Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Njia ya chiniHiyo gari imrpinduka kutokea juu kwenye daraja au kwenye njia ya chini?
Hapo afadhali... Hope hakuna kifo?Njia ya chini
hapo kuna kona kali sana kama ukiwa unatoka buguruni hasa magari yakiruhusiwa huwa yanakuja speed kama yoteView attachment 2569172
TAZARA Flyover hspo , kwa Mfugale.
Gari linapindukaje?
Tena gari la namba za daladala.
Serikali mpooo?
For real sikutaka Hata kuangalia maana dah😫Hapo afadhali... Hope hakuna kifo?
DahMadereva wengi vichaaa
Ova
Suka kakosea mahesabu leo kauwasha moto mwingi alale nayo kwenye kona shwaaaahapo kuna kona kali sana kama ukiwa unatoka buguruni hasa magari yakiruhusiwa huwa yanakuja speed kama yote
Dereva alitaka kuwahi mechi!Mechi imeishaje kwani?
WaTz kweli hawana shughuli, wanajazana kila sehemu!View attachment 2569172
TAZARA Flyover hapo , kwa Mfugale.
Gari linapindukaje?
Tena gari la namba za daladala.
Serikali mpooo?
Kuna matatizo mawili hapo, kwanza dereva kazidisha mwendo salama WA kupita kwenye Kona Huku akiwa amesimamisha abiria wengi na centre of gravity imepungua kutokana na watu kulalia upande mmoja!! (Dereva asiyekuwa na uzoefu).Madereva wengi vichaaa
Ova
strong points but hawatoelewaKuna matatizo mawili hapo, kwanza dereva kazidisha mwendo salama WA kupita kwenye Kona Huku akiwa amesimamisha abiria wengi na centre of gravity imepungua kutokana na watu kulalia upande mmoja!! (Dereva asiyekuwa na uzoefu)
Pili, Hiyo barabara haijakidhi viwango sahihi vya superelevation ya kutoruhusu Gari kuanguka kirahisi (Poor Constructed) hapa Tanroads inawahusu na inabidi wafanye kitu hapo!!
Ni hayo TU!!
We mhandisi sio poa!Kuna matatizo mawili hapo, kwanza dereva kazidisha mwendo salama WA kupita kwenye Kona Huku akiwa amesimamisha abiria wengi na centre of gravity imepungua kutokana na watu kulalia upande mmoja!! (Dereva asiyekuwa na uzoefu)
Pili, Hiyo barabara haijakidhi viwango sahihi vya superelevation ya kutoruhusu Gari kuanguka kirahisi (Poor Constructed) hapa Tanroads inawahusu na inabidi wafanye kitu hapo!!
Ni hayo TU!!
Du na wewe somo limekupita?strong points but hawatoelewa