Serikali ya awamu ya sita inafikiria kunufaisha zaidi waarabu kuliko raia wakeMaamuzi ya bunge la Ulaya kuhusu kuhamisha Wamasai Ngorongoro linakwenda kutaathiri kiuchumi. Tutaathirika kwa sababu tulitumia nguvu huku tukijua kabisa kwamba tunajipanga kuimarisha mahusiano na mataifa mengine.
Bunge la Ulaya kwa zaidi ya asilimia 90 limesema maamuzi ya Tanzania siyo sahihi. Means wazungu wanawapenda Watanzania kuliko sisi tunavyojipenda. Wazungu ni waasisi wa maliasili ,walitunga sheria na kanuni zote za kulinda rasilimali. Wamesema Wamasai ni ASILI na kwamba hakuna kinachoweza kufuta asili yao ngorongoro.
Tunatokaje hapa? Tunawezaje kukwepa athari za kiuchumi pale watakapoamua kulimalia hii hoja? Tujadiliane
😆😆😆😆😆Hata Lucas mwashambwa naye hana? Duh, acha bwana eeeh!
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Wale wazee waliyotaka kwenda kufanya matambiko mlimani hanangMkuu,
Kwanza kabisa, nakubaliana na mengi uliyoandika.
Lakini.
Kusema wazungu ni waasisi wa maliasili wakati Afrika kuna mpaka dini za asili zinazolazimisha kutunza maliasili za mazingira, wakati sisi Waafrika tulikuwa tunafanya recycling miaka ya zamani kabla wazungu hawajaifanya recycling kuwa fashionable, ni kutojua historia.
Sema hivii, Muafrika akifanya recycling anaonekana masikini tu huyo hana hela ya kununua kipya, Mzungu akifanya recycling anaitwa mwanamazingira.
Muafrika akitunza maliasili za mazingira kwa mental model ya dini yake, akikataza miti isikatwe, anaitwa mpagani, Mzungu akikataza miti isikatwe, anaitwa mwanamazingira anayetunza maliasili za mazingira.
Naona umeingia katika mtego huu na kumuita Mzungu muasisi wa maliasili, wakati huko Marekani na Ulaya maendeleo ya ki teknolojia yamesababisha uharibifu mkubwa kabisa wa maliasili na mazingira.
Maza akachukue misaada kwa waarabuMaamuzi ya bunge la Ulaya kuhusu kuhamisha Wamasai Ngorongoro linakwenda kutaathiri kiuchumi. Tutaathirika kwa sababu tulitumia nguvu huku tukijua kabisa kwamba tunajipanga kuimarisha mahusiano na mataifa mengine.
Bunge la Ulaya kwa zaidi ya asilimia 90 limesema maamuzi ya Tanzania siyo sahihi. Means wazungu wanawapenda Watanzania kuliko sisi tunavyojipenda. Wazungu ni waasisi wa maliasili ,walitunga sheria na kanuni zote za kulinda rasilimali. Wamesema Wamasai ni ASILI na kwamba hakuna kinachoweza kufuta asili yao ngorongoro.
Tunatokaje hapa? Tunawezaje kukwepa athari za kiuchumi pale watakapoamua kulimalia hii hoja? Tujadiliane
Watu washazoea kukaa kulala kwenye majumba ya miti juu nyasi,huko maporini wanakuja watu wanawaambia wanataka wawabadilishe life style wasiishi kizamani wanataka wakae nyumba tofali juu bati ndani tiles [emoji1]Mkuu,
Kwanza kabisa, nakubaliana na mengi uliyoandika.
Lakini.
Kusema wazungu ni waasisi wa maliasili wakati Afrika kuna mpaka dini za asili zinazolazimisha kutunza maliasili za mazingira, wakati sisi Waafrika tulikuwa tunafanya recycling miaka ya zamani kabla wazungu hawajaifanya recycling kuwa fashionable, ni kutojua historia.
Sema hivii, Muafrika akifanya recycling anaonekana masikini tu huyo hana hela ya kununua kipya, Mzungu akifanya recycling anaitwa mwanamazingira.
Muafrika akitunza maliasili za mazingira kwa mental model ya dini yake, akikataza miti isikatwe, anaitwa mpagani, Mzungu akikataza miti isikatwe, anaitwa mwanamazingira anayetunza maliasili za mazingira.
Naona umeingia katika mtego huu na kumuita Mzungu muasisi wa maliasili, wakati huko Marekani na Ulaya maendeleo ya ki teknolojia yamesababisha uharibifu mkubwa kabisa wa maliasili na mazingira.
Kwani kiranga yuko tanganyikaUmewahi kusafiri nje ya Tanganyika?
Kumbe Lissu anaheshimika na mataifa makubwa na tajiri kiasi hiki? jamaa tumpe maua yakePamoja na mimi kutounga mkono yaliyofanyika Loliondo Lakini Sio kila maamuzi ya nchi za kiafrika kwamba lazima yawafurahishe wazungu.Hao ni wanafiki watupu.
Sababu rasmi sio kuwapenda Wamasai bali ni kwa sababu kule anapewa hasimu wao mkuu ambaye ni Mwarabu.
Lakini pia wengi wetu humu mnachangia kishabiki zaidi ya uhalisia.
Tena wengi wenu mnatumia taarifa za wanaharakati kuliko uhalisia ulivyo.Ili kuulinda utalii na kipato chake nchini.Ilikuwa ni lazima wamasai wapunguzwe pamoja na mifugo yao inayoongezeka kuliko eneo husika.
Na kingine ni siasa uchwara za upinzani wa kitanzania.
Hiyo ndio kazi ya Tundu Lissu anayoifanya kila anapokwenda huko kwa wafadhili wake wakuu.
Sisi ni tafauti. Dunia nzima hasa mabeberu wana reference moja tu ya Aborigines wa Australia na Wahindi Wekundu wa USA. Sisi ni tafauti lakini hawataamini. Serengeti ni ardhi ya asili wa Wasukuma na Wangoreme, walitokewa kwa faida kubwa ya Watanzania, mbona hawa hawajalalamika? Kundi la wachache kwenye mazalia ya Serengeti iweje watutie kitanzi? Ni bahati mbaya kuna Wasaliti wa CHADEMA wakishirikiana na NGO za Kenya kupotosha. Tukataeni kuburuzwa na mabeberu.Maamuzi ya bunge la Ulaya kuhusu kuhamisha Wamasai Ngorongoro linakwenda kutaathiri kiuchumi. Tutaathirika kwa sababu tulitumia nguvu huku tukijua kabisa kwamba tunajipanga kuimarisha mahusiano na mataifa mengine.
Bunge la Ulaya kwa zaidi ya asilimia 90 limesema maamuzi ya Tanzania siyo sahihi. Means wazungu wanawapenda Watanzania kuliko sisi tunavyojipenda. Wazungu ni waasisi wa maliasili ,walitunga sheria na kanuni zote za kulinda rasilimali. Wamesema Wamasai ni ASILI na kwamba hakuna kinachoweza kufuta asili yao ngorongoro.
Tunatokaje hapa? Tunawezaje kukwepa athari za kiuchumi pale watakapoamua kulimalia hii hoja? Tujadiliane
Jamhuri ya watu wajinga. Kama ingekuwa ni Jamhuri kama zilivyo jamhuri nyingine mngekuwa mnaomba misaada kila siku? Mngekuwa mnashindwa kutengeneza hata bodaboda?Hawo Mabeberu wanapaswa kujua kuwa Tanzania ni Jamuhuri, na kama ni Jamuhuri basi inapaswa kujiamulia mambo yake yenyewe bila kupangiwa na wao Mabeberu.
Wewe umemuona mwanashweria Ile Shanghai alivyowahutubia wazungu ndani ya vazi la kimasai? Uliomba tuzo take? Hii kitu ina washikadau kibao kwenye Bunge la ulaya na supporter mmoja aliaga dunia juzi juzi according to ole. CCM inajidai kuwapuuza Wana harakati ila kwa wazungu wanajarakati ni serikali BKama ni kazi ya Tundu Lissu basi nimezidi kumkubali.
Asante kwa kunifahamisha Mkuu.
Kwa maana hiyo Ngorongoro pasi Wamasai haina hadhi tena ya kuitwa "Conservation Area". Iliitwa hivyo kwa sababu ilihifadhi Wanaasai na mifugo yao pamoja namila. Pia ilihifaddhi Mali kale ya Olduvai. Wala Mkuu wake hana hadhi ya kuitwa "CHief Conervator". Hapo inakuwa km TANAPA na Chief WardenMaamuzi ya bunge la Ulaya kuhusu kuhamisha Wamasai Ngorongoro linakwenda kutaathiri kiuchumi. Tutaathirika kwa sababu tulitumia nguvu huku tukijua kabisa kwamba tunajipanga kuimarisha mahusiano na mataifa mengine.
Bunge la Ulaya kwa zaidi ya asilimia 90 limesema maamuzi ya Tanzania siyo sahihi. Means wazungu wanawapenda Watanzania kuliko sisi tunavyojipenda. Wazungu ni waasisi wa maliasili ,walitunga sheria na kanuni zote za kulinda rasilimali. Wamesema Wamasai ni ASILI na kwamba hakuna kinachoweza kufuta asili yao ngorongoro.
Tunatokaje hapa? Tunawezaje kukwepa athari za kiuchumi pale watakapoamua kulimalia hii hoja? Tujadiliane
Wajomba wanalitaka eneo LA ngorongoro.Hadi leo sijawahi kuelewa sababu ya maana ya kuwatoa wamasai Ngorongoro wakati miaka naenda rudi wameishi na wanyama pori bila shida