Asante...Duh [emoji849][emoji849] wew utakuw umeend kukagua lodge
Mimi hizo lodge tatzo langu kubwa ni wao kukodsha chin ya masaa24
Natak lodge mtu akiigia saa 2 usiku hadi kesho saa usiku
HahahahahahahHii ndiyo shida yenu watumishi wa umma. Unalipwa hela nzuri unaishia kulala lodge, kwa nini usiende hotelini?
Ahahahaha apo kama ni usiku mmoja ndo unalala.Siku moja nilisafiri nikakutana na hii lodge.
Sikugusa chochote humo ndani.View attachment 2653324View attachment 2653325
Tatizo la wabongo ni wapumbavu sana tunaridhika san na vipato, yaani kisa analaza doo ndefu anaongea atakavyo.Kilikua kibinti fulani hv cheusi...kina dharau sana.
Nilimpotezea tuTatizo la wabongo ni wapumbavu sana tunaridhika san na vipato, yaani kisa analaza doo ndefu anaongea atakavyo.
Pole sana sana, hii Hali inakera sana especially unapokua ume-import dah! Pole naelewa maumivu uliyoyapata ukijaribu ku-recover pesa YakoKitanda kinatoa milio
Anhaa ni ile ya Jiji, sijuagi inaitwa nini na imepewa muwekezaji gani.Best Western City Hotel ipo katikati ya mji pembeni ya TRA.
Luxury Accommodation in Dodoma | Best Western Dodoma City Hotel
Discover a world of luxury and comfort at Best Western Dodoma City Hotel. Experience exceptional hospitality, elegant rooms, and a range of amenities for a memorable stay in Dodoma.www.bestwesterndodoma.co.tz
Anhaa sawa. 😅Wadanganye washamba wenzio labda.....Hoteli zenye hadhi ya nyota nne kama St Gaspar(yenye presidential suite ndani),Morena,Dodoma Hotel,Royal Village,Best Western City Hotel unasema takataka 😀😀😀
Huyo alienda kwenye guest houses ndio akakutana na hizo changamoto sio Hoteli. Tofautisha hadhi ya guest house,lodge na Hotel
Kitanda kinapiga kelele sio?Sometimes mtu anasafiri analazimika kuchukua chumba lodge Kwa sababu mbalimbali ikiwemo ukaribu wa anapokwenda mfano kikazi mtu atachukua lodge karibu na ofisi, au ukumbi wa mikutano na kadhalika. Sometimes kwa sababu ya lodge zingine kuwa zimejaa n.k..
Lakini sasa unaona lodge nzuri Kwa nje na hata ndani Kwa macho unaona iko Sawa, unalipia ulale unashangaa na unayo kutana nayo.
1. Feni inapiga kelele.
2. Bomba bovu maji yanatiririka bafuni.
3. Vitasa vibovu.
4. Mlango wa bafuni haufungi.
5. Taa bafuni haiwaki
6. Kitanda kinatoa milio
7. Mto ngumu Sana au mlaini Sana..
8. Feni haipungui wala kuongezeka Ama uwashe au uzime.
9. AC inapiga kelele
10. Tiles bafuni zina kutu.
11. Wahudumu Wana makelele.
Mradi matatizo ni mengi ambayo mtu anaejali biashara yake ni rahisi kabisa kutatua.
Nashauri kama mtu unamiliki lodge au kuendesha uweke utaratibu wa kulala wewe mwenyewe kila chumba Kwa mda Fulani ukague ujirishishe na huduma unazotoa.
Kuna lodge chumba kimoja kina joto kuliko chumba kingine Nakadhalika.
Kuweni serious, lodge ni sehemu ya mteja kulala comfortable sio kuwaza wateja wote wanaenda kwa ngono tu na kuondoka.
Wabongo asilimia kubwa tunalaumu bila kujua maana ya vitu.Hebu toa elimu zaidi please
Sio tu Tanganyika kaka, nenda Songwe - Kibaoni. Ndio sehemu nimeona kuna lodge za gharama lakini za hovyo sana. Nilishawahi kukaa kwenye lodge kubwa pale mjini 30,000 room kwa 25,000 llakini ukiingia ndani maji unawekewa kwenye jaba, yakiisha inabidi utoke kuomba ujaziwe maji. Yaani hata kuoga unaogopa, Tv geresha tu yaani kero kibao ila bei zao zimechangamka.Kuna maeneo huko 'Tanganyika', hiyo ndio lodge bora zaidi, ambayo wakazi wa eneo hilo wanaikubali kuwa iko kwenye hali nzuri.
Duh hao wadau wanafanyanaje iyo sex adi hali inakuwa hivyo jmn duh iyo si vita sasa😂😂😂Umenikumbusha sehemu moja hapo niliwahi kuwa sehemu ya umiliki wa lodge,, ebanaeee tukajifanya magodoro hatuyawekei cover😂😂 Tanfoam za maana zilipigwa maji km mara mbili godoro chali na godoro likinywa maji kukauka ni shughuli pevu, Kuna siku tulikuta maji mpaka mlangoni, mashuka yametota mito haifai godoro hilo ndo lilikuwa linatema maji tu kudadeki kuna watu ni kufuru, tulitafuta cover kwa dharula aisee
hao ndo wamba sasa🤣Ukichungulia uvunguni unakutana ndom mbichi ina mbegu
Daaah toka nilale guest moja Dodoma zamani kidogo karibu na Nyerere square nikakuta kitanda kina nywele nywele za mawigi,mlango kitasa kibovu nimekoma kabisa kulala guest mpk leoSometimes mtu anasafiri analazimika kuchukua chumba lodge Kwa sababu mbalimbali ikiwemo ukaribu wa anapokwenda mfano kikazi mtu atachukua lodge karibu na ofisi, au ukumbi wa mikutano na kadhalika. Sometimes kwa sababu ya lodge zingine kuwa zimejaa n.k..
Lakini sasa unaona lodge nzuri Kwa nje na hata ndani Kwa macho unaona iko Sawa, unalipia ulale unashangaa na unayo kutana nayo.
1. Feni inapiga kelele.
2. Bomba bovu maji yanatiririka bafuni.
3. Vitasa vibovu.
4. Mlango wa bafuni haufungi.
5. Taa bafuni haiwaki
6. Kitanda kinatoa milio
7. Mto ngumu Sana au mlaini Sana..
8. Feni haipungui wala kuongezeka Ama uwashe au uzime.
9. AC inapiga kelele
10. Tiles bafuni zina kutu.
11. Wahudumu Wana makelele.
Mradi matatizo ni mengi ambayo mtu anaejali biashara yake ni rahisi kabisa kutatua.
Nashauri kama mtu unamiliki lodge au kuendesha uweke utaratibu wa kulala wewe mwenyewe kila chumba Kwa mda Fulani ukague ujirishishe na huduma unazotoa.
Kuna lodge chumba kimoja kina joto kuliko chumba kingine Nakadhalika.
Kuweni serious, lodge ni sehemu ya mteja kulala comfortable sio kuwaza wateja wote wanaenda kwa ngono tu na kuondoka.
Aisee hii ilinitokea logde moja maeneo ya Nyegezi Mwanza.Naongeza namba 12.Unaoga maji hayatoki kwenye kishimo cha kutolea maji machafu,unaanza kutembea kwa kuchuchumia...
Hiyo ipo KilosaSio tu Tanganyika kaka, nenda Songwe - Kibaoni. Ndio sehemu nimeona kuna lodge za gharama lakini za hovyo sana. Nilishawahi kukaa kwenye lodge kubwa pale mjini 30,000 room kwa 25,000 llakini ukiingia ndani maji unawekewa kwenye jaba, yakiisha inabidi utoke kuomba ujaziwe maji. Yaani hata kuoga unaogopa, Tv geresha tu yaani kero kibao ila bei zao zimechangamka.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahKuna kipindi nilikua mwanza ikabidi nichukue chumba maeneo ya nyegezi kwa ajili ya kuwahi usafiri
Nikaenda hotel moja inaitwa "Passion hotel" ile hotel chumba nilichukua 35k ila cha ajabu maji yakawa hayatoki bafuni ikabidi nimfate mhudumu akaishia kunijibu kwamba kama hayatoki unachukua ndoo unaenda kuchota chini kwenye kisima unapump ukizingatia nilikua vyumba vya ghorofani
Mda huo huo nikamwambia rudisha pesa haraka kabla haijawa vurugu, ikabidi nichukue pesa niende lodge nyingine za karibu nilipata huduma nzuri sana zaidi ya hotel ile ya kijinga tena kwa bei ya kawaida ya 20k.