Sawa Mama wamekusikia.Ni pigo kwa Ufipa FC. Inabidi mumshtaki Mwabukusi wa kuwaingiza chaka. Mwabukusi amejipatia fedha kwa njia za udanganyifu. Alijua kabisa mtapigwa na kitu chenye ncha kali ila hakujali maumivu yenu ya leo. Siku nyingine na nyie CHADEMA muwe mnashaurika.
Magufuli alisema, "Mshahara nikupe mimi, nyumba na gari halafu nishindwe mahakamani ".Chombo Cha serikali hakiwezi kuhukumu serikali.
Ngoma hii haitalia sana bila ya kukawia kupasuka, ngoma hii itapasuka mapema huku wacheza hawajakinai wakipenda iendelee kulia ili waendelee kucheza.miaka ya baadae atatokea ceo mwingine kutokea cha kile kile, alafu ataanza kumlaumu huyu wa sasa kwanini alipitisha hili.
🤔
Mchawi kabisa yaani lioneKinyesi wewe
Mh. Jaji Ndunguru anakubali ibara za IGA ni batili na IGA haina dosari.Jaji Dunstan Ndunguru anasema Mahakama inakubaliana na hoja ya waleta maombi, kwamba ibara za IGA zimevunja sheria za ulinzi wa Rasilimali, kwa kupeleka migogoro nje ya nchi.Lakini anasema dosari hiyo haitatumika kutangaza IGA kuwa ni batili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkanganyiko kukanganyanaMh. Jaji Ndunguru anakubali ibara za IGA ni batili na IGA haina dosari.
......we have decided to learn through time, yaap fine, let's wait coz time is a good teacher......
Haipaswi kuwa hivyo, Sasa wananchi wanasimamiwa na nani? Wawakilishi wao bungeni wanawasaliti, wasimamia haki, nao wanawaruka. Mustakabali wa mwananchi uko wapi?Chombo Cha serikali hakiwezi kuhukumu serikali.
Utawala bora ni kwa bunge, mahakama n, Serikali na wananchi kuhakikisha hawafanyi lolote linaloenda kinyume na Katiba![emoji419][emoji375]Haipaswi kuwa hivyo, Sasa wananchi wanasimamiwa na nani? Wawakilishi wao bungeni wanawasaliti, wasimamia haki, nao wanawaruka. Mustakabali wa mwananchi uko wapi?
Tz haina 'Utawala Bora', na utawala bora ni pale mahakama inapokubaliana na waleta shitaka, iwe na uwezo wa kusema hilo suala ni batili, sio kukubaliana nao halafu inadai si hoja ya kubatilisha.
Utawala bora ni pale bunge linapoiuliza maswali serikali kwa niaba ya wananchi, na sio kukubali kila kinachofanywa na Serikali hata inapoonekana dhahiri, Serikali inaliburuta bunge, na mbaya zaidi, wabunge wanauonga mkono Serikali kwa manufaa yao binafsi sio ya uwakilishi wa wananchi.
Utawala bora, ni pale Serikali kabla ya kufanya lolote, kupata ridhaa ya wananchi, iwe moja kwa moja au kwa wawakilishi wao, na iwe kabla hata ya mazingumzo yoyote na wadau wowote wale. Sio iingie mpaka mkataba, halafu ndio inalazimisha wananchi wakubaliane nayo.
Utawala bora ni kwa bunge, mahakama n, Serikali na wananchi kuhakikisha hawafanyi lolote linaloenda kinyume na Katiba!