ZEE LA UONGO
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,314
- 3,944
Na hali ya hewa ya leo, sema kuna Godo la kwenda na mtu hapo Dodoma.. ukitoka salama shukuruDodoma kuna watoto wazuri asikwambie mtu. Ilivyobaki Laki 1 nanusu ndiyo akili ikarejea. Nimeambiwa kipindi cha Bunge ndiyo mambo yanakuwa hivi. Hili nalo mkalitizame.
Mbona singida mie sionagi uzuri wa mademu wa pale na nimeishi karibia miaka miwili..Dodoma tu mkuu umesanda hivyo.
Je ungekua Singida ingekuaje!?
Hujaitembea Singida mkuu.Mbona singida mie sionagi uzuri wa mademu wa pale na nimeishi karibia miaka miwili..
Haujui? Peleka 150 hioAisee hawa sijui wamejifunza wapi uhuni
nimetembea singida yote mkuu, mjini na vijiji. na nimekula raha kweli kweli.. ilikiwa inanilazimu kufata watoto wakali mwanza au arusha.. labda kila ntu na macho yake πHujaitembea Singida mkuu.
Nikurushie picha uone za hao nilowapiga nikiwa huko!??
πππππMkuu kama unazungumzia malaya Singida hauna haja ya kutafuta malaya maana wanyaturu ukipiga swaga mbili tatu umeopoa.Singida napo wapo? Toa direction ili siku nikienda nisipite hapo.
Aaaagh huwenda una test tofauti.nimetembea singida yote mkuu, mjini na vijiji. na nimekula raha kweli kweli.. ilikiwa inanilazimu kufata watoto wakali mwanza au arusha.. labda kila ntu na macho yake π
Swaga 3/2 zipi mpe advertisingπππππMkuu kama unazungumzia malaya Singida hauna haja ya kutafuta malaya maana wanyaturu ukipiga swaga mbili tatu umeopoa.
Hao hapoaisee wako wapi hao warembo na mie nijimwaye mwaye nao. nipo domz hapa nipe muelekeo
Singida yote nimeimaliza hakuna mahala sijawai fika. pisi moyo ya singida au mbili ndio nilibahatika hadi leo nanyoosha mikono ππ ila zingine kawaida sanaaAaaagh huwenda una test tofauti.
Umewahi fika Salanda??
Kaka we ni msengeππππππππ
ukute na anakipini kwenye ulimi baraaa lake sio la kitoto
Mkuu unazungumzia nini weweeππππ.Singida yote nimeimaliza hakuna mahala sijawai fika. pisi moyo ya singida au mbili ndio nilibahatika hadi leo nanyoosha mikono ππ ila zingine kawaida sanaa
Nilikuwa Nakaa jamhuri mbele ya Masjid GhaddafWakati nasoma chuo sikutaka kuishi hostel nikapanga chakonichako hapo uwanja wa ndenge. Mungu ni mkubwa sikudisco ila shida nilizipata.
Arusha kama kuna matoto mzee baba, hawa wazuri sem wasingida nachowapendea wana maku nzuri na tamu.. nimewaosha sana paleMkuu unazungumzia nini weweeππππ.
Hawa uwafananishe na waarusha au wachaga wenye viuno kama nyoka!??
Ndio maana nikasema huwenda una test hardcore.
Hawa wote nawafahamu.
Na picha nimepiga kwa simu yangu mwenyewe ya Oppo A52.
View attachment 3087963View attachment 3087964
Wale watoto ukiwavuta na vimishkaki na soda huku unampigia swaga za nitakupeleka Darusalaame imeisha hiyo.Swaga 3/2 zipi mpe advertising
Utaacha na madeni au kupigia washkaji wakuongezee Hela ulikua safarini sasa umeachwa na Bus ulishuka kuchimba Dawa uchukue Boda uliwahi Bus kumbe mtoto kakushika pabayaLahaulaaa, yuko wapi nimalizie hii laki nanusu?