Wamasai wanakwenda kuua misaada ya UN na EU kwa Tanzania; Ngorongoro imetugeuka vibaya

Wamasai wanakwenda kuua misaada ya UN na EU kwa Tanzania; Ngorongoro imetugeuka vibaya

Huu ulikuwa unyanyasaji mkubwa sana. Watu wameishi hapo miaka yote, unakuja kuwatoa ghafla na kutaka waanze maisha mengine ambayo sio asili yao.

Ngoja tuone, ila naunga mkono uamuzi huo.
Mwarabu ndugu katika Imani kutoka Oman anataka ajenge vivutio vya kitalii ushasikia ndugu katika Imani kwa hio Mzungu hatosikilizwa
 
Maamuzi ya bunge la Ulaya kuhusu kuhamisha Wamasai Ngorongoro linakwenda kutaathiri kiuchumi. Tutaathirika kwa sababu tulitumia nguvu huku tukijua kabisa kwamba tunajipanga kuimarisha mahusiano na mataifa mengine.

Bunge la Ulaya kwa zaidi ya asilimia 90 limesema maamuzi ya Tanzania siyo sahihi. Means wazungu wanawapenda Watanzania kuliko sisi tunavyojipenda. Wazungu ni waasisi wa maliasili ,walitunga sheria na kanuni zote za kulinda rasilimali. Wamesema Wamasai ni ASILI na kwamba hakuna kinachoweza kufuta asili yao ngorongoro.

Tunatokaje hapa? Tunawezaje kukwepa athari za kiuchumi pale watakapoamua kulimalia hii hoja? Tujadiliane
Hizi mambo zimefanyika ili kuimarisha suala la Carbon Credit. Lakini ni ngumu watu kulielewa hadi athari zitakapotokea.
 
Maamuzi ya bunge la Ulaya kuhusu kuhamisha Wamasai Ngorongoro linakwenda kutaathiri kiuchumi. Tutaathirika kwa sababu tulitumia nguvu huku tukijua kabisa kwamba tunajipanga kuimarisha mahusiano na mataifa mengine.

Bunge la Ulaya kwa zaidi ya asilimia 90 limesema maamuzi ya Tanzania siyo sahihi. Means wazungu wanawapenda Watanzania kuliko sisi tunavyojipenda. Wazungu ni waasisi wa maliasili ,walitunga sheria na kanuni zote za kulinda rasilimali. Wamesema Wamasai ni ASILI na kwamba hakuna kinachoweza kufuta asili yao ngorongoro.

Tunatokaje hapa? Tunawezaje kukwepa athari za kiuchumi pale watakapoamua kulimalia hii hoja? Tujadiliane
Yupo msukuma na Maulid Kitenge watatusaidia kutuliza upepo. Isitoshe na Bashite amerudi atasaidia kupinga
 
European Parliament in Brussels.

Roundtable at the European Paliament

View: https://m.youtube.com/watch?v=8mq_p9ugcDg
This roundtable approached the case of Tanzania and analyzed in more details the evictions of the Maasai from their lands as well as the violent repressions undertaken by the Tanzanian government. More than 70 000 Indigenous Maasai people are at risk or have already been expelled from their lands to make way for a tourism and conservation operation supported by the Tanzanian government that is undertaking several operations to put into action its plan to evict close to 150 000 Maasai from Ngorongoro Conservation Area (NCA) and Loliondo.
 
Naishi Marekani kwa zaidi ya miaka 20. Nimesafiri Afrika, Ulaya, na Asia.

Point yako ni nini?
Kiongozi, neno Afrika na Africa katika matumizi ya maeneo/ bara yanatumikaje? Mfano hapo neno Asia umeutumia kwenye sentensi ya Kiswahili na unauweza kuutumia kwenye sentensi ya kiingereza pia hivyohivyo. Je, ya kwetu imetofautishwa na nini?
 
Kiongozi, neno Afrika na Africa katika matumizi ya maeneo/ bara yanatumikaje? Mfano hapo neno Asia umeutumia kwenye sentensi ya Kiswahili na unauweza kuutumia kwenye sentensi ya kiingereza pia hivyohivyo. Je, ya kwetu imetofautishwa na nini?
Afrika ni Kiswahili, Africa ni Kiingereza. Kwenye Asia, silabi zinafanya maandishi kwenye Kiingereza na Kiswahili kuwa sawa. Asia. Ingawa matamshi Kiingereza ni "Eshia" na Kiswahili ni "Asia".
 
Afrika ni Kiswahili, Africa ni Kiingereza. Kwenye Asia, silabi zinafanya maandishi kwenye Kiingereza na Kiswahili kuwa sawa. Asia. Ingawa matamshi Kiingereza ni "Eshia" na Kiswahili ni "Asia".
Shukrani
 
Pamoja na mimi kutounga mkono yaliyofanyika Loliondo Lakini Sio kila maamuzi ya nchi za kiafrika kwamba lazima yawafurahishe wazungu.Hao ni wanafiki watupu.
Sababu rasmi sio kuwapenda Wamasai bali ni kwa sababu kule anapewa hasimu wao mkuu ambaye ni Mwarabu.

Lakini pia wengi wetu humu mnachangia kishabiki zaidi ya uhalisia.
Tena wengi wenu mnatumia taarifa za wanaharakati kuliko uhalisia ulivyo.Ili kuulinda utalii na kipato chake nchini.Ilikuwa ni lazima wamasai wapunguzwe pamoja na mifugo yao inayoongezeka kuliko eneo husika.

Na kingine ni siasa uchwara za upinzani wa kitanzania.
Hiyo ndio kazi ya Tundu Lissu anayoifanya kila anapokwenda huko kwa wafadhili wake wakuu.

Acheni kujificha kwenye utalii. Ilikuwa kosa kubwa Sana
 
Nawapongeza EU kwa maamuzi yao! Ulikuwa ni upumbavu kuwaaondoa wamasai kwenye maeneo yao ya asili.
Waamasai ni moja ya vivutio vya Watalii kwa wazungu.
Nachojiuliza! Sijui itakuwaje kama Mama ameshachukua hela za Wajomba baada ya kuiuza ngorongoro?
 
Huu ulikuwa unyanyasaji mkubwa sana. Watu wameishi hapo miaka yote, unakuja kuwatoa ghafla na kutaka waanze maisha mengine ambayo sio asili yao.

Ngoja tuone, ila naunga mkono uamuzi huo.
Nachukua muda huu kumshkuru Mungu kwa kukuweka salama. Nilishawahi kuchati sana na wewe nikitumia akaunti ambayo kwa sasa siitumii tena. Ni jambo la kumshkru Mungu takribani miaka kumi inakaribia tu wazima.
 
Back
Top Bottom