Shida BMW is the least reliable brand among German luxury car makers na ndiyo maana depreciation yake kama mtu amerusha jiwe. It as premium as a Mercedes or Audi.Benzi is more of being premium and classic kulinganisha na BMW.
π€Shida BMW is the least reliable brand among German luxury car makers na ndiyo maana depreciation yake kama mtu amerusha jiwe. It as premium as a Mercedes or Audi.
[emoji849],vpi mkuu?[emoji848]
Natafakari mkuu sikufahamu kama kwa German cars BMW ndo least reliable[emoji849],vpi mkuu?
[emoji23]ok hiyo ni money pit labda kama unamiliki kwa ajili ya kutokea weekend tu,kama ni matumizi ya kila siku unapata msiba wa kifedha.Natafakari mkuu sikufahamu kama kwa German cars BMW ndo least reliable
Ni kweli kiasi flani.[emoji23]ok hiyo ni money pit labda kama unamiliki kwa ajili ya kutokea weekend tu,kama ni matumizi ya kila siku unapata msiba wa kifedha.
Dah! Noma kweli[emoji23]ok hiyo ni money pit labda kama unamiliki kwa ajili ya kutokea weekend tu,kama ni matumizi ya kila siku unapata msiba wa kifedha.
[emoji16][emoji16][emoji16]Kuna siku nilikuwa na dereva wa ofisini tunatoka sheli flani ipo Njiro sie tumo kwenye Rav 4 pembeni ipo X5 wote wanabaniana kuingia road, ikabidi nimwambie dereva wetu we emu ona aibu basi acha GARI ipite [emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lazima utoke baruNi kweli, ila tatizo huanza pale unapoambiwa pair ya mbele ya shockup tu ni million moja. Na unatakiwa ununue seti ya mbele na nyuma. Za nyuma sababu ni Air suspensio unaambiwa mitungi yake pair ni 2M!
Hapo ndipo wale wazee wa Aichi Plant na Toyopet wanapoibuka kidedea [emoji23][emoji23][emoji23]
ndio maana wananchi wa uchumi wa kati wanapenda Carina TI pair ya shockup haifiki laki 2.... hahahahNi kweli, ila tatizo huanza pale unapoambiwa pair ya mbele ya shockup tu ni million moja. Na unatakiwa ununue seti ya mbele na nyuma. Za nyuma sababu ni Air suspensio unaambiwa mitungi yake pair ni 2M!
Hapo ndipo wale wazee wa Aichi Plant na Toyopet wanapoibuka kidedea πππ
shockup 65K ukiwa na laki na 30 umepata pair yako safiπππ!ndio maana wananchi wa uchumi wa kati wanapenda Carina TI pair ya shockup haifiki laki 2.... hahahah
alafu hapo ni bei ya mkoani huko mjini "daslam" unaweza pata hata kwa laki aiseeshockup 65K ukiwa na laki na 30 umepata pair yako safiπππ
Ukiingiza 2M kwenye maintanance ya Toyota Carina maana yake utakuwa ume replace almost 70% ya components. Bushings, Shockups, Disc brakes, Drum brakes (shoes), Mounting, Lubrication za engine, Gearbox,Diff. Utabadili dead bulbs bila kusahau usafi wa hali ya juu wa ndani na bodyworks za nje. Gari inakuwa kama mpya kabisa πππalafu hapo ni bei ya mkoani huko mjini "daslam" unaweza pata hata kwa laki aisee
Kweli wachaga wanaijua pesa Kuna Doctor 1 wa surgery anapiga hadi milioni kumi kwa mwezi ana x5 kaipaki ndani tu. Carina TI ndo anapigia misele na deals zake nilidhani n tapeli wa mjini kumbe doc kweli. Carina injini inashushwa na kupigwa overhul kwa mia 5-6 tu,, gari ya kujifunzia sana ile roho ya paka kama vitz 'oldi modeli' hahahaUkiingiza 2M kwenye maintanance ya Toyota Carina maana yake utakuwa ume replace almost 70% ya components. Bushings, Shockups, Disc brakes, Drum brakes (shoes), Mounting, Lubrication za engine, Gearbox,Diff. Utabadili dead bulbs bila kusahau usafi wa hali ya juu wa ndani na bodyworks za nje. Gari inakuwa kama mpya kabisa πππ
Acha kufananisha Benz, Audi na ushuzi mwengine hapo Berlin!Shida BMW is the least reliable brand among German luxury car makers na ndiyo maana depreciation yake kama mtu amerusha jiwe. It as premium as a Mercedes or Audi.