ommy15
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 674
- 1,017
Mkuu unafikiri muda mzuri wa kuachia chumba ni saa ngapi?Hatar.Juz nimeingia arusha saa 8 usiku hotel nimelipa 35k halaf asbuh saa 4 inabid nilipe tena eti ya siku nyingine..Ile pesa walahi iliniuma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu unafikiri muda mzuri wa kuachia chumba ni saa ngapi?Hatar.Juz nimeingia arusha saa 8 usiku hotel nimelipa 35k halaf asbuh saa 4 inabid nilipe tena eti ya siku nyingine..Ile pesa walahi iliniuma
Tiles za bafuni kuteleza na kuweka tiles za room unapachika washroom ni kosa kiufundi, halafu mopa ni 2500 hadi 3000 walau ukikaweka bafuni mteja akioga atajiongeza asukume hata maji lakini mtihani sana
The point is ukilipa upewe 24 hours, a complete dayMkuu unafikiri muda mzuri wa kuachia chumba ni saa ngapi?
Taulo je???Sometimes mtu anasafiri analazimika kuchukua chumba lodge Kwa sababu mbalimbali ikiwemo ukaribu wa anapokwenda mfano kikazi mtu atachukua lodge karibu na ofisi, au ukumbi wa mikutano na kadhalika. Sometimes kwa sababu ya lodge zingine kuwa zimejaa n.k..
Lakini sasa unaona lodge nzuri Kwa nje na hata ndani Kwa macho unaona iko Sawa, unalipia ulale unashangaa na unayo kutana nayo.
1. Feni inapiga kelele.
2. Bomba bovu maji yanatiririka bafuni.
3. Vitasa vibovu.
4. Mlango wa bafuni haufungi.
5. Taa bafuni haiwaki
6. Kitanda kinatoa milio
7. Mto ngumu Sana au mlaini Sana..
8. Feni haipungui wala kuongezeka Ama uwashe au uzime.
9. AC inapiga kelele
10. Tiles bafuni zina kutu.
11. Wahudumu Wana makelele.
Mradi matatizo ni mengi ambayo mtu anaejali biashara yake ni rahisi kabisa kutatua.
Nashauri kama mtu unamiliki lodge au kuendesha uweke utaratibu wa kulala wewe mwenyewe kila chumba Kwa mda Fulani ukague ujirishishe na huduma unazotoa.
Kuna lodge chumba kimoja kina joto kuliko chumba kingine Nakadhalika.
Kuweni serious, lodge ni sehemu ya mteja kulala comfortable sio kuwaza wateja wote wanaenda kwa ngono tu na kuondoka.
😂😂😂😂 haaaaa!Sijui wana matatizo gani...
Kwa nje unaona lodge kali ina hadi bustani, ingia ndani sasa ukutane na mishuka au miforonya michafu...
Na kuna lodge nyingine zina vyumba ndani kwa ndani hakuna hata hewa safi, yaani ni kama uchukue kiberiti ukiweke ndani ya bakuli...
Unguja ni kesi nyingine, kama mfuko haujajaa hamna rangi utaacha kuona.Zanzbar niliwahi pata guest ina choo kibaya yani hicho ni bora alafu 30,000/=
Ahahaha Kidume unabebeshwa ndoo unaenda kuchota maji kisimani daah!! hao jamaa hawako seriousKuna kipindi nilikua mwanza ikabidi nichukue chumba maeneo ya nyegezi kwa ajili ya kuwahi usafiri
Nikaenda hotel moja inaitwa "Passion hotel" ile hotel chumba nilichukua 35k ila cha ajabu maji yakawa hayatoki bafuni ikabidi nimfate mhudumu akaishia kunijibu kwamba kama hayatoki unachukua ndoo unaenda kuchota chini kwenye kisima unapump ukizingatia nilikua vyumba vya ghorofani
Mda huo huo nikamwambia rudisha pesa haraka kabla haijawa vurugu, ikabidi nichukue pesa niende lodge nyingine za karibu nilipata huduma nzuri sana zaidi ya hotel ile ya kijinga tena kwa bei ya kawaida ya 20k.
Tena choo chenyewe kidunchuuu 😂😂😂😂 nimecheka hadi nimelia, ila nimemuonea huruma sana.Nimechek mpaka watoto wakaniuliz unachek nn baba, imebidi nizuge nisema picha zinu hizi kwenye simu zinanichekesha.!!!!!
Dah.! 3 hrs ndani ya chooo.! Umenifurahisha as if comedy clip kumbe ndo maisha yanaendelea.
Nilienda siku mbaya na mda mmbovu hotel zilijaa kila sehemu ikabidi nijihifadhi maana niliona nitazunguka sana, kesho yake nilipata sehemu nzuri tu.Unguja ni kesi nyingine, kama mfuko haujajaa hamna rangi utaacha kuona.
Trips za uanafunzi zilinifundisha jambo enzi hizo.
Unambishia tu bure, nyingi hapo ulizotaja ni😀😀Hoteli gani Dodoma hizo mbaya ebu tutajie kama ni St Gaspar Hotel,Morena Hotel,NAM Hotel,Bestern Western City Hotel,Dodoma Hotel,African Dreams,Dear Mama Hotel,Golden Crown Hotel,Nashera Hotel au zipi😀😀😀
Rudi shule kama huwezi kujua tofauti ya guest house,lodge,motel,rest house,inn na hotel
Wadanganye washamba wenzio labda.....Hoteli zenye hadhi ya nyota nne kama St Gaspar(yenye presidential suite ndani),Morena,Dodoma Hotel,Royal Village,Best Western City Hotel unasema takataka 😀😀😀Unambishia tu bure, nyingi hapo ulizotaja ni
🗑️🚮
Sasa kama NAM jamani? Dodoma hotel? Dear mama???? Golden crown??????? Hata nashera na morena ni nzuri ila sio kwa thamani ya pesa wanayochaji, tena kama Morena kuna baadhi ya vyumba ukioga maji hayasogei/hayaendi yanajaa!!!!! Nashera vyumba ni vingi sana na havijai…. So unaweza pewa chumba hakijatumika wiki, na hawapiti kuangalia usafi, ukikipewa jiandae na chafya.
Maramia ungemtajia Rafiki na yule jirani yake… Opposite na shoppers. Nisiyoijua ni hiyo Bestern ninini sijui, ndio hiyo mpya ya area D???
Hatukosoi biashara za watu kwa ubaya wamiliki wafuatilie, wateja hatulimi pesa!
Best Western City Hotel ipo katikati ya mji pembeni ya TRA.Unambishia tu bure, nyingi hapo ulizotaja ni
🗑️🚮
Sasa kama NAM jamani? Dodoma hotel? Dear mama???? Golden crown??????? Hata nashera na morena ni nzuri ila sio kwa thamani ya pesa wanayochaji, tena kama Morena kuna baadhi ya vyumba ukioga maji hayasogei/hayaendi yanajaa!!!!! Nashera vyumba ni vingi sana na havijai…. So unaweza pewa chumba hakijatumika wiki, na hawapiti kuangalia usafi, ukikipewa jiandae na chafya.
Maramia ungemtajia Rafiki na yule jirani yake… Opposite na shoppers. Nisiyoijua ni hiyo Bestern ninini sijui, ndio hiyo mpya ya area D???
Hatukosoi biashara za watu kwa ubaya wamiliki wafuatilie, wateja hatulimi pesa!
Jamaa wapuuzi sana tena sana.Ahahaha Kidume unabebeshwa ndoo unaenda kuchota maji kisimani daah!! hao jamaa hawako serious
Hapo kwenye kitanda kupiga kelele kwangu ndo kero namba mojaSometimes mtu anasafiri analazimika kuchukua chumba lodge Kwa sababu mbalimbali ikiwemo ukaribu wa anapokwenda mfano kikazi mtu atachukua lodge karibu na ofisi, au ukumbi wa mikutano na kadhalika. Sometimes kwa sababu ya lodge zingine kuwa zimejaa n.k..
Lakini sasa unaona lodge nzuri Kwa nje na hata ndani Kwa macho unaona iko Sawa, unalipia ulale unashangaa na unayo kutana nayo.
1. Feni inapiga kelele.
2. Bomba bovu maji yanatiririka bafuni.
3. Vitasa vibovu.
4. Mlango wa bafuni haufungi.
5. Taa bafuni haiwaki
6. Kitanda kinatoa milio
7. Mto ngumu Sana au mlaini Sana..
8. Feni haipungui wala kuongezeka Ama uwashe au uzime.
9. AC inapiga kelele
10. Tiles bafuni zina kutu.
11. Wahudumu Wana makelele.
Mradi matatizo ni mengi ambayo mtu anaejali biashara yake ni rahisi kabisa kutatua.
Nashauri kama mtu unamiliki lodge au kuendesha uweke utaratibu wa kulala wewe mwenyewe kila chumba Kwa mda Fulani ukague ujirishishe na huduma unazotoa.
Kuna lodge chumba kimoja kina joto kuliko chumba kingine Nakadhalika.
Kuweni serious, lodge ni sehemu ya mteja kulala comfortable sio kuwaza wateja wote wanaenda kwa ngono tu na kuondoka.