Wamiliki wa BMW Shikamooni

Wamiliki wa BMW Shikamooni

Wamiliki na wataalamu wa BMW hii warning light inasababishwa na nini, howbto fix??
InShot_20200918_160007449.jpg
 
Sisi nyani wazee tulio kuzwa na chuma za kijapan, sisi wazee wa pori na misitu minene huwa hatuna hofu na vijana wanao zunguka na vigari vyao vya mjerumani kwenda kwenye ofisi zao na shopping, sisi tunajari wanyama ambao tukiwa kwenye mihangaiko ya kibabe inaendana na ubabe wetu!? Niwakumbushe tu hakuna wa kibattle na machine za kijapan hawa wajeruman wakitengeneza gari tu lazima walinganishe na machine za kazi kutoka pale Japan, kama hujawahi kulala jungle don't reply on this on jungle men ndo wanatakiwa kunena hapa.
Siku ukikaa kwenye Benz brand new utakuja jiona ulikuwa fala miaka yote iliopita.

Hizo LC hazina utofauti na kukaa kwenye tractor.
 
Nilichojifumza kuhusu German cars hapa South Africa ni hiki,,usimiliki BMW, Benz au Audi ambayo imeisha warranty itakutesa sana. Rafiki yangu anamiliki corolla 2015 nilimsindikiza kwenye Kia dealership mwezi uliopita kufika pale tukakuta Benz, Bima Na Audi kibao mpaka tukauliza vpi? Mnauza na gari za kijerumani? Sales person akajibu hapana...
Simple logic: kama aliweza nunua brand new, hatashindwa kununua brand new tena baada ya km 60,000 au miaka minne.

Kwahiyo ukiwa tajiri, tayari kuna priviledge ya kununua gari yeyote brand new.

Gari yeyote ni matunzo, kuna benz zinafikisha miaka 20 zipo barabarani na kuna toyota zina miaka mitatu zipo juu ya mawe.
 
Simple logic: kama aliweza nunua brand new, hatashindwa kununua brand new tena baada ya km 60,000 au miaka minne.

Kwahiyo ukiwa tajiri, tayari kuna priviledge ya kununua gari yeyote brand new.

Gari yeyote ni matunzo, kuna benz zinafikisha miaka 20 zipo barabarani na kuna toyota zina miaka mitatu zipo juu ya mawe.
Tatizo bongo wengi hatuna uwezo wa kununua hizo Merc, BMW's au Audi mpya kwani ushuru wake tu sio mchezo. Mtu anaagiza BMW ya 2005-2010 anatarajia nini?
 
Simple logic: kama aliweza nunua brand new, hatashindwa kununua brand new tena baada ya km 60,000 au miaka minne.

Kwahiyo ukiwa tajiri, tayari kuna priviledge ya kununua gari yeyote brand new.

Gari yeyote ni matunzo, kuna benz zinafikisha miaka 20 zipo barabarani na kuna toyota zina miaka mitatu zipo juu ya mawe.

Then kwanini hao matajiri wakienda kwny dealership wana trade-in kwa Toyota/Honda badala ya kwenda kununua benz/mercedes ya 0Km tena.
 
Sio bei ghali kwa sababu zina depriciate haraka sana kuliko Toyota/Lexus of that same class. Mfano BMW 7 series ya 2004 unaweza nunua beforward mpaka dola elf 4 wakati Lexus LS 500 ya 2004 sio chini ya dola elf 12000. Ukinunua hiyo BMW gereji itakua nyumbani wakati LS haitakusumbua kabisa.
Na kwa wasiojua LS ndio ilikua game changer hawa Bmw/Mercedes wote kidogo waondolewe barabarani na by 1991 LS ndio alikua best seller wa Luxury Sedan huko US huku mauzo ya mercedes yaki-drop by 20% huku Bmw wao wakiwa na hali mbaya zaidi mauzo yao yali-drop kwa 30%.
 
Then kwanini hao matajiri wakienda kwny dealership wana trade-in kwa Toyota/Honda badala ya kwenda kununua benz/mercedes ya 0Km tena.
Logic yangu ipo hivi;

Kama mtu aliweza nunua Merc brand new, ukapewa na warranty, muda wa warranty nyingi ni miaka mitatu au km 60,000.

Ndani ya hiyo miaka mitatu, Merc watakuwa wameshatoa model mpya zaidi, unashindwa nini kwenda ku-upgrade hilo gari lako ukapata model mpya zaidi na warranty mpya?

Ishu ninayoiona ni hii, wengi wanaenda kununua magari yalioisha warranty, yatawashinda kuyahudumia ndo anakimbilia kubadili na Toyota.

Ila mtu mwenye warranty, hashindwi kwenda ku-upgrade model ya mwaka unaofuatia aendelee kuenjoy warranty.
 
Tatizo bongo wengi hatuna uwezo wa kununua hizo Merc, BMW's au Audi mpya kwani ushuru wake tu sio mchezo. Mtu anaagiza BMW ya 2005-2010 anatarajia nini?
Kuna jamaa ana Merc GLS brand new alinunua 2018. Sahivi anataka aka-upgrade na GLS ya 2020 kabla warranty haijaisha.
 
Kuna jamaa ana Merc GLS brand new alinunua 2018. Sahivi anataka aka-upgrade na GLS ya 2020 kabla warranty haijaisha.
Duh aisee wakati wengi wetu hiyo hela ya GLS TDI hatutaweza kuishika maisha yetu yote[emoji29][emoji29][emoji29]
 
Logic yangu ipo hivi;

Kama mtu aliweza nunua Merc brand new, ukapewa na warranty, muda wa warranty nyingi ni miaka mitatu au km 60,000...
Nadhani hata ukiwa tajiri mkubwa hutapenda kumiliki gari ambayo mara kwa mara inashinda workshop . Kuwa under warranty most of the time ni motor na gearbox ndiyo wanakufanyia service free of charge,,matatizo mengine ya sensors na breakdown nyingine utatoa hela mfukoni.
 
Duh aisee wakati wengi wetu hiyo hela ya GLS TDI hatutaweza kuishika maisha yetu yote[emoji29][emoji29][emoji29]
Ilimradi bado u hai & una nguvu ya kutafuta hakuna kinachoshindikana boss
 
Nadhani hata ukiwa tajiri mkubwa hutapenda kumiliki gari ambayo mara kwa mara inashinda workshop . Kuwa under warranty most of the time ni motor na gearbox ndiyo wanakufanyia service free of charge,,matatizo mengine ya sensors na breakdown nyingine utatoa hela mfukoni.
Kwanza tajiri ana gari zaidi ya hata 3.

Moja kushinda workshop sio mbaya.

Ila zile warranty zina-cover pakubwa sana.

Ni bora ukawa nayo hata ukila mzinga utapata favor flani kama ni mteja wao wa kila siku.
 
BMW ni afadhali kiasi fulani

Mercedec Benz ipo higher end zaidi

Katika normal competitors models Mercedes Benz ni twice ya bei ya BMW kwenye same bracket!

BMW ni even fairer zaidi wanatumia middle class,Mercedes Benz ni even lethal price range wise!

Benz imeizunguka BMW mara mbili kwa sophistication na bei!

Benz huzioni sana third world countries maana wenye akili timamu na hela serious ndio wanazo,na ni middle and far aged rich males ndio wanazo na wanajua urefu wake!
Hii chumvi umeiongeza sana. Kwaiyo wanaomiliki brand tofauti na benz hawana akili timamu?!!. Ndio mana ulipewa kisago heavy na Alex Mahone then ukatupwa baharini😀😀
 
Mahone one on one haniambii kitu.....Donnie Self ndie alienishika tena kiujanja ndio akamuita Mahone alipe kisasi,tena baada ya kukuta nimeshapigwa sana na mikono na miguu nishafungwa...

Otherwise kama ni one on one hakuna mtu ananiambia kitu,pande la mtu mamaeee..na nipo serious na kazi,sirembi kabisa....

Watu wanaoendesha Benz sio watu wa kiseng3 ndugu yangu.....Bei ya Benz ni mara mbili ya BMW counter part wake wa the same rival model...thats a FACT mzee!

Nimesema "hawana akili timamu" kama lugha ya picha sio kwamba ni kweli....nilimaanisha mkwanja wao ni mdogo compared na ule wa Benz owners....

Sio kila kitu unakichukulia literally!
Bei ya models zinazo fanana zikiwa mpya ni sawa tu,S class,7 series,A8 MSRP ni USD 100000 mpya japo BMW's zina depriciate faster kuliko Benz na Audi.
 
Mahone one on one haniambii kitu.....Donnie Self ndie alienishika tena kiujanja ndio akamuita Mahone alipe kisasi,tena baada ya kukuta nimeshapigwa sana na mikono na miguu nishafungwa...

Otherwise kama ni one on one hakuna mtu ananiambia kitu,pande la mtu mamaeee..na nipo serious na kazi,sirembi kabisa....

Watu wanaoendesha Benz sio watu wa kiseng3 ndugu yangu.....Bei ya Benz ni mara mbili ya BMW counter part wake wa the same rival model...thats a FACT mzee!

Nimesema "hawana akili timamu" kama lugha ya picha sio kwamba ni kweli....nilimaanisha mkwanja wao ni mdogo compared na ule wa Benz owners....

Sio kila kitu unakichukulia literally!
Bei ni almost sawa. Kama wakizidi basi benz anazidi kama 5% ya actual price.

Kingine benz ana models nyingi sana kuliko BMW. Kuna models ambazo zipo benz ila bmw hazipo.
 
Kwenye resale market values Benz ni twice ya BMW...

Kwenye mpya bei ni almost the same japo Benz ipo juu kidogo..

Sisi Watanzania tupo kwenye resale au second hand market,ma-reseller wote wa Japan,check bei zao,ni twice!
Benzi is more of being premium and classic kulinganisha na BMW.
 
Back
Top Bottom