Tushajua wewe mmeruWameru n Wacha Mungu sana Alafu wana sheria Kali km Wamasai uwez kuta kijana wa kimeru Analewa lewa ovyo ovyo km vijana wa kichaga. Alafu dizain km wana ushirikiano sanaa Arusi za kimeru Watu wanatoa zawad hadi ratiba ya Shugul inaribika.
Sawa muwamba ngoma tumekusikiaWameru n Wacha Mungu sana Alafu wana sheria Kali km Wamasai uwez kuta kijana wa kimeru Analewa lewa ovyo ovyo km vijana wa kichaga. Alafu dizain km wana ushirikiano sanaa Arusi za kimeru Watu wanatoa zawad hadi ratiba ya Shugul inaribika.
Hapana, wachaga hawaelekei huko acha propaganda.Nyie sasa story zenu ni kama za wahutu na Watusi... Wote wanaongea lugha moja kisa muonekano, kisa elimu ndio wakaanza kukanyagana...
Nisawa na haya yanayo endelea ya wachaga wa rombo, wasiha, kibosho, marangu, machame nk...
Zile jamii za watusi, wahutu, ambazo zina patikana Rwanda na Burundi na lugha ni zile zile Leo hawataki kuonekana ni wamoja kisa ni upumbavu wao wa kimatabaka...
Wachaga na wenyewe wanaenda humo humo
.... kwa kawaida jamii ambazo zimekuwa na permanent settlement kwa muda mrefu uwezakano wa lafudhi kubadilika ndani ya umbali mfupi ni kawaida kwa sababu muingiliano (social interaction) ni mdogo kuliko jamii ambazo zinahamahama.Na wahaya wana matabaka mengi mhaya wa Muleba lafudhi ya kihaya chake ni tofauti mhaya wa Misenyi
Wanawake wa kimeru Wana tabia kama wale wa Machame a.k.a wapelestina?? Maana hapa ninakaribia kujicommit kwa mmeruWameru ni mchanganyiko wa Waarusha na Wamachame. Wamechukua sehemu zote mbili.
Halafu uchawi meru ni kitu kipya, sanasana wameleta wanyaturu ambao ni wafanyakazi wa kukata majani na kazi nyingine za shambani.
hao ndio wameleta magari ya "Jaguar' a.k.a Fisi.
Nope .. Tofauti ndogo iliyopo ni kuwa wapo more submissive (uarusha/Maasai kwa kiasi fulani)Wanawake wa kimeru Wana tabia kama wale wa Machame a.k.a wapelestina?? Maana hapa ninakaribia kujicommit kwa mmeru
Nasikia wanawake wa kimachame wana tabia ya kuua waume zao wakipata mali kuna ukweli gani kuhusu hiloWanawake wa kimeru Wana tabia kama wale wa Machame a.k.a wapelestina?? Maana hapa ninakaribia kujicommit kwa mmeru
Katika kabila lenye matabaka mengi Tanzania ni la Kichagga.
Na lugha zinabadilika kulingana na eneo ndio mana unakuta ukianza Rombo mpaka Siha lafudhi ni tofauti japo tunasikilizana vizuri lakini huwezi kujibu kama ulivyosemeshwa.
Katika kutaka kujua historia kidogo kwanini Wameru wanaongea lafudhi ya kufanana kabisa na Kichaga cha Machame?
HISTORIA YENYEWE
Wameru ni Wachagga wa Machame lakini walikuwa wachawi sana hapo zamani. Kipindi cha utawala wa Mangi ikafanyika opereseheni ya kuondoa na kuuwa wachawi wote. Ili kusafisha jamii dhidi ya ushirikina ile operation ilia wachawi wengi baadhi yao wakakimbilia milima ya Meru kutafuta makaazi huko.
Baada kukaa huko na kuongezeka na kuwa wengi na kwa sababu walikua kando kando ya mlima Meru wakaanza kujulikana kama Wameru.
Hadi leo ni kabila linalojulikana Tanzania kama Wameru. Ongea yao lafudhi yao maneno mengi, baadhi ya tamaduni zao haitofautiani na Kichaga.
Mwenye kutaka kujua zaidi afuatilie kuuliza,ila asiwaulize Wameru aulie wazee wa Kichaga. Ruksa kujazia.
Mimi nipo kwa wameru nimewauliza kuhusu hii kadhia wanabisha sana.Ila kwa jinsi Wameru walivyokuwa na ubinafsi pamoja na wivu hizi ni tabia za kichawi kabisa.Naunga mkono hoja!,ila asiwaulize Wameru aulie wazee wa Kichaga. Ruksa kujazia.
Mkuu asante kwa kujazia hii. NimeipendaHii taarifa pamoja na kwamba inaweza kuwa na jambo la kuchochea uchunguzi zaidi juu ya makabila yetu, ila inaacha ombwe kubwa juu ya asili ya varwa. Wameru sio jina lao, kwa asili wameru wanaitwa varwa-wingi, nrwa-umoja. Hili la wameru, ni jina la Kimasai lenye kumaanisha jua linakozama. Ukiwa Arusha ama Kilimanjaro, jua huchomoza mlimani Kilimanjaro na kuzama mlima Meru. Hivyo kutokana na hili, Wamasai wakawaita wakaaji wa eneo hili wameru, yaani watu wanaoishi kwenye mlima jua linakozama. Wazungu walipokuja wakaendeleza jadi hii ya kupotosha jina halisi la wakaazi wa ardhi hii ambao huitwa varwa.
Historia ya wameru inaelezwa kwa namna nyingi na waandishi tofauti tofauti kwa namna tofauti. Wako wanaoamini kuwa asili ya wameru ni milima ya Usambara na wanajenga hoja yao kwa kuangalia hulka, tabia na mwendo wa maisha ya varwa wa leo na kule usambaani. Wako ambao wanaamini varwa ni dialect ya kichanga, na hawa walikuwa ndugu ila baadaye ukazuka ugomvi wa kikoo na hivyo wakatawanyika. Kwenye vita hii zilizaliwa dialects nyingi, ikiwa ni pamoja na wapare ambapo maana yake ni waliopigwa na kupasuliwa, wakibosho, wa Machame na nk. Hoja ya pili ina nguvu zaidi kutokana ufanano uliopo kati ya dialects nyingi zilizo katika ukanda huu. Hivyo ni sahihi kusema varwa sio wachanga kwa sababu kwa asili hakuna kabila la kichanga. Kuna uwezekano mkubwa, hawa wanaojiita Wachaga leo ambao kwa hakika hawapo, wote shina lao ni milima ya Usambara. Na kwa hivyo, varwa ni kati ya vikabila vidogo vilivyozaliwa toka kabila kubwa la Usambaa kama matokeo ya vita miongoni mwa jamii hii.
Hii taarifa pamoja na kwamba inaweza kuwa na jambo la kuchochea uchunguzi zaidi juu ya makabila yetu, ila inaacha ombwe kubwa juu ya asili ya varwa. Wameru sio jina lao, kwa asili wameru wanaitwa varwa-wingi, nrwa-umoja. Hili la wameru, ni jina la Kimasai lenye kumaanisha jua linakozama. Ukiwa Arusha ama Kilimanjaro, jua huchomoza mlimani Kilimanjaro na kuzama mlima Meru. Hivyo kutokana na hili, Wamasai wakawaita wakaaji wa eneo hili wameru, yaani watu wanaoishi kwenye mlima jua linakozama. Wazungu walipokuja wakaendeleza jadi hii ya kupotosha jina halisi la wakaazi wa ardhi hii ambao huitwa varwa.
Historia ya wameru inaelezwa kwa namna nyingi na waandishi tofauti tofauti kwa namna tofauti. Wako wanaoamini kuwa asili ya wameru ni milima ya Usambara na wanajenga hoja yao kwa kuangalia hulka, tabia na mwendo wa maisha ya varwa wa leo na kule usambaani. Wako ambao wanaamini varwa ni dialect ya kichanga, na hawa walikuwa ndugu ila baadaye ukazuka ugomvi wa kikoo na hivyo wakatawanyika. Kwenye vita hii zilizaliwa dialects nyingi, ikiwa ni pamoja na wapare ambapo maana yake ni waliopigwa na kupasuliwa, wakibosho, wa Machame na nk. Hoja ya pili ina nguvu zaidi kutokana ufanano uliopo kati ya dialects nyingi zilizo katika ukanda huu. Hivyo ni sahihi kusema varwa sio wachanga kwa sababu kwa asili hakuna kabila la kichanga. Kuna uwezekano mkubwa, hawa wanaojiita Wachaga leo ambao kwa hakika hawapo, wote shina lao ni milima ya Usambara. Na kwa hivyo, varwa ni kati ya vikabila vidogo vilivyozaliwa toka kabila kubwa la Usambaa kama matokeo ya vita miongoni mwa jamii hii.
Mkuu upo sawa, lakini hapo varwa nafikiri sahihi ni WARWA wengi, NRWA mmoja.Hii taarifa pamoja na kwamba inaweza kuwa na jambo la kuchochea uchunguzi zaidi juu ya makabila yetu, ila inaacha ombwe kubwa juu ya asili ya varwa. Wameru sio jina lao, kwa asili wameru wanaitwa varwa-wingi, nrwa-umoja. Hili la wameru, ni jina la Kimasai lenye kumaanisha jua linakozama. Ukiwa Arusha ama Kilimanjaro, jua huchomoza mlimani Kilimanjaro na kuzama mlima Meru. Hivyo kutokana na hili, Wamasai wakawaita wakaaji wa eneo hili wameru, yaani watu wanaoishi kwenye mlima jua linakozama. Wazungu walipokuja wakaendeleza jadi hii ya kupotosha jina halisi la wakaazi wa ardhi hii ambao huitwa varwa.
Historia ya wameru inaelezwa kwa namna nyingi na waandishi tofauti tofauti kwa namna tofauti. Wako wanaoamini kuwa asili ya wameru ni milima ya Usambara na wanajenga hoja yao kwa kuangalia hulka, tabia na mwendo wa maisha ya varwa wa leo na kule usambaani. Wako ambao wanaamini varwa ni dialect ya kichanga, na hawa walikuwa ndugu ila baadaye ukazuka ugomvi wa kikoo na hivyo wakatawanyika. Kwenye vita hii zilizaliwa dialects nyingi, ikiwa ni pamoja na wapare ambapo maana yake ni waliopigwa na kupasuliwa, wakibosho, wa Machame na nk. Hoja ya pili ina nguvu zaidi kutokana ufanano uliopo kati ya dialects nyingi zilizo katika ukanda huu. Hivyo ni sahihi kusema varwa sio wachanga kwa sababu kwa asili hakuna kabila la kichanga. Kuna uwezekano mkubwa, hawa wanaojiita Wachaga leo ambao kwa hakika hawapo, wote shina lao ni milima ya Usambara. Na kwa hivyo, varwa ni kati ya vikabila vidogo vilivyozaliwa toka kabila kubwa la Usambaa kama matokeo ya vita miongoni mwa jamii hii.
Jazia mkuuMkuu upo sawa, lakini hapo varwa nafikiri sahihi ni WARWA wengi, NRWA mmoja.
Niliwahi kuulizwa, 'ngutirir kabati ya mbeo?' Jibu nililotoa 'biashara' ikaishia hapo!Ye mbe, Kioso Nkoru
Wanyambo na wanyankole wa Uganda hawana tofautiWahaya ndo hawataki kuitwa Wanyambo kabisa,ukitaka Mhaya akuchukie wewe muite Mnyambo.But Mnyambo akaitwa Mhaya hana noma sijui ni nini?But makabila mengi ukisema unatoka kagera wanajua wote wahaya kumbe ndani kuna moto unafukuta miaka mingi Wanyambo si Wahaya si Wanyambo
Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
Hilo neno RWA, maana yake panda kama kupanda mlima, kwaiyo ukisema warwa maana ni wapandaji au watu wa mlimani ndio maana ya hilo jina lao.Jazia mkuu