Wameni "add" kwenye group la whatssap bila idhini yangu ,,nlichowafanyia..hawatansahau

Wameni "add" kwenye group la whatssap bila idhini yangu ,,nlichowafanyia..hawatansahau

Waliniadi kwenye group la wahuni la whasp bwana ,yani vigodoro vitupu,group lina watu kama 99 wote hamnazo ni mwendo wa mitusi na picha za x tu[emoji35] [emoji35]
Nikasema hawanjui hawa,,nikawaomba kuwa admin kwa kisingizio cha kutaka kuwaad wadada warembo kwenye group lao
Heeee siwakanipa UADMIN bwana[emoji75] [emoji75] [emoji75]
Nliwatoa wote kwenye group,nkabaki mwenyewe[emoji23] [emoji23]
Walikoma

Tumeshatengeneza jingine tumeku add tena ila hatukupi u admin tena
 
Back
Top Bottom