Wamiliki wa BMW Shikamooni

Wamiliki wa BMW Shikamooni

Mimi najichanga nimvute huyu mnyama mdogo mdogo wa chini BMW 3 series 320i ya mwaka 2007 nimeiona CIF hadi Dar ni 6,980,000/= , ushuru wake kule kwenye ile calculator ni 6,718,886.28/=. Nachofanya namuita tu ya kumuondolea hapo kitaeleweka bwana hata mimi hako kaheshima nakatamani.

Used 2007 BMW 3 SERIES 320I/ABA-VA20 for Sale BH241181 - BE FORWARD
BH241181_904c39.jpg
 
Heshima kwenu,

Ukikutana na mmiliki wa BMW series yoyote ile ni vyema ukamheshimu tu kujipunguzia machungu ya ukali wa maisha!

Hongereni!

View attachment 1459804
View attachment 1459808
BMW ni gar nzur sana na linaheshima Mtaani ila tatizo ni gharama za kulihudumia tu. Naomba kujua na hizi Nissan Extrail hasa ya mwaka 2007 na kuendelea nazo zinamwwonekano mzur bt watu wengi wanaogopa kampuni ya Nissan.

Sasa je gharama za kulihudumia Nissan na hiyo Bmw ni ipi nafuu
 
Leo nimena moja imeteketea pale nyerere road karibu na Airport na wadau wanadai jana ilikuwa kwa fundi umeme.
Siku anayokuja Tundu niliiona Mwenge imekufa taa(iko sokoni)..kapeleka kwa fundi wakaua system ya taa/!kwakweli hawa mafundi wa uchochoroni hawafai..sijajua Kama imeuzika
 
Mimi najichanga nimvute huyu mnyama mdogo mdogo wa chini BMW 3 series 320i ya mwaka 2007 nimeiona CIF hadi Dar ni 6,980,000/= , ushuru wake kule kwenye ile calculator ni 6,718,886.28/=. Nachofanya namuita tu ya kumuondolea hapo kitaeleweka bwana hata mimi hako kaheshima nakatamani.

Used 2007 BMW 3 SERIES 320I/ABA-VA20 for Sale BH241181 - BE FORWARDView attachment 1484663
BMW 320i E90 na mimi najipanga kuchukua hii kitu aisee naona kwa 14.5m inakuwa mkononi mkuu naona fuel consumption yake inaenda hadi 7ltrs/100km on high way
 
Nilichojifumza kuhusu German cars hapa South Africa ni hiki,,usimiliki BMW, Benz au Audi ambayo imeisha warranty itakutesa sana. Rafiki yangu anamiliki corolla 2015 nilimsindikiza kwenye Kia dealership mwezi uliopita kufika pale tukakuta Benz, Bima Na Audi kibao mpaka tukauliza vpi? Mnauza na gari za kijerumani? Sales person akajibu hapana.

Watu wana nunua hizi gari mpya ambapo mara nyingi zinakuja na 60000 km 4-years warranty,hapo ina maanisha shida yoyote ya gari inakua chini ya manufacturers isipokua kama umepata ajali au umefanya matengenezo mwenyewe basi warranty inakua void. Warranty ikiisha tu watu wanaenda kufanya trade in na Toyota, Kia, Hyundai nk. Mtu anaithaminisha gari take kisha anapewa mpya, Ile aliyoiacha inakua kama sehemu ya malipo.

Kisha hao dealers wanaziuza kwa mtindo wa malipo ya installment Ila ulinunua service zote na matengenezo juu yako. Sasa bongo mtu unaagiza BMW , Benz au Audi una 15 yrs ujue kabisa huo ni msiba. Hizi gari zimeundwa ili ziwe zinaharibika kirahisi zikitumika sana,ziko complex kutengeneza,spare parts ghali nk. Buy them at your own risk.
 
Sisi nyani wazee tulio kuzwa na chuma za kijapan, sisi wazee wa pori na misitu minene huwa hatuna hofu na vijana wanao zunguka na vigari vyao vya mjerumani kwenda kwenye ofisi zao na shopping, sisi tunajari wanyama ambao tukiwa kwenye mihangaiko ya kibabe inaendana na ubabe wetu!? Niwakumbushe tu hakuna wa kibattle na machine za kijapan hawa wajeruman wakitengeneza gari tu lazima walinganishe na machine za kazi kutoka pale Japan, kama hujawahi kulala jungle don't reply on this on jungle men ndo wanatakiwa kunena hapa.
Nilichojifumza kuhusu German cars hapa South Africa ni hiki,,usimiliki BMW, Benz au Audi ambayo imeisha warranty itakutesa sana. Rafiki yangu anamiliki corolla 2015 nilimsindikiza kwenye Kia dealership mwezi uliopita kufika pale tukakuta Benz, Bima Na Audi kibao mpaka tukauliza vpi? Mnauza na gari za kijerumani? Sales person akajibu hapana.

Watu wana nunua hizi gari mpya ambapo mara nyingi zinakuja na 60000 km 4-years warranty,hapo ina maanisha shida yoyote ya gari inakua chini ya manufacturers isipokua kama umepata ajali au umefanya matengenezo mwenyewe basi warranty inakua void. Warranty ikiisha tu watu wanaenda kufanya trade in na Toyota, Kia, Hyundai nk. Mtu anaithaminisha gari take kisha anapewa mpya, Ile aliyoiacha inakua kama sehemu ya malipo.

Kisha hao dealers wanaziuza kwa mtindo wa malipo ya installment Ila ulinunua service zote na matengenezo juu yako. Sasa bongo mtu unaagiza BMW , Benz au Audi una 15 yrs ujue kabisa huo ni msiba. Hizi gari zimeundwa ili ziwe zinaharibika kirahisi zikitumika sana,ziko complex kutengeneza,spare parts ghali nk. Buy them at your own risk.
 
Sisi nyani wazee tulio kuzwa na chuma za kijapan, sisi wazee wa pori na misitu minene huwa hatuna hofu na vijana wanao zunguka na vigari vyao vya mjerumani kwenda kwenye ofisi zao na shopping, sisi tunajari wanyama ambao tukiwa kwenye mihangaiko ya kibabe inaendana na ubabe wetu!? Niwakumbushe tu hakuna wa kibattle na machine za kijapan hawa wajeruman wakitengeneza gari tu lazima walinganishe na machine za kazi kutoka pale Japan, kama hujawahi kulala jungle don't reply on this on jungle men ndo wanatakiwa kunena hapa.
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji2772][emoji113]gari luxury za mjerumani ni kwa ajili ya mitoko ya dinner, market may be kwenda kwenye date nk.
 
BMW wanadai sio bei kali kama zinavyoonekana

Mfano;
Anaeendesha Harrier Lexus ama VanGuard kanunua bei kubwa kuliko BMW X3 ama X1...wajuzi nakosea hapo au?.
 
BMW wanadai sio bei kali kama zinavyoonekana

Mfano;
Anaeendesha Harrier Lexus ama VanGuard kanunua bei kubwa kuliko BMW X3 ama X1...wajuzi nakosea hapo au?.
Sio bei ghali kwa sababu zina depriciate haraka sana kuliko Toyota/Lexus of that same class. Mfano BMW 7 series ya 2004 unaweza nunua beforward mpaka dola elf 4 wakati Lexus LS 500 ya 2004 sio chini ya dola elf 12000. Ukinunua hiyo BMW gereji itakua nyumbani wakati LS haitakusumbua kabisa.
 
BMW wanadai sio bei kali kama zinavyoonekana

Mfano;
Anaeendesha Harrier Lexus ama VanGuard kanunua bei kubwa kuliko BMW X3 ama X1...wajuzi nakosea hapo au?.
Ukinunua mpya ni ghali kuliko Lexus,used haitunzi thamani kabisa.
 
Back
Top Bottom