B I N A M U
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 1,495
- 2,403
So timu ya tajiri hii, tena imekuwaje timu tajiri kukopa nakati timu maskini hazijakopa [emoji848]Mkataba mwingine kwa mabingwa wa nchi wa udhamini kutoka kampuni ya Africarriers wenye thamani ya Tsh. 800 milioni.
Mdhamini atatoa mabasi matatu;
[emoji591] Basi moja litatumiwa na Simba Senior Team
[emoji604] Basi la pili litatumiwa na Simba Queens
[emoji590] Basi la tatu litatumiwa na timu ya vijana (Simba Youth)
Africarriers ni kampuni ambayo inajihusisha na biashara ya kuuza na kukopesha magari nchini. #NguvuMoja
Hebu elezea vizuri wamekopaje Mkuu, tofauti na hapo utakuwa na hila,roho mbaya,roho ya kishetani au unaleta unazi kwenye jambo ambalo ni serious,umeifuatilia vizuri press conference?Mkataba mwingine kwa mabingwa wa nchi wa udhamini kutoka kampuni ya Africarriers wenye thamani ya Tsh. 800 milioni.
Mdhamini atatoa mabasi matatu;
[emoji591] Basi moja litatumiwa na Simba Senior Team
[emoji604] Basi la pili litatumiwa na Simba Queens
[emoji590] Basi la tatu litatumiwa na timu ya vijana (Simba Youth)
Africarriers ni kampuni ambayo inajihusisha na biashara ya kuuza na kukopesha magari nchini. #NguvuMoja
Mkuu huwajui Uto? Subiri tu muda si mrefu ma ajent wao watakuja na takwimu kueleza nani wa kwanza kumiliki usafiri katika timu za KariakooπππHebu elezea vizuri wamekopaje Mkuu, tofauti na hapo utakuwa na hila,roho mbaya,roho ya kishetani au unaleta unazi kwenye jambo ambalo ni serious,umeifuatilia vizuri press conference?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu huwajui Uto? Subiri tu muda si mrefu ma ajent wao watakuja na takwimu kueleza nani wa kwanza kumiliki usafiri katika timu za Kariakoo[emoji3][emoji3][emoji3]
ππππ sasa huo mkopo uko wapi hapo?Mkataba mwingine kwa mabingwa wa nchi wa udhamini kutoka kampuni ya Africarriers wenye thamani ya Tsh. 800 milioni.
Mdhamini atatoa mabasi matatu;
π Basi moja litatumiwa na Simba Senior Team
π Basi la pili litatumiwa na Simba Queens
π Basi la tatu litatumiwa na timu ya vijana (Simba Youth)
Africarriers ni kampuni ambayo inajihusisha na biashara ya kuuza na kukopesha magari nchini. #NguvuMoja
Hamna sehemu ambapo inaonesha Simba wamekopa!Mbona habari njema hii,milioni 800 na magari matatu.
kumbuka hata Man U,Madrid,Barca zinakopa sembuse kwa Simba!
Wezi wa kuku hawa hata kusoma hawajuai wasamehe bureSimba imeingia mkataba na kampuni ya usafirishaji na ukopeshaji magari ya Africarriers co. Ltd kwa miaka minne (4) wenye fedha za kitanzania milioni mia nane (800) sambamba na mabasi matatu.
Mabasi hayo yatatumiwa na timu kubwa (senior team), Simba Queens na timu ya vijana mtawalia.
Huo mkopo uko wapi? Huo ni mkataba na siyo mkopo, utopolo mtakufa kwa presha.
Hata kama haipo ni kawaida kwa taasisi kama Simba kukopa.kama haipo leo inaweza ikawa siku zijazo mleta mada asione ajabu.Hamna sehemu ambapo inaonesha Simba wamekopa!
Hiyo kampuni inauza magari na kukopesha ,wameidhamini Simba mil 800 na magari matatu juu,hamna gari iliyokopwa hapoMbona habari njema hii,milioni 800 na magari matatu.
kumbuka hata Man U,Madrid,Barca zinakopa sembuse kwa Simba!
Sasa hivi wanaponda tuwazoee tu ,baadaye watapitia mlango wa nyuma wafanye hivo hivo na waoHata kama haipo ni kawaida kwa taasisi kama Simba kukopa.kama haipo leo inaweza ikawa siku zijazo mleta mada asione ajabu.