaletwa JF Lissu sijui keshashinda; upande wa pili awasimami kama wanataka kumsikiliza Magufuli waende uwanjani.
Magufuli kusubiriwa njiani ni kawaida sana tena na watu wengi kushinda wanaoudhuria mikutano ya Lissu kwenye viwanja vyake.