Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia uandike vizuri mkuu bila kukurupuka. RelaxPicha inajieleza, wametaka kumwibia mzee wangu usiku huu, hivi sasa hawasemi "ile fedha tuma kwa namba hii", wanatuma ujumbe wa namna hii
Huu uandishi tayari ni bange kazini🤣🤣🤣All fu Kuna be watu wanapigania up halakushaji wa bangi!!?
Nimeona neno bangi hapo. Imehusika kwenye huu uandishi?All fu Kuna be watu wanapigania up halakushaji wa bangi!!?
Pole mkuu ndo simu zetu hizi, hapo imeandika inavyotaka sio unavyotakaAll fu Kuna be watu wanapigania up halakushaji wa bangi!!?
Pole Sana halafu namba nyingi za matapeli huwa ni za AirtelTapeli mwingine mwenye namba +255 0689 460 513 juzi kaniharibia siku baada ya kumshtukia kanitukania marehemu mama yangu (RIP) tusi kubwa sana mpaka nikajuta kujibishana naye. Najiuliza si hivi karibuni tu simu zimehahakiwa inawezekana vipi tena hawa matapeli bado wanakuwepo mitandaoni?
Hata mimi nilitumiwa huu ujumbe siku ya jana. Nikauangalia, halafu nikabakia tu kucheka. Maana ni mwezi uliopita tu, line za simu zilihakikiwa na mamlaka husika.Picha inajieleza, wametaka kumwibia mzee wangu kwenye kiswaswadu chake usiku huu, akanikimbilia nimsaidie kutuma fedha kwa mjukuu ndipo nikamshitua akazinduka.
Hivi sasa hawasemi "ile fedha tuma kwa namba hii", wanatuma ujumbe wa namna hiiView attachment 2539861
Kitambo sana labda ulikuwa hujakutana nayo hioPicha inajieleza, wametaka kumwibia mzee wangu kwenye kiswaswadu chake usiku huu, akanikimbilia nimsaidie kutuma fedha kwa mjukuu ndipo nikamshitua akazinduka.
Hivi sasa hawasemi "ile fedha tuma kwa namba hii", wanatuma ujumbe wa namna hiiView attachment 2539861