Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya imetupilia mbali kesi iliyofunguliwa na wakili Boniface Mwabukusi na wenzake iliyokuwa inapinga serikali ya Tanzania kuingia mkataba wa ushirikiano wa kiuchumi na serikali ya Dubai ikilenga kushirikiana katika Uwekezaji Bandarini ambapo kampuni ya DP WORLD kwa niaba ya Dubai watashirikiana na TPA kwa niaba ya Tanzania zitashirikiana kuendeleza maeneo maalum ya kiuchumi ikiwemo uendeshaji wa Bandari
Hapa mtaani watu wanacheza na kupiga ngoma,nilifikiri harusi.Nilipowauliza wakaniambia wazalendo wameshinda kesi.Ni vicheko na furaha.Mtunzi maarufu wa riwaya za kufikirika mwanakwenda James Hadley Chase ana novel yake moja inaitwa The guilty are afraid yaani mwenye hatia ana hofu..!
Kuna raha fulani unapofanya ubakaji.. Lakini baada ya kumaliza kuna hali fulani ya kusutwa na nafsi..inatisha sana sana..! Na m'bakaji pamoja na kufanikiwa azma yake lakini baada ya hapo hujawa na hofu, fadhaa na aibu
Ubakaji uko wa aina nyingi
.Ubakaji wa demokrasia
.Ubakaji wao haki
.Ubakaji wa uwajibikaji
.Ubakaji wa sheria nk
Leo pale Mbeya kwenye mahakama kuu.. Haki na sheria vimebakwa! Lakini wabakaji hawana furaha hata kidogo..!
The guilty are afraid...!
View attachment 2713573
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo mtaa utakua na wajinga wengi kiufupi ni mtaa wa wajinga.Hapa mtaani watu wanacheza na kupiga ngoma,nilifikiri harusi.Nilipowauliza wakaniambia wazalendo wameshinda kesi.Ni vicheko na furaha.
Mtaa gani huoHapa mtaani watu wanacheza na kupiga ngoma,nilifikiri harusi.Nilipowauliza wakaniambia wazalendo wameshinda kesi.Ni vicheko na furaha.
Anakaa ZanzibarHuo mtaa utakua na wajinga wengi kiufupi ni mtaa wa wajinga.
MakunduChi
Kule kuna hadi mambumbumbuAnakaa zanzibar
Hehee kama uchaguzi wa 2020 electionMtunzi maarufu wa riwaya za kufikirika mwanakwenda James Hadley Chase ana novel yake moja inaitwa The guilty are afraid yaani mwenye hatia ana hofu..!
Kuna raha fulani unapofanya ubakaji.. Lakini baada ya kumaliza kuna hali fulani ya kusutwa na nafsi..inatisha sana sana..! Na m'bakaji pamoja na kufanikiwa azma yake lakini baada ya hapo hujawa na hofu, fadhaa na aibu
Ubakaji uko wa aina nyingi
.Ubakaji wa demokrasia
.Ubakaji wao haki
.Ubakaji wa uwajibikaji
.Ubakaji wa sheria nk
Leo pale Mbeya kwenye mahakama kuu.. Haki na sheria vimebakwa! Lakini wabakaji hawana furaha hata kidogo..!
The guilty are afraid...!
View attachment 2713573
Sent using Jamii Forums mobile app
Wivu tu, kesi tumeshinda ndiyo mnataka nini?Mtunzi maarufu wa riwaya za kufikirika mwanakwenda James Hadley Chase ana novel yake moja inaitwa The guilty are afraid yaani mwenye hatia ana hofu..!
Kuna raha fulani unapofanya ubakaji.. Lakini baada ya kumaliza kuna hali fulani ya kusutwa na nafsi..inatisha sana sana..! Na m'bakaji pamoja na kufanikiwa azma yake lakini baada ya hapo hujawa na hofu, fadhaa na aibu
Ubakaji uko wa aina nyingi
.Ubakaji wa demokrasia
.Ubakaji wao haki
.Ubakaji wa uwajibikaji
.Ubakaji wa sheria nk
Leo pale Mbeya kwenye mahakama kuu.. Haki na sheria vimebakwa! Lakini wabakaji hawana furaha hata kidogo..!
The guilty are afraid...!
View attachment 2713573
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣🤣🤣Wivu tu, kesi tumeshinda ndiyo mnataka nini?
Jaji Dunstan Ndunguru anasema Mahakama inakubaliana na hoja ya waleta maombi, kwamba ibara za IGA zimevunja sheria za ulinzi wa Rasilimali, kwa kupeleka migogoro nje ya nchi.Lakini anasema dosari hiyo haitatumika kutangaza IGA kuwa ni batili.
Sisi na Dkt SamiaSijui ni kwanini kila upande lazima uwe na sapota, kinachoniuma ni sapota kuelekea upande usiofaa, shame on you.