Wambura Mtani aondoka RFA baada ya miaka 22

Wakati anatoka kazini clouds fm alipata ajali. Hakuomba Ho2. Alizikwa kwao Kilimanjaro.
Sio kweli hakufariki wakati anatoka kazini clouds

Huyu ni miongoni ya waliopunguzwa clouds n kina perfect clispine

Kutokana na msongo wa mawazo alikuwa anakunywa sana ndio sababu ya ajali

SO alipata ajali akiwa jobless
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…