[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mnazikumbuka lodge za enzi zile. Corridor chumba huku chumba huku vyoo na bafu uani.
Mchepuko akitaka kujisaidia lazima umpeleke usije ukaporwa.
Huyo dada wa kusingiziwa kwann awape no zake hao wahudumu???Wamiliki wawe wanawapa short training wafanyakazi wao wajue hawapo hapo ku-facilitate fumanizi na umbeya.
Kuna jamaa amepata usumbufu toka kwa mtu asomjua akimtuhumu kutembea na mumewe baada ya kupewa namba toka Kwa wafanyakazi wa hiyo hotel .
Eti alienda na picha kwenye Simu akiuliza Huyu anakujaga hotel hii na Mwanamke, wafanyakazi wakajichanganya wakasema ndiyo,
Akawaambia nipeni namba ya huyo mwanamke wakatoa, Dada wa watu hana analojua anashangaa anatumiwa sms kwa mtu ambae hamjui kabisa.
Wapeni elimu ya usiri na privacy ya wateja.
Na itawasaidia kuepukana na unnecessary cases za kuitwa polisi na mahakamani Kama mashahidi.
Avoid giving information voluntarily because it can cost you much.
Wale jamaa wameridhika sana, wana uhakika hata wasipofanya kazi Tanzania bara tutawapa bajetiUnguja ni kesi nyingine, kama mfuko haujajaa hamna rangi utaacha kuona.
Trips za uanafunzi zilinifundisha jambo enzi hizo.
Unaandika Tarehe uliyokuja na Kuondoka Tarehe inayofuata, wakitaka ugomvi mwende Polisi tuAsante...
Hili walione. Mimi nikiambiwa masaa 24 nauliza kabisa ni hadi mda fulani kesho?
Huyo dada wa kusingiziwa kwann awape no zake hao wahudumu???
Sasa guest na hotel toa ufafanuzi watu waelewee.Wabongo asilimia kubwa tunalaumu bila kujua maana ya vitu.
Watu wengi wanalaumu mtu afikie lodge usifikie guest house bila kujua maana ya hivyo vyote viwili.
Sehemu kuwa Guest house hapahalalishi kuwa sehemu ya uchafu. Guest house hizi ni nyumba za wageni Kama maana yake ilivyo inatakiwa itoe hudumua ya kulala tu mgeni kafika kwenye mji anafikia guest house saa nne unatoka unaendelea na Safari yako au unaenda Kwa wenyeji wako Kama ulifika usiku. Mtu anataka guest house akae Kama hotelini masaa 24 hizo zina vibali vyake sio wanajipangia wenyewe.
Hii ndio maana ake wabongo wamegeuza guest house nyumba za ufuska. Na wanaona sahihi pawe pachafu .
Oooh hapo sawa.Amekuwa akiwapigia Simu mara Kwa mara wakati anapofanya booking ya chumba sababu huwa anatembelea eneo husika regularly kwa sababu zake za msingi.
Hili la Neti kuchanika na kufungwa mafundo fundo lilinikuta kwenye lodge fulani Mbezi lousi pembeni mwa Kinyerezi Road.30. Neti imetoboka na imefungwangwa mafundo ya matundu au imeshonwa na ni chafu ukiigusa tu lazma upige chafya na upate mafua.
31. Shuka zina madoadoa, godoro lina madoadoa ya kutisha (nashauri epuka kufunua funua shuka kuona hali ya godoro, maana usingiz utatoweka) na limebonyea mno katikati hadi mbavu au mgongo unagusa chaga.
32. Taulo zina uvundo
🤓hii kitu si masihara ndugu ni hatari sana kwa usalama na afya 😂Hili la Neti kuchanika na kufungwa mafundo fundo lilinikuta kwenye lodge fulani Mbezi lousi pembeni mwa Kinyerezi Road.
Kulikuwa na Mbu wengi sana, nikajaribu kuweka neti ikakataa kuenea kutokana na ufupi wa kufungwa mafundo, halafu sikuwa na shuka, nililazimika kulala huku nimeguswa na neti mithilibya shuka.
Asubuhi palipokucha niliacha Waraka mezani wa kuwataka watatue hizo kero!
Mkuu zipo nzuri. Tembea utaonaTunduma kuna hotel mbayaaaaaaaaaaaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hili la Neti kuchanika na kufungwa mafundo fundo lilinikuta kwenye lodge fulani Mbezi lousi pembeni mwa Kinyerezi Road.
Kulikuwa na Mbu wengi sana, nikajaribu kuweka neti ikakataa kuenea kutokana na ufupi wa kufungwa mafundo, halafu sikuwa na shuka, nililazimika kulala huku nimeguswa na neti mithilibya shuka.
Asubuhi palipokucha niliacha Waraka mezani wa kuwataka watatue hizo kero!
Tunduma ni kamji flani kakipuuzi mnooTunduma kuna hotel mbayaaaaaaaaaaaaa
Vita ya majimaji ile ilikuwa ni too much sijapata kuonaDuh hao wadau wanafanyanaje iyo sex adi hali inakuwa hivyo jmn duh iyo si vita sasa
Naunga mkono hoja- Tatizo bei unazotaka kulipa, huwezi lipa 50, 000 ukakuta hiz shida hapo juu, guest za 15,000 hizo ndo sifa zake
[emoji23]huduma yake kazini ni mbayaHuyo manzi namfahamu ana mbunye tamu balaa