Noma sana ! 😆wewe jamaa ni mnafiki sana unajifanya unamkubali genta kumbe unamchukia kama CAPO DELGADO
ninavyomjua genta anakuvutia pumzi tu na kukuvumilia ila natabiri kuna siku atakubadilikia na kukuchana, hutoamini na ndiyo urafiki wenu hapa jf utaishia siku hiyo hiyo
Tukiwachapa nikudai 20kKesho mnakula kichapo cha mbwa koko, au paka jizi..!!
AaahaaaaKama Ndio mpira Ungekuwa Hivyo
Nigeria Angekuwa BINGWA wa kombe la Dunia.
Deal..!!Tukiwachapa nikudai 20k
Uko tayari?
Tukichapwa nakupa 30k
Mmetoka sare ya 2-2, vipi tuendelee kubeti kwa mechi ya huko kwa akina Al Ahly?Tukiwachapa nikudai 20k
Uko tayari?
Tukichapwa nakupa 30k
Tutakutana next week...Mmetoka sare ya 2-2, vipi tuendelee kubeti kwa mechi ya huko kwa akina Al Ahly?
Eti Bantu Lady unanishaurije hapa? Nibeti au niache?
CC Kalpana, GENTAMYCINE
Tusubiri. Usisahau khamsa zileee..!!! Na tena wakati ule mlikuwa mmeshinda moja nyumbani. Safari hii mmetoka sare ya 2 - 2 home ground. Kula mnaenda kuoga magoli..!!Tutakutana next week...
Muwe na akiba ya maneno...siku mkicheza nao nitakavyobwabwaja mtu asije akanistopisha walai...nyie endeleeni tuu..Tusubiri. Usisahau khamsa zileee..!!! Na tena wakati ule mlikuwa mmeshinda moja nyumbani. Safari hii mmetoka sare ya 2 - 2 home ground. Kula mnaenda kuoga magoli..!!
Utabwabwaja tukifungwa, ila tukiwafunga wale, mtatafuta kwa kuishi..!!Muwe na akiba ya maneno...siku mkicheza nao nitakavyobwabwaja mtu asije akanistopisha walai...nyie endeleeni tuu..
Mimi nipo hapa hapa hata mumfunge sijui nani...hakuna jipya ambalo mtafanya mnyama hajafanya...yani nawaonea huruma sana mtapigika kipigo cha mbwa koko..Utabwabwaja tukifungwa, ila tukiwafunga wale, mtatafuta kwa kuishi..!!