Wamiliki wa BMW Shikamooni

Kuna siku nilikuwa na dereva wa ofisini tunatoka sheli flani ipo Njiro sie tumo kwenye Rav 4 pembeni ipo X5 wote wanabaniana kuingia road, ikabidi nimwambie dereva wetu we emu ona aibu basi acha GARI ipite πŸ˜€πŸ˜€
 
Kuna siku nilikuwa na dereva wa ofisini tunatoka sheli flani ipo Njiro sie tumo kwenye Rav 4 pembeni ipo X5 wote wanabaniana kuingia road, ikabidi nimwambie dereva wetu we emu ona aibu basi acha GARI ipite πŸ˜€πŸ˜€


🀣🀣🀣🀣🀣...hahhjaa watz ni kwikwi...mie nimeendesha hapa naona nitasumbuka na ndoto kwa mwezi mzima...! Jamani Mungu atupe pumzi .dadek
 
🀣🀣🀣🀣🀣...hahhjaa watz ni kwikwi...mie nimeendesha hapa naona nitasumbuka na ndoto kwa mwezi mzima...! Jamani Mungu atupe pumzi .dadek
🀣🀣🀣🀣 kumbe umeendesha?!! Aisee hongera...nilipewaga lift kwenye Mercedes Benz bana bana, mapicha picha yakaanzia kwenye kufungua mlango tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…