Wameru ni wakimbizi wa Kichaga

Hata uchagani ipo hiyo. Wauru hasa wanaotoka Kishumundu wanaonekana duni sana. Ndio maana ukimkuta mchaga yeyote akimwita mkishumundu hata kama ni kweli atakataa kabisa. Ntaielezea kwa kirefu siku zijazo
utanitag kaka
 
Wameru n Wacha Mungu sana Alafu wana sheria Kali km Wamasai uwez kuta kijana wa kimeru Analewa lewa ovyo ovyo km vijana wa kichaga. Alafu dizain km wana ushirikiano sanaa Arusi za kimeru Watu wanatoa zawad hadi ratiba ya Shugul inaribik

Hapo umenena mkuu vyakula ni kwel huwa tunakula hivyo kuhusu mjamzito ni kwel pia big up
 
Wamashami mmbatana kasi ya hoteli fo...

Kwi kulemenlolya mmashami akumba subu neekumba wari efo murin?

Kazi eto gheiya Wakibosho ...

Eli nkindo mmiku akwa aleshiwia kyeri Alesha nla kindo shiketana kumi murin .

😂😂😂😂
Kwani wamashami wawee wandu wa kwi nuuri imanya kitaare waari ikumba subu murin(kimeru)
 
Kikawaida hakuna wameru Tanzania, Meru ipo kenya ila baada ya ya WARWA kukimbia kutoka uchagani walienda chini ya mlima Meru hapo ndipo waliishi mda mrefu ndio wakaamua kujiita Wameru kwasababu wapo chini ya mlima Meru ila sio kwamba wao ni Wameru asili (my opinion)
 
Wameru ni kabila kutoka kenya
 
So Wahaya ni kama Wachagga tuu.
Wote hawa wanashabihiana mazingira na chakula na wote mazingira yao nature yake ni bonde LA UFA. Wachaga mlima Kilimanjaro ni features za bonde LA UFA.Wahaya nao wanaishi jirani na bonde LA UFA.Msosi ni ndizi wote.Kupenda masifa wote Wahaya na Wachaga ni hivo hivo.
 
Kwani wote si wanaishi mazingira yanayofanana?je wanatofautiana tamaduni na maendeleo?
Wahaya walipata maendeleo hasa ya kielimu kabla ya wanyambo

Kama uwajuavyo Wahaya dharau zilikuwa ni nyingi dhidi ya wanyambo

Ikawepo kama chuki baina yao mpaka na wa leo

Na lafudhi zao ni tofauti sana lazima mnyambo umjue japo tamaduni wanafanana kwa asilimia kubwa

Na wilaya zinazobeba wahaya ni Muleba Misenyi na Bukoba wakati wanyambo wapo Karagwe na Kyerwa ila wakiongea wote wanaelewana tofauti ni lafudhi tu
 
Kipindi cha Mangi yupi sasa??
 
Hao ni Wahaya tu! Lafudhi haibadilishi sana maana ktk Lugha.
Wachaga kwa mfano wapo ambao hawaelewani mfano wanaotoka Wilaya ya Rombo hawaelewani na wale wa machame kutoka Wilaya ya Hai!
 
Sio kweli Wachagga na Wahaya ni makabila mawili tofauti izo ndizi na Bonde la ufa sio kigezo cha kuwafanya wawe sawa. Zingatia Bonde la ufa halijapita kwao tu lina coverage kubwa so usitudanganye.
 
Hao ni Wahaya tu! Lafudhi haibadilishi sana maana ktk Lugha.
Wachaga kwa mfano wapo ambao hawaelewani mfano wanaotoka Wilaya ya Rombo hawaelewani na wale wa machame kutoka Wilaya ya Hai!
Sio kwamba hawaelewani kuna baadhi ya maneno ndio hutofautiana itoshe kusema Wachagga pamoja na utofauti wa lugha huwezi msema mwingine kilugha na asielewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…