Wamependezaje Klyn baby

kwani nanihii nae ana hayo matatizo......................

Kijacho si ndio atapata mlezi wa ukweee..........huyo Mzee yuko hii hii Dar au nanihii

nianze kumsaka kuanzia sasa


acha kuhoji hoji , huoni mwenzako kyln alivyojitoa muhanga........

hlf huyo mwanamke mshe.nzi sana , kaamua kula kuku na vifaranga vyake........

altumika na kifaranga , akaamua kuhamia kwa jogoo.........
 
acha kuhoji hoji , huoni mwenzako kyln alivyojitoa muhanga........

hlf huyo mwanamke mshe.nzi sana , kaamua kula kuku na vifaranga vyake........

altumika na kifaranga , akaamua kuhamia kwa jogoo.........

Kuhoji muhimu ili na mie nikiamua kujilipua niwe na uelewa

halafu Kumbe kwa Kifaranga nako alitumika........, ingawa sijajuaa bado name la hiko kifaranga
 
ama kweli pesa... pesa bana!!!

dah... pesa hii!!

pesa ndo kila kitu sometimes..
 
Asavali mzee kamuwezesha mrembo,kwani njia ya kumwezesha mwanamuke ni mwanamuke akuzalie wawili
 
hahahaha Aisee Vijana bhana huwa wakizidiwa kete na wazee lazima wajaribu kuwapaka matope.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…