Wamiliki wa lodge kuweni serious

Wamiliki wa lodge kuweni serious

Duh [emoji849][emoji849] wew utakuw umeend kukagua lodge


Mimi hizo lodge tatzo langu kubwa ni wao kukodsha chin ya masaa24

Natak lodge mtu akiigia saa 2 usiku hadi kesho saa usiku
Asante...

Hili walione. Mimi nikiambiwa masaa 24 nauliza kabisa ni hadi mda fulani kesho?
 
Wadanganye washamba wenzio labda.....Hoteli zenye hadhi ya nyota nne kama St Gaspar(yenye presidential suite ndani),Morena,Dodoma Hotel,Royal Village,Best Western City Hotel unasema takataka 😀😀😀
Huyo alienda kwenye guest houses ndio akakutana na hizo changamoto sio Hoteli. Tofautisha hadhi ya guest house,lodge na Hotel
Anhaa sawa. 😅
 
Sometimes mtu anasafiri analazimika kuchukua chumba lodge Kwa sababu mbalimbali ikiwemo ukaribu wa anapokwenda mfano kikazi mtu atachukua lodge karibu na ofisi, au ukumbi wa mikutano na kadhalika. Sometimes kwa sababu ya lodge zingine kuwa zimejaa n.k..

Lakini sasa unaona lodge nzuri Kwa nje na hata ndani Kwa macho unaona iko Sawa, unalipia ulale unashangaa na unayo kutana nayo.

1. Feni inapiga kelele.
2. Bomba bovu maji yanatiririka bafuni.
3. Vitasa vibovu.
4. Mlango wa bafuni haufungi.
5. Taa bafuni haiwaki
6. Kitanda kinatoa milio
7. Mto ngumu Sana au mlaini Sana..
8. Feni haipungui wala kuongezeka Ama uwashe au uzime.
9. AC inapiga kelele
10. Tiles bafuni zina kutu.
11. Wahudumu Wana makelele.

Mradi matatizo ni mengi ambayo mtu anaejali biashara yake ni rahisi kabisa kutatua.

Nashauri kama mtu unamiliki lodge au kuendesha uweke utaratibu wa kulala wewe mwenyewe kila chumba Kwa mda Fulani ukague ujirishishe na huduma unazotoa.

Kuna lodge chumba kimoja kina joto kuliko chumba kingine Nakadhalika.

Kuweni serious, lodge ni sehemu ya mteja kulala comfortable sio kuwaza wateja wote wanaenda kwa ngono tu na kuondoka.
Kitanda kinapiga kelele sio?
 
Hebu toa elimu zaidi please
Wabongo asilimia kubwa tunalaumu bila kujua maana ya vitu.

Watu wengi wanalaumu mtu afikie lodge usifikie guest house bila kujua maana ya hivyo vyote viwili.

Sehemu kuwa Guest house hapahalalishi kuwa sehemu ya uchafu. Guest house hizi ni nyumba za wageni Kama maana yake ilivyo inatakiwa itoe hudumua ya kulala tu mgeni kafika kwenye mji anafikia guest house saa nne unatoka unaendelea na Safari yako au unaenda Kwa wenyeji wako Kama ulifika usiku. Mtu anataka guest house akae Kama hotelini masaa 24 hizo zina vibali vyake sio wanajipangia wenyewe.

Hii ndio maana ake wabongo wamegeuza guest house nyumba za ufuska. Na wanaona sahihi pawe pachafu .
 
Kuna maeneo huko 'Tanganyika', hiyo ndio lodge bora zaidi, ambayo wakazi wa eneo hilo wanaikubali kuwa iko kwenye hali nzuri.
Sio tu Tanganyika kaka, nenda Songwe - Kibaoni. Ndio sehemu nimeona kuna lodge za gharama lakini za hovyo sana. Nilishawahi kukaa kwenye lodge kubwa pale mjini 30,000 room kwa 25,000 llakini ukiingia ndani maji unawekewa kwenye jaba, yakiisha inabidi utoke kuomba ujaziwe maji. Yaani hata kuoga unaogopa, Tv geresha tu yaani kero kibao ila bei zao zimechangamka.
 
😂😂😂Umenikumbusha sehemu moja hapo niliwahi kuwa sehemu ya umiliki wa lodge,, ebanaeee tukajifanya magodoro hatuyawekei cover😂😂 Tanfoam za maana zilipigwa maji km mara mbili godoro chali na godoro likinywa maji kukauka ni shughuli pevu, Kuna siku tulikuta maji mpaka mlangoni, mashuka yametota mito haifai godoro hilo ndo lilikuwa linatema maji tu kudadeki kuna watu ni kufuru, tulitafuta cover kwa dharula aisee
Duh hao wadau wanafanyanaje iyo sex adi hali inakuwa hivyo jmn duh iyo si vita sasa
 
Sometimes mtu anasafiri analazimika kuchukua chumba lodge Kwa sababu mbalimbali ikiwemo ukaribu wa anapokwenda mfano kikazi mtu atachukua lodge karibu na ofisi, au ukumbi wa mikutano na kadhalika. Sometimes kwa sababu ya lodge zingine kuwa zimejaa n.k..

Lakini sasa unaona lodge nzuri Kwa nje na hata ndani Kwa macho unaona iko Sawa, unalipia ulale unashangaa na unayo kutana nayo.

1. Feni inapiga kelele.
2. Bomba bovu maji yanatiririka bafuni.
3. Vitasa vibovu.
4. Mlango wa bafuni haufungi.
5. Taa bafuni haiwaki
6. Kitanda kinatoa milio
7. Mto ngumu Sana au mlaini Sana..
8. Feni haipungui wala kuongezeka Ama uwashe au uzime.
9. AC inapiga kelele
10. Tiles bafuni zina kutu.
11. Wahudumu Wana makelele.

Mradi matatizo ni mengi ambayo mtu anaejali biashara yake ni rahisi kabisa kutatua.

Nashauri kama mtu unamiliki lodge au kuendesha uweke utaratibu wa kulala wewe mwenyewe kila chumba Kwa mda Fulani ukague ujirishishe na huduma unazotoa.

Kuna lodge chumba kimoja kina joto kuliko chumba kingine Nakadhalika.

Kuweni serious, lodge ni sehemu ya mteja kulala comfortable sio kuwaza wateja wote wanaenda kwa ngono tu na kuondoka.
Daaah toka nilale guest moja Dodoma zamani kidogo karibu na Nyerere square nikakuta kitanda kina nywele nywele za mawigi,mlango kitasa kibovu nimekoma kabisa kulala guest mpk leo

acha nitumie pesa kulala hotel ya Gharama
 
Naongeza namba 12.Unaoga maji hayatoki kwenye kishimo cha kutolea maji machafu,unaanza kutembea kwa kuchuchumia...
Aisee hii ilinitokea logde moja maeneo ya Nyegezi Mwanza.
Naoga maji hayaendi..makohozi,nywele,minyoo mikubwa kama mizizi na kila aina uchafu vikaanza kuibuka.

Ilibidi nisimame juu ya sink la choo ndo nioge..asubuhi ilipofika nduki bila kuaga.
 
Watanzania hatuwezi kuendesha biashara tuna waza ngono 24hrs na story za umbea mda wote tuna shida kubwa sana kwenye business administration kama nchi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio tu Tanganyika kaka, nenda Songwe - Kibaoni. Ndio sehemu nimeona kuna lodge za gharama lakini za hovyo sana. Nilishawahi kukaa kwenye lodge kubwa pale mjini 30,000 room kwa 25,000 llakini ukiingia ndani maji unawekewa kwenye jaba, yakiisha inabidi utoke kuomba ujaziwe maji. Yaani hata kuoga unaogopa, Tv geresha tu yaani kero kibao ila bei zao zimechangamka.
Hiyo ipo Kilosa
 
Kuna kipindi nilikua mwanza ikabidi nichukue chumba maeneo ya nyegezi kwa ajili ya kuwahi usafiri
Nikaenda hotel moja inaitwa "Passion hotel" ile hotel chumba nilichukua 35k ila cha ajabu maji yakawa hayatoki bafuni ikabidi nimfate mhudumu akaishia kunijibu kwamba kama hayatoki unachukua ndoo unaenda kuchota chini kwenye kisima unapump ukizingatia nilikua vyumba vya ghorofani
Mda huo huo nikamwambia rudisha pesa haraka kabla haijawa vurugu, ikabidi nichukue pesa niende lodge nyingine za karibu nilipata huduma nzuri sana zaidi ya hotel ile ya kijinga tena kwa bei ya kawaida ya 20k.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah
 
Back
Top Bottom