Wambura aigomea TFF, adai uamuzi wa kufungiwa ni batili

Wambura aigomea TFF, adai uamuzi wa kufungiwa ni batili

Yeah, Wambura yuko sahihi,
Wao TFF wnamtuhumu kua alighushi nyaraka akachukua fedha za Jecks, sasa ilifaa hao Jecks waje wathibitishe kua hawakupewa fedha zao. Lakini TFF imedai haikukaa kikao ili kusikiliza mashahidi, bali kuthibitisha tuhuma.

Pili kawaida summons ya kumuita mtu inatakiwa kutolewa kwa siku zisizopungua tatu ili mtuhumiwa apate kujipanga kwa utetezi, hapa wambura kapewa siku 2 tu.

Tatu kabla ya kikao/kesi kuanza inabidi kila upande kuelezea mashahidi na vielelezo watakavyotumia ili upande mwengine ujipange kwa utetezi against vielelezo hivyo lakini pia hili halikufanyika.

Nne tuhuma anazotuhumiwa nazo Wambura ni za toka enzi ambazo Karia kwa cheo chake ndie aliekua mlipaji Mkuu wa hizo fedha, anaachwaje kuhusishwa nazo??

Tano Tuhuma hizo zinahusisha kufoji nyaraka, why isiwe ni jukumu la Polisi kuthibitisha kua kuna forgery iliyofanyika?? TFF wana utaalamu wa kuchunguza forgery??

Sita tuhuma hizi ni za muda mrefu, kabla hata ya uchaguzi. Kwanini zimekuja kuibuliwa muda huu?? Kwanini pamoja na tuhuma hizi bado aliruhusiwa kugombea lakini sasa anaondolewa??

Kwa kumalizia inaonekana Makamu wa Rais wa TFF ndio wanaokuja kua Rais ajae wa TFF. Tukianaza na kina Nassibu Ramadhan, Athuman Nyamlani, Walace Karia katika hawa angalao wapo waliokuja kua either Rais au Kaimu rais wa TFF. Inawezekana kwa Wambura ni hofu tu ya watawala walioko TFF now kumuogopa.

-Ra
Mzee umesema vizuri sana ngoja tff waje tusikilizie haja zao
 
Wambura ni football cobra ... Subirini hili saga halijaisha
Huwezi sema jamaa ni kobra wakati,hujampa nafasi ya kujitetea na kuwashirikisha mashahidi alafu unatoa hukumu mtazani mpo katika kikao cha WALEVI,Wambura yupo sahihi na anajielewa sio muoga na anajua kudai haki yake.
 
Yeah, Wambura yuko sahihi,
Wao TFF wnamtuhumu kua alighushi nyaraka akachukua fedha za Jecks, sasa ilifaa hao Jecks waje wathibitishe kua hawakupewa fedha zao. Lakini TFF imedai haikukaa kikao ili kusikiliza mashahidi, bali kuthibitisha tuhuma.

Pili kawaida summons ya kumuita mtu inatakiwa kutolewa kwa siku zisizopungua tatu ili mtuhumiwa apate kujipanga kwa utetezi, hapa wambura kapewa siku 2 tu.

Tatu kabla ya kikao/kesi kuanza inabidi kila upande kuelezea mashahidi na vielelezo watakavyotumia ili upande mwengine ujipange kwa utetezi against vielelezo hivyo lakini pia hili halikufanyika.

Nne tuhuma anazotuhumiwa nazo Wambura ni za toka enzi ambazo Karia kwa cheo chake ndie aliekua mlipaji Mkuu wa hizo fedha, anaachwaje kuhusishwa nazo??

Tano Tuhuma hizo zinahusisha kufoji nyaraka, why isiwe ni jukumu la Polisi kuthibitisha kua kuna forgery iliyofanyika?? TFF wana utaalamu wa kuchunguza forgery??

Sita tuhuma hizi ni za muda mrefu, kabla hata ya uchaguzi. Kwanini zimekuja kuibuliwa muda huu?? Kwanini pamoja na tuhuma hizi bado aliruhusiwa kugombea lakini sasa anaondolewa??

Kwa kumalizia inaonekana Makamu wa Rais wa TFF ndio wanaokuja kua Rais ajae wa TFF. Tukianaza na kina Nassibu Ramadhan, Athuman Nyamlani, Walace Karia katika hawa angalao wapo waliokuja kua either Rais au Kaimu rais wa TFF. Inawezekana kwa Wambura ni hofu tu ya watawala walioko TFF now kumuogopa.

-Ra

Kama vp waziri aingilie kati maana wanataka kurudisha ule utaratibu wa kucheza mpira mahakamani wapuuzi hawa
 
Yaani huyu jamaa sijui kwanini wana mpiga vita pale TFF, Hata kwa watani zangu pale msimbazi huwa ikifika wakati wa uchaguzi wana muwekea mizengwe kibao nadhan ana kitu kuwazidi wao.
Ana kitu gani cha ziada ambacho hakuwahi kukifanya ktk soka la TZ wakati aliwahikuwa katibu mkuu wa FAT na matokeo yake ni kuvurunda tu ubabaishaji na ulaji uliokithiri mpaka kumwondoa ilibidi kazi ya ziada ifanyike.
 
Huyu jamaa atengeneze maisha yake binafsi kama " ana karoho kakukaliwa" hivi. Kama kuna mwanamke amemtelekeza na watoto akafanye reconciliation, sio bure!!!
 
Wao na wajumbe wao ndio waliomchagua wakijua ana mapungufu kibao, Sasa wanaye huyo atawaendesha hadi waimbe poo
wambura kushirikiana na malinzi waliwanunua wajumbe wote wa mikoa ili wachaguliwe. kwakuwa karia ni mtu wa kitengo akafanikiwa kumdaka malinzi hadi leo yupo ndani ( naomba asitoke afie huko).bwana wambura akachaguliwa na ndo amekutana na moto.hatoki hapa wala hachomoki kesha kazikwa .wambura umetuharibia mpira muda mrefu mkuj tafuta kazi ya kufanya.
karia safi sana kulitoa hilo jizi limesoma hadi degree kisa liongoze mpira.
jizi wewe wambura
 
Back
Top Bottom