Sio kweli hakufariki wakati anatoka kazini cloudsWakati anatoka kazini clouds fm alipata ajali. Hakuomba Ho2. Alizikwa kwao Kilimanjaro.
Huyu ni miongoni ya waliopunguzwa clouds n kina perfect clispine
Kutokana na msongo wa mawazo alikuwa anakunywa sana ndio sababu ya ajali
SO alipata ajali akiwa jobless