Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Kama ilivyo ada, mheshimiwa Lissu ameamua kuwafuata wananchi kule waliko na kusemezana nao.
Jana alipita katika eneo la Ngorongoro na kuongea na wamasai, Mheshimiwa Lissu akazungumza nao kuhusu madhila wanayoyapata katika hifadhi hiyo na namna atakavyoyashughulikia pindi akiwa Rais. Akawakumbusha historia ya hifadhi hiyo na sacrifice ambayo wamasai walifanya ili kufanikisha uanzishwaji wa hifadhi hiyo.
Kwa mujibu wa lugha ya Kimwili na muitikio chanya wa Wakazi hao ni dhahiri Lissu amepata uungwaji mkono wa Wamasai.
Wakati huohuo akipita njiani Lissu amepokea baraka za wazee wa kimasai.
Tazama video hii:
Lissu akipokea baraka
Lissu akicheka na kufurahi na wananchi
Jana alipita katika eneo la Ngorongoro na kuongea na wamasai, Mheshimiwa Lissu akazungumza nao kuhusu madhila wanayoyapata katika hifadhi hiyo na namna atakavyoyashughulikia pindi akiwa Rais. Akawakumbusha historia ya hifadhi hiyo na sacrifice ambayo wamasai walifanya ili kufanikisha uanzishwaji wa hifadhi hiyo.
Kwa mujibu wa lugha ya Kimwili na muitikio chanya wa Wakazi hao ni dhahiri Lissu amepata uungwaji mkono wa Wamasai.
Wakati huohuo akipita njiani Lissu amepokea baraka za wazee wa kimasai.
Tazama video hii:
Lissu akipokea baraka
Lissu akicheka na kufurahi na wananchi