Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Lucas mwashambwa naye hana? Duh, acha bwana eeeh!Ccm haijawahi kuwa na watu wenye akili timamu
Kama sisi wenyewe hatuna akili za kujiamria mambo kama nchi, unatarajia hao wengine huko nje watafanya nini? Watatuamria.Maamuzi ya bunge la Ulaya kuhusu kuhamisha Wamasai Ngorongoro linakwenda kutaathiri kiuchumi. Tutaathirika kwa sababu tulitumia nguvu huku tukijua kabisa kwamba tunajipanga kuimarisha mahusiano na mataifa mengine.
Bunge la Ulaya kwa zaidi ya asilimia 90 limesema maamuzi ya Tanzania siyo sahihi. Means wazungu wanawapenda Watanzania kuliko sisi tunavyojipenda. Wazungu ni waasisi wa maliasili ,walitunga sheria na kanuni zote za kulinda rasilimali. Wamesema Wamasai ni ASILI na kwamba hakuna kinachoweza kufuta asili yao ngorongoro.
Tunatokaje hapa? Tunawezaje kukwepa athari za kiuchumi pale watakapoamua kulimalia hii hoja? Tujadiliane
Jomba siku nyingine usichukulie watu poa. Inawezekana hata Mpwayungu Village kaizunguka sana dunia ila hapa JF anajitoa tu ufahamu.Umewahi kusafiri nje ya Tanganyika?
Unadhani wenzio wanajali basi?Maamuzi ya bunge la Ulaya kuhusu kuhamisha Wamasai Ngorongoro linakwenda kutaathiri kiuchumi. Tutaathirika kwa sababu tulitumia nguvu huku tukijua kabisa kwamba tunajipanga kuimarisha mahusiano na mataifa mengine.
Bunge la Ulaya kwa zaidi ya asilimia 90 limesema maamuzi ya Tanzania siyo sahihi. Means wazungu wanawapenda Watanzania kuliko sisi tunavyojipenda. Wazungu ni waasisi wa maliasili ,walitunga sheria na kanuni zote za kulinda rasilimali. Wamesema Wamasai ni ASILI na kwamba hakuna kinachoweza kufuta asili yao ngorongoro.
Tunatokaje hapa? Tunawezaje kukwepa athari za kiuchumi pale watakapoamua kulimalia hii hoja? Tujadiliane
Jibu swali bduguJomba siku nyingine usichukulie watu poa. Inawezekana hata Mpwayungu Village kaizunguka sana dunia ila hapa JF anajitoa tu ufahamu.
Umeelewa ulichoandika hapa mkuu? UNAUNGA MKONO WAMASAI KUHAMISHWA AU HUUNGI MKONO?Pamoja na mimi kutounga mkono yaliyofanyika Loliondo Lakini Sio kila maamuzi ya nchi za kiafrika kwamba lazima yawafurahishe wazungu.Hao ni wanafiki watupu.
Sababu rasmi sio kuwapenda Wamasai bali ni kwa sababu kule anapewa hasimu wao mkuu ambaye ni Mwarabu.
Lakini pia wengi wetu humu mnachangia kishabiki zaidi ya uhalisia.
Tena wengi wenu mnatumia taarifa za wanaharakati kuliko uhalisia ulivyo.Ili kuulinda utalii na kipato chake nchini.Ilikuwa ni lazima wamasai wapunguzwe pamoja na mifugo yao inayoongezeka kuliko eneo husika.
Na kingine ni siasa uchwara za upinzani wa kitanzania.
Hiyo ndio kazi ya Tundu Lissu anayoifanya kila anapokwenda huko kwa wafadhili wake wakuu.
Mtetezi wa agenda za kifaragha naona atakuwa ameenda kuichomea nchi utambi, unajua ushoga unaharibu sana akili, ukishatumbukia humo na akili huwa zinahama mazima! Hafahamu kuwa kuzaliana kwa wingi kwa masai mbugani na ujenzi kulikuwa ni tishio kwa wanyamapori!Watunyime kila kitu mpaka tukome.
😂😂 Utakuta TITLE kaandika MY DOING MY PURPOSE MY PASTAkistaafu anaandika kitabu kuzuga kujiutia huku a😂😂nakula pensheni.