Ataachaje kuchanganyikiwa inauma mno aisee. Ndo mana Christian Bella mzee wa masauti aliimba kuachwa ni shuguli mbaya zaidi kwa yule unaye mpenda we we unakufa na mawazo na kukonda yeye ajali kitu.
Caption.
Mpaja mpanaa Viguu fimbo duh
Kuna ukungu. Hujauona?
Sio ukungu ni fungus sugu hiyo
Tako la wema lina nikumbusha mwalimu wangu wa hesabu alivokwa ananifundisha trapezium na hexagone!
nifah mie nilikua nataka le tamkozz tu from my shoga.Hahahahaaa Ms.Lincoln umenichekesha sana.
Hivi Mai na lake katengeneza au anategngeneza tu ya wenzakeaiseee Mai mbaya jamaniiii
Ha ha ha tutaandamana asipopewa tuzo ya UIGIZAJI wakati yeye ni IGIZO lolhhhhhhaaaaaaa sina mbavu aiseeee
Hahah si watasema hapo alikuwa bado hajapevuka (kuuvunja) so alipopevuka ndo nyonga ikatanuka jamani!
Hahahha