Wameshinda kesi lakini hawana furaha

Wameshinda kesi lakini hawana furaha

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Mtunzi maarufu wa riwaya za kufikirika mwanakwenda James Hadley Chase ana novel yake moja inaitwa The guilty are afraid yaani mwenye hatia ana hofu.

Kuna raha fulani unapofanya ubakaji. Lakini baada ya kumaliza kuna hali fulani ya kusutwa na nafsi. Inatisha sana sana. Na m'bakaji pamoja na kufanikiwa azma yake lakini baada ya hapo hujawa na hofu, fadhaa na aibu

Ubakaji uko wa aina nyingi
Ubakaji wa demokrasia
Ubakaji wao haki
Ubakaji wa uwajibikaji
Ubakaji wa sheria nk

Leo pale Mbeya kwenye mahakama kuu.. Haki na sheria vimebakwa! Lakini wabakaji hawana furaha hata kidogo.

The guilty are afraid.

theguiltyareafraidmyedition.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya imetupilia mbali kesi iliyofunguliwa na wakili Boniface Mwabukusi na wenzake iliyokuwa inapinga serikali ya Tanzania kuingia mkataba wa ushirikiano wa kiuchumi na serikali ya Dubai ikilenga kushirikiana katika Uwekezaji Bandarini ambapo kampuni ya DP WORLD kwa niaba ya Dubai watashirikiana na TPA kwa niaba ya Tanzania zitashirikiana kuendeleza maeneo maalum ya kiuchumi ikiwemo uendeshaji wa Bandari
20230810_135103.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtunzi maarufu wa riwaya za kufikirika mwanakwenda James Hadley Chase ana novel yake moja inaitwa The guilty are afraid yaani mwenye hatia ana hofu..!

Kuna raha fulani unapofanya ubakaji.. Lakini baada ya kumaliza kuna hali fulani ya kusutwa na nafsi..inatisha sana sana..! Na m'bakaji pamoja na kufanikiwa azma yake lakini baada ya hapo hujawa na hofu, fadhaa na aibu

Ubakaji uko wa aina nyingi
.Ubakaji wa demokrasia
.Ubakaji wao haki
.Ubakaji wa uwajibikaji
.Ubakaji wa sheria nk

Leo pale Mbeya kwenye mahakama kuu.. Haki na sheria vimebakwa! Lakini wabakaji hawana furaha hata kidogo..!

The guilty are afraid...!

View attachment 2713573

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa mtaani watu wanacheza na kupiga ngoma,nilifikiri harusi.Nilipowauliza wakaniambia wazalendo wameshinda kesi.Ni vicheko na furaha.
 
Mtunzi maarufu wa riwaya za kufikirika mwanakwenda James Hadley Chase ana novel yake moja inaitwa The guilty are afraid yaani mwenye hatia ana hofu..!

Kuna raha fulani unapofanya ubakaji.. Lakini baada ya kumaliza kuna hali fulani ya kusutwa na nafsi..inatisha sana sana..! Na m'bakaji pamoja na kufanikiwa azma yake lakini baada ya hapo hujawa na hofu, fadhaa na aibu

Ubakaji uko wa aina nyingi
.Ubakaji wa demokrasia
.Ubakaji wao haki
.Ubakaji wa uwajibikaji
.Ubakaji wa sheria nk

Leo pale Mbeya kwenye mahakama kuu.. Haki na sheria vimebakwa! Lakini wabakaji hawana furaha hata kidogo..!

The guilty are afraid...!

View attachment 2713573

Sent using Jamii Forums mobile app
Hehee kama uchaguzi wa 2020 election
 
Mtunzi maarufu wa riwaya za kufikirika mwanakwenda James Hadley Chase ana novel yake moja inaitwa The guilty are afraid yaani mwenye hatia ana hofu..!

Kuna raha fulani unapofanya ubakaji.. Lakini baada ya kumaliza kuna hali fulani ya kusutwa na nafsi..inatisha sana sana..! Na m'bakaji pamoja na kufanikiwa azma yake lakini baada ya hapo hujawa na hofu, fadhaa na aibu

Ubakaji uko wa aina nyingi
.Ubakaji wa demokrasia
.Ubakaji wao haki
.Ubakaji wa uwajibikaji
.Ubakaji wa sheria nk

Leo pale Mbeya kwenye mahakama kuu.. Haki na sheria vimebakwa! Lakini wabakaji hawana furaha hata kidogo..!

The guilty are afraid...!

View attachment 2713573

Sent using Jamii Forums mobile app
Wivu tu, kesi tumeshinda ndiyo mnataka nini?
 
Sijui ni kwanini kila upande lazima uwe na sapota, kinachoniuma ni sapota kuelekea upande usiofaa, shame on you.
 
Back
Top Bottom