Wamegeuka timu za Shirikisho ni nyepesi

Wanasahau wao wenyewe walitumia ulozi pale south Africa ila kilichotokea Inonga na MKude ni mashahidi, hapa tunajifanya ni utani wa jadi ila ndio tabia halisi ya mtanzania
Kama wamegeuka basi hilo ni kosa, lakini bado haiondoi ukweli kwamba timu zinazocheza Kombe la Shirikisho huwa zinapatikana kwa utaratibu mmoja kati ya huu kutoka katika nchi shiriki.
1. Huwa sio mabingwa wa nchi bali wa kikombe cha shirikisho la nchi husika au kikombe maalum au washindi wanaofuata wa kikombe hicho iwapo bingwa wa ligi alitwaa pia kiombe hicho maalum
AU
2. ni washiriki wa michuano ya Klabu Bingwa walioondolewa katika raundi ya pili, au kwa ufupi walioshindwa kuingia katika hatua ya makundi ya CAF Champions League

Huo ndio uhalisia, sasa kama ni wabovu au wazuri walioondolewa kwa bahati mbaya, hilo ni suala lingine la kupima
 
Mazembe atakaa kwa BAMAKO hawez kukubali kupigwa mech zote kumbuka hata us monastair alitoa sare kule Mali akishika nafas ya 3 mpunga na point zitaongezeka katka rank za CAF

Sent using Jamii Forums mobile app
ni suala la kusubiri tu. Nilichogundua ni kwamba tatizo la TP Mazembe ni kama la Simba vile. Ukiamngalia takwimu zao utaona wanapeleka mashambulizi mengi lakini wanapata magoli machache
 
Aloo mashabiki wa Tanzania ... wameibuka na cheap propaganda kwa kuanza kusema michuano ya Shirikisho ni mepesi.
Lakini hili suala la kusema michuano ya kombe la shirikisho kuwa ni ya timu mbovu na nyepesi, lilitolewa na Yanga kupitia kwa msemaji wake kwa wakati huo, Haji Manara, wakati huo Simba inashiriki na Yanga haikuwapo kabisa. Pengine wanachofanya hawa mashabiki ni kukumbushia tu kilichoongelewa. Kwa hiyo haupo sahihi kusema kuwa mashabiki wamegeuka, ila useme wamekumbushia
 
Nyie ilo kombe la shirikisho c ndio mlipigwa faini na caf kwa kufanya ulozi uwanjani kwa watu na bado mkapigwa.
Kama ni kombe la loser kwanini mlishindwa kulichukua ilo kombe?.
 
Nyie ilo kombe la shirikisho c ndio mlipigwa faini na caf kwa kufanya ulozi uwanjani kwa watu na bado mkapigwa.
Kama ni kombe la loser kwanini mlishindwa kulichukua ilo kombe?.
Mzee unafikiri kuchukua Kombe la Shirikisho ni sawa na kuifunga Ihefu? maana Ihefu yenyewe tu ni timu ngumu
 
Yangaa vilazaaaaa sana hilo kombe wao si wanalitaa luzaaa........leo limekua tam daah
Uto banaaaa
 
Mzee unafikiri kuchukua Kombe la Shirikisho ni sawa na kuifunga Ihefu? maana Ihefu yenyewe tu ni timu ngumu
Ndio muache kusema ni kombe la losers ili hali nyie mmeshindwa kufika hata semi final
 
Shirikisho ligi ya looser
 
Ndio muache kusema ni kombe la losers ili hali nyie mmeshindwa kufika hata semi final
Hili unatakiwa umwambie mwanachama na msemaji wa Yanga, Haji Manara.
Kwani Yanga imefika semi final? 😁. Kumbuka Simba ilishafika fainali ya Kombe la CAF
 
Kabla michuano haijaanza tuliwasikia wakisema ngoja za kimataifa zianze tutaona ubora wenu saivi wamegeuka na kudai timu zilizopo shirikisho ni nyepesi..

Hii ni tabia ya watu wengi sana huwa hawakubali uwezo na jitihada za wengine.
hujui kwann wamekutana huko shirikisho?
 
arsenal anaongoza lig ila hayupo UEFA , je anaeza mmudu nani pale UEFA ? kuongoza lig ni kuokota points nying kwa vibonde
 
Kama ni kombe la loser kwanini mlishindwa kulichukua ilo kombe?.
Aliyesema ni la losers ni msemaji rasmi wa klabu ya Yanga, Haji Manara. Aulizwe yeye kwa nini alisema hivyo
 
Kwamba far rabat, monastir, malumo, pyramids wamezidiwa na vipers?
 
Vipi huyo Yanga unakumbuka mlimfunga lini pia??????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…