Wameni "add" kwenye group la whatssap bila idhini yangu ,,nlichowafanyia..hawatansahau

Wameni "add" kwenye group la whatssap bila idhini yangu ,,nlichowafanyia..hawatansahau

Waliniadi kwenye group la wahuni la whasp bwana ,yani vigodoro vitupu,group lina watu kama 99 wote hamnazo ni mwendo wa mitusi na picha za x tu[emoji35] [emoji35]
Nikasema hawanjui hawa,,nikawaomba kuwa admin kwa kisingizio cha kutaka kuwaad wadada warembo kwenye group lao
Heeee siwakanipa UADMIN bwana[emoji75] [emoji75] [emoji75]
Nliwatoa wote kwenye group,nkabaki mwenyewe[emoji23] [emoji23]
Walikoma
nilijua tu hipo siku tu kuna watu wata post tu thread kama hizi great thinkers
 
Waliniadi kwenye group la wahuni la whasp bwana ,yani vigodoro vitupu,group lina watu kama 99 wote hamnazo ni mwendo wa mitusi na picha za x tu[emoji35] [emoji35]
Nikasema hawanjui hawa,,nikawaomba kuwa admin kwa kisingizio cha kutaka kuwaad wadada warembo kwenye group lao
Heeee siwakanipa UADMIN bwana[emoji75] [emoji75] [emoji75]
Nliwatoa wote kwenye group,nkabaki mwenyewe[emoji23] [emoji23]
Walikoma
hahahhahahaha hili na mm liliinikuta mwaka jana..wanachuo wa UDOM walikuwa na group moja la kihuni wavulana kwa wasichana wanadicus ngono,,,nlipowasoma nkajua hawa n sawa na wadogo zangu nahitaj kuwasaidia,,nkaomba uadimn nkapewa aseee hawatokuja kusahau wale mafirauni,,nliwaremove woote afu nkawaadd kaama member wa kawaida ndo nkaanza wapa ushauri yann kinawafanya wao wawepo chuo,,mapenz na uhuni wafanye wakishmalza shule sio kufanya uhuni kwa pesa za wazaz na mikopo...anaejifanya kuleft nlikuwa namuaadd kwa nguvu..nliiifanya hyo kaz kwa week mbili mpaka nlipoamua waremove wote na kulifuta group
 
hahahhahahaha hili na mm liliinikuta mwaka jana..wanachuo wa UDOM walikuwa na group moja la kihuni wavulana kwa wasichana wanadicus ngono,,,nlipowasoma nkajua hawa n sawa na wadogo zangu nahitaj kuwasaidia,,nkaomba uadimn nkapewa aseee hawatokuja kusahau wale mafirauni,,nliwaremove woote afu nkawaadd kaama member wa kawaida ndo nkaanza wapa ushauri yann kinawafanya wao wawepo chuo,,mapenz na uhuni wafanye wakishmalza shule sio kufanya uhuni kwa pesa za wazaz na mikopo...anaejifanya kuleft nlikuwa namuaadd kwa nguvu..nliiifanya hyo kaz kwa week mbili mpaka nlipoamua waremove wote na kulifuta group
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji75] [emoji75] [emoji75] [emoji75] [emoji75]
 
Wanauwezo wa kulirudisha group bila wewe kuku add..njia rahisi unge exit group ukaleft tu
 
haya chukua zawadi
rooster.png
 
Back
Top Bottom