Wamegeuza mahusiano kuwa ajira

Ndio maana unakuta vijana vi benten ni wengi...
Mwanaume ni kukomaa tu mwanzo mwisho akuna kulalamika lalamika..

Ndo maana mimi kuepukana na hayo mambo huwa nakula wadada ambao tayari wapo katika mahusiano yao..

Mambo ya kuwekana fursa sitaki
 
Sijui kwanini nimecheka🀣
 
Nipe namba yake mkuu
 
Mi kwa sasa ukiomba hela tu nikikuhurumiaipokei sinu zako ila ya kisukuma yakipanda unakula block maisha yanaendelea. Nlisomesha mchumbaMOCU dadeki alichonifanya nlitamani kufa, coz nlikuwa na mkopo mkubwa bank napokea 1/3 ya mshahara nasomesha mtoto wangu 1 familia inaniangalia, msenge yule nlikuwa nakopa mkopo umiza namtumia hela kumbe maku yule ana msela mavi wanasoma naye anagonga kila siku kwenye room ninayolipia na kitsnda nlichonunua mm. Wanawake baadhi yenu ni mashetani. Nlikata msaada wangu dogo yule akaja kuuza K saiz anauza duka la nguo na anajiuza pia.maana anatokea familia maskini sana
 
Maisha mjini ni magumu mazee , hata mshahara wa M3 ni foolish hapa mjini , dada zetu uwezo wa kutafta mdogo na mahtaji lazima wapate , Kwa vyovyote vile lazima wapige vizinga huku na kule , kama Una demu wako Unampenda Kwa hapa mjini mhudumie tuu kadr unavyoweza , kama huna pesa hapa mjini achana tuu na mapenzi , kama vip nenda kijijini ukaoe , au uwe unanunua malaya , demu yyte mwenye mvuto hapa mjini ni ngumu kumtuliza kama pesa ya kuunga unga
 
Kwahiyo ulikuwa na mke na mtoto afu bado ukawa unatembea na demu wa chuo?
 

Ujamalizia story
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…