hivi lakini kwelii eee...mimi huwa siyaelewi makalio na hips zake. ukute alipaka madawa kweli. halafu hayajakaa vizuri.
nenda kwa shangazi yake mati
shosti sijui kuatach video ila mama chibu bwana alikua anatoka na bwan salehe
bas mama rommy kapiga simu kwa dogo dogo kumuuliza kuhusu malovee yao
dogodogo akawa anasema mbona tushaachana toka mwaka jana
mengine nimesahau ila seems km mama rommy alitaka yaishe yaanj waresolve
mtanisamehe team mondi maana mnavyoshadadia ya wenzenu na haya mushadadie basss
warumi hata thread hujaweka mnafki weweee kutwa na wema tuuu na mama ake
leteni thread basssssssssess.....
mnipende mnichukie
mavi yenuuuuu wanafki woteeeeeeeeee mnaopenda kushabikia ya wema tuuuuuuuu
Hebu tupeni umbea ambao hatupo huko
Bt side effect yke mbaya sana lazma cancer ikupate tu
Hahahahaaaa, ila shoga warumi unamuonea maana aliweka uzi akimtetea mama chibu kwa kutoka na dogodogo mara ukafutwa fastaaa.
Ngoja niende kwa shangazi yake na mati maana naona leo dougie hajaweka nyingine.
Teh teh me sio mmbea ila nimepita. Mie zamani ndo nilikuwa na makalio, sasa hivi Nina Sony wega so inawezekana Kabisa eeeeh. U hearddddddd....
Haaaa ndio nani tena alimjaza uchina Dida au?
Hata picha za umisi alikuwa hana matako kumekucha
Wenye watoto wa kike jamani kandeni wanenu mapema wakizaliwa wasetini baadae mtajionea yale matundu mawili juu ya mat.ako muhimu
Wasetini hata kuwaweka sawa hips zitakuwaje hamuoni mfano wa SA wengi wao walivyo?
Hahahahaha nimecheka jamani we Dada eti sonny wega
Hahahah ndiyo ndugu yangu, yani kitu flaaaaaaat
Princess sayuni alibadili ID bana Kama nakumbuka vizuri ( Kama hujabadili usinichambe tu Jamani teh teh). Ndiyo wengine shape zetu zinabadilikia ukubwani. Ila tuache utani muuza Samaki wewe, aunt na uwoya wakati wanashiriki umiss
Na wema si walikuwa na shapes za kawaida tu Au?
Ebu tujaribu kuwa wakweli ingawa mapenzi ni upofu
Ivi Huoni tofauti kati ya tako la umiss na hili hapa?
Akina nancy, millen na akina nasreen karem wao ya kwao hayaongezeki
Tuseme ni unene au mazoezi mbona tumbo halinenepi na miguy imestuck.
Wee kiuno kimebaki kilekile tako na mapaja yamekua kwa kasi ya ajabu
Basi ni sababu za kinasaba, mbona wale dada zake hawapo ivo?
Mastaa wa juu wenye guts huwa wanakubali kama wamefanya ukarabati fulani katika maeneno yao.Huo ndio ustar.
Sweetheart wetu hapa alitumia kakitu fulani, ndio maana linashuka afu lina pande nne.
hayo mabadiliko sawaaa ngoja tuone mwisho wake,sie tupo,
Mamy inawezekana ni lake coz mimi mwenyew nilikuwa kimbau mbau balaa sijulikani tako kiuno wala mgongo nikienda kama narudi ila nikiwa chuo second year nili futuka balaa hisps sijui zilitok wapi na makalio sijui yalitoka wapi.