jorochere95
JF-Expert Member
- Oct 27, 2015
- 294
- 152
nilijua tu hipo siku tu kuna watu wata post tu thread kama hizi great thinkersWaliniadi kwenye group la wahuni la whasp bwana ,yani vigodoro vitupu,group lina watu kama 99 wote hamnazo ni mwendo wa mitusi na picha za x tu[emoji35] [emoji35]
Nikasema hawanjui hawa,,nikawaomba kuwa admin kwa kisingizio cha kutaka kuwaad wadada warembo kwenye group lao
Heeee siwakanipa UADMIN bwana[emoji75] [emoji75] [emoji75]
Nliwatoa wote kwenye group,nkabaki mwenyewe[emoji23] [emoji23]
Walikoma
Hahahahaaaaa....wee jamaaa comedian.Nikalidelete na group lenyewe la wahuni....jina tu la group ni "hapa mtombo tu"
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Kweli hulijua?nilijua tu hipo siku tu kuna watu wata post tu thread kama hizi great thinkers
Muombe nambaTuachane na hayo hilo tako lakwako sister
[emoji2] [emoji2] [emoji2] ,ukalipoteza kabsa hilo group,hapo kutafutana tena ni inshuNikalidelete na group lenyewe la wahuni....jina tu la group ni "hapa mtombo tu"
hahahhahahaha hili na mm liliinikuta mwaka jana..wanachuo wa UDOM walikuwa na group moja la kihuni wavulana kwa wasichana wanadicus ngono,,,nlipowasoma nkajua hawa n sawa na wadogo zangu nahitaj kuwasaidia,,nkaomba uadimn nkapewa aseee hawatokuja kusahau wale mafirauni,,nliwaremove woote afu nkawaadd kaama member wa kawaida ndo nkaanza wapa ushauri yann kinawafanya wao wawepo chuo,,mapenz na uhuni wafanye wakishmalza shule sio kufanya uhuni kwa pesa za wazaz na mikopo...anaejifanya kuleft nlikuwa namuaadd kwa nguvu..nliiifanya hyo kaz kwa week mbili mpaka nlipoamua waremove wote na kulifuta groupWaliniadi kwenye group la wahuni la whasp bwana ,yani vigodoro vitupu,group lina watu kama 99 wote hamnazo ni mwendo wa mitusi na picha za x tu[emoji35] [emoji35]
Nikasema hawanjui hawa,,nikawaomba kuwa admin kwa kisingizio cha kutaka kuwaad wadada warembo kwenye group lao
Heeee siwakanipa UADMIN bwana[emoji75] [emoji75] [emoji75]
Nliwatoa wote kwenye group,nkabaki mwenyewe[emoji23] [emoji23]
Walikoma
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji75] [emoji75] [emoji75] [emoji75] [emoji75]hahahhahahaha hili na mm liliinikuta mwaka jana..wanachuo wa UDOM walikuwa na group moja la kihuni wavulana kwa wasichana wanadicus ngono,,,nlipowasoma nkajua hawa n sawa na wadogo zangu nahitaj kuwasaidia,,nkaomba uadimn nkapewa aseee hawatokuja kusahau wale mafirauni,,nliwaremove woote afu nkawaadd kaama member wa kawaida ndo nkaanza wapa ushauri yann kinawafanya wao wawepo chuo,,mapenz na uhuni wafanye wakishmalza shule sio kufanya uhuni kwa pesa za wazaz na mikopo...anaejifanya kuleft nlikuwa namuaadd kwa nguvu..nliiifanya hyo kaz kwa week mbili mpaka nlipoamua waremove wote na kulifuta group
[emoji8] [emoji8][emoji35] [emoji35] [emoji35]
Haloooooooooooooooo[emoji75] [emoji75] [emoji75] [emoji75]