Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kumkamata Lissu ilikuwa kosa kubwa mno !Watunyime kila kitu mpaka tukome.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumkamata Lissu ilikuwa kosa kubwa mno !Watunyime kila kitu mpaka tukome.
Mwarabu ndugu katika Imani kutoka Oman anataka ajenge vivutio vya kitalii ushasikia ndugu katika Imani kwa hio Mzungu hatosikilizwaHuu ulikuwa unyanyasaji mkubwa sana. Watu wameishi hapo miaka yote, unakuja kuwatoa ghafla na kutaka waanze maisha mengine ambayo sio asili yao.
Ngoja tuone, ila naunga mkono uamuzi huo.
Chungulia post #7.Hadi leo sijawahi kuelewa sababu ya maana ya kuwatoa wamasai Ngorongoro wakati miaka naenda rudi wameishi na wanyama pori bila shida
Hizi mambo zimefanyika ili kuimarisha suala la Carbon Credit. Lakini ni ngumu watu kulielewa hadi athari zitakapotokea.Maamuzi ya bunge la Ulaya kuhusu kuhamisha Wamasai Ngorongoro linakwenda kutaathiri kiuchumi. Tutaathirika kwa sababu tulitumia nguvu huku tukijua kabisa kwamba tunajipanga kuimarisha mahusiano na mataifa mengine.
Bunge la Ulaya kwa zaidi ya asilimia 90 limesema maamuzi ya Tanzania siyo sahihi. Means wazungu wanawapenda Watanzania kuliko sisi tunavyojipenda. Wazungu ni waasisi wa maliasili ,walitunga sheria na kanuni zote za kulinda rasilimali. Wamesema Wamasai ni ASILI na kwamba hakuna kinachoweza kufuta asili yao ngorongoro.
Tunatokaje hapa? Tunawezaje kukwepa athari za kiuchumi pale watakapoamua kulimalia hii hoja? Tujadiliane
Yupo msukuma na Maulid Kitenge watatusaidia kutuliza upepo. Isitoshe na Bashite amerudi atasaidia kupingaMaamuzi ya bunge la Ulaya kuhusu kuhamisha Wamasai Ngorongoro linakwenda kutaathiri kiuchumi. Tutaathirika kwa sababu tulitumia nguvu huku tukijua kabisa kwamba tunajipanga kuimarisha mahusiano na mataifa mengine.
Bunge la Ulaya kwa zaidi ya asilimia 90 limesema maamuzi ya Tanzania siyo sahihi. Means wazungu wanawapenda Watanzania kuliko sisi tunavyojipenda. Wazungu ni waasisi wa maliasili ,walitunga sheria na kanuni zote za kulinda rasilimali. Wamesema Wamasai ni ASILI na kwamba hakuna kinachoweza kufuta asili yao ngorongoro.
Tunatokaje hapa? Tunawezaje kukwepa athari za kiuchumi pale watakapoamua kulimalia hii hoja? Tujadiliane
Wajomba wanalitaka eneo ndugu katika ImaniHadi leo sijawahi kuelewa sababu ya maana ya kuwatoa wamasai Ngorongoro wakati miaka naenda rudi wameishi na wanyama pori bila shida
Naishi Marekani kwa zaidi ya miaka 20. Nimesafiri Afrika, Ulaya, na Asia.Umewahi kusafiri nje ya Tanganyika?
Best umeongea ukweli na ndio ilivyo,huyo macho kumchuzi ndgu zake wangefukuzwa kazimkazi angekubaliHuu ulikuwa unyanyasaji mkubwa sana. Watu wameishi hapo miaka yote, unakuja kuwatoa ghafla na kutaka waanze maisha mengine ambayo sio asili yao.
Ngoja tuone, ila naunga mkono uamuzi huo.
Bakuli la wajomba halina pesa za maana zaidi ya utapeli tuTutahamishia bakuli kwa wajomba
Kuchunguza nini? Jinsi watu walivyotolewa kwaenye maeneo yao kwa nguvu ili wawapishe waarabu?Weka Namba ya simu ili iwe rahisi Kwa mawasiliano. Una mawazo mazuri sana utatusaidia kwenye uchunguzi
Kiongozi, neno Afrika na Africa katika matumizi ya maeneo/ bara yanatumikaje? Mfano hapo neno Asia umeutumia kwenye sentensi ya Kiswahili na unauweza kuutumia kwenye sentensi ya kiingereza pia hivyohivyo. Je, ya kwetu imetofautishwa na nini?Naishi Marekani kwa zaidi ya miaka 20. Nimesafiri Afrika, Ulaya, na Asia.
Point yako ni nini?
Interest conflict, mzungu kaona arabs watafaidika kaja na vikwazo, ngoja tutamuuliza Bw. Boni hapa tuweke mafuta au maji?
Afrika ni Kiswahili, Africa ni Kiingereza. Kwenye Asia, silabi zinafanya maandishi kwenye Kiingereza na Kiswahili kuwa sawa. Asia. Ingawa matamshi Kiingereza ni "Eshia" na Kiswahili ni "Asia".Kiongozi, neno Afrika na Africa katika matumizi ya maeneo/ bara yanatumikaje? Mfano hapo neno Asia umeutumia kwenye sentensi ya Kiswahili na unauweza kuutumia kwenye sentensi ya kiingereza pia hivyohivyo. Je, ya kwetu imetofautishwa na nini?
ShukraniAfrika ni Kiswahili, Africa ni Kiingereza. Kwenye Asia, silabi zinafanya maandishi kwenye Kiingereza na Kiswahili kuwa sawa. Asia. Ingawa matamshi Kiingereza ni "Eshia" na Kiswahili ni "Asia".
Pamoja na mimi kutounga mkono yaliyofanyika Loliondo Lakini Sio kila maamuzi ya nchi za kiafrika kwamba lazima yawafurahishe wazungu.Hao ni wanafiki watupu.
Sababu rasmi sio kuwapenda Wamasai bali ni kwa sababu kule anapewa hasimu wao mkuu ambaye ni Mwarabu.
Lakini pia wengi wetu humu mnachangia kishabiki zaidi ya uhalisia.
Tena wengi wenu mnatumia taarifa za wanaharakati kuliko uhalisia ulivyo.Ili kuulinda utalii na kipato chake nchini.Ilikuwa ni lazima wamasai wapunguzwe pamoja na mifugo yao inayoongezeka kuliko eneo husika.
Na kingine ni siasa uchwara za upinzani wa kitanzania.
Hiyo ndio kazi ya Tundu Lissu anayoifanya kila anapokwenda huko kwa wafadhili wake wakuu.
Nachukua muda huu kumshkuru Mungu kwa kukuweka salama. Nilishawahi kuchati sana na wewe nikitumia akaunti ambayo kwa sasa siitumii tena. Ni jambo la kumshkru Mungu takribani miaka kumi inakaribia tu wazima.Huu ulikuwa unyanyasaji mkubwa sana. Watu wameishi hapo miaka yote, unakuja kuwatoa ghafla na kutaka waanze maisha mengine ambayo sio asili yao.
Ngoja tuone, ila naunga mkono uamuzi huo.