Wamegeuka timu za Shirikisho ni nyepesi

Wamegeuka timu za Shirikisho ni nyepesi

Kama mpira unaujua na mifumo ya mashindano unayaelewa, basi ungekuwa na uwezo wa kutofautisha kati ya kufeli klabu bingwa na kuwa timu mbovu. Hakuna uhusiano kati ya kufeli kufuzu klabu bingwa na kuwa timu mbovu. Kuna timu zimepitia njia nyepesi na kuna timu zimepitia njia ngumu.
Na ndio maana nikakupa tu uhalisia kuwa kwenye kombe la shirikisho kuna timu ngumu na ndio maana bingwa wa klabu bingwa akakalishwa na bingwa wa shirikisho kwenye super cup.
uzue kufuzu sio mechi moja , Hao yanga wametolewa na Al hilal ambao mliamin ni vibonde
 
  • Thanks
Reactions: Tui
kwann hawapo UEFA ?
Swali lako umeuliza kuwa timu gani inayocheza UEFA ambayo Arsenal ina ubavu wa kuifunga. Nikakutajia, sasa kabka ya kuuliza swali la pili kwanza tukubaliane kuhusu hili. Ni kweli wanafungika na Arsenal ama lah kama lah ni kwanini wasifungike
 
Swali lako umeuliza kuwa timu gani inayocheza UEFA ambayo Arsenal ina ubavu wa kuifunga. Nikakutajia, sasa kabka ya kuuliza swali la pili kwanza tukubaliane kuhusu hili. Ni kweli wanafungika na Arsenal ama lah kama lah ni kwanini wasifungike
umesema inaweza sio imezifunga msimu huu ? sasa jiulize kwann hayupo nao hapo ? jibu ni kuwa hao ni bora kuliko Arsenal hz nyingne ni asumptions tu
 
Swali lako umeuliza kuwa timu gani inayocheza UEFA ambayo Arsenal ina ubavu wa kuifunga. Nikakutajia, sasa kabka ya kuuliza swali la pili kwanza tukubaliane kuhusu hili. Ni kweli wanafungika na Arsenal ama lah kama lah ni kwanini wasifungike
hao ndo type yake , hao unaowaona majina madogo ni bora ndio maana wapo hapo
IMG_20230312_113818.jpg
 
Back
Top Bottom