Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Mkuu niliingia humo saa sita usiku baada ya kukosa options zote,nisingeweza kulala stand.Mkuu unawezaje hata kuingia humu? Kulikuwa hakuna sehem nyingine ya kulala? Hizi pesa za lodge ni vyema kulala sehem nzuri maana unaweza kubana na usifanyie la maana
Sometimes mtu anasafiri analazimika kuchukua chumba lodge Kwa sababu mbalimbali ikiwemo ukaribu wa anapokwenda mfano kikazi mtu atachukua lodge karibu na ofisi, au ukumbi wa mikutano na kadhalika. Sometimes kwa sababu ya lodge zingine kuwa zimejaa n.k..
Lakini sasa unaona lodge nzuri Kwa nje na hata ndani Kwa macho unaona iko Sawa, unalipia ulale unashangaa na unayo kutana nayo.
1. Feni inapiga kelele.
2. Bomba bovu maji yanatiririka bafuni.
3. Vitasa vibovu.
4. Mlango wa bafuni haufungi.
5. Taa bafuni haiwaki
6. Kitanda kinatoa milio
7. Mto ngumu Sana au mlaini Sana..
8. Feni haipungui wala kuongezeka Ama uwashe au uzime.
9. AC inapiga kelele
10. Tiles bafuni zina kutu.
11. Wahudumu Wana makelele.
Mradi matatizo ni mengi ambayo mtu anaejali biashara yake ni rahisi kabisa kutatua.
Nashauri kama mtu unamiliki lodge au kuendesha uweke utaratibu wa kulala wewe mwenyewe kila chumba Kwa mda Fulani ukague ujirishishe na huduma unazotoa.
Kuna lodge chumba kimoja kina joto kuliko chumba kingine Nakadhalika.
Kuweni serious, lodge ni sehemu ya mteja kulala comfortable sio kuwaza wateja wote wanaenda kwa ngono tu na kuondoka.
28. Kunguni kwenye kitanda27. Mwisho saa nne kukaa chumbani
30. Neti imetoboka na imefungwangwa mafundo ya matundu au imeshonwa na ni chafu ukiigusa tu lazma upige chafya na upate mafua.28. Kunguni kwenye kitanda
Fursa hiyo jitose kwenye biashara ya Lodge nzuri.Jenga zako nzuri upige pesaSometimes mtu anasafiri analazimika kuchukua chumba lodge Kwa sababu mbalimbali ikiwemo ukaribu wa anapokwenda mfano kikazi mtu atachukua lodge karibu na ofisi, au ukumbi wa mikutano na kadhalika. Sometimes kwa sababu ya lodge zingine kuwa zimejaa n.k..
Lakini sasa unaona lodge nzuri Kwa nje na hata ndani Kwa macho unaona iko Sawa, unalipia ulale unashangaa na unayo kutana nayo.
1. Feni inapiga kelele.
2. Bomba bovu maji yanatiririka bafuni.
3. Vitasa vibovu.
4. Mlango wa bafuni haufungi.
5. Taa bafuni haiwaki
6. Kitanda kinatoa milio
7. Mto ngumu Sana au mlaini Sana..
8. Feni haipungui wala kuongezeka Ama uwashe au uzime.
9. AC inapiga kelele
10. Tiles bafuni zina kutu.
11. Wahudumu Wana makelele.
Mradi matatizo ni mengi ambayo mtu anaejali biashara yake ni rahisi kabisa kutatua.
Nashauri kama mtu unamiliki lodge au kuendesha uweke utaratibu wa kulala wewe mwenyewe kila chumba Kwa mda Fulani ukague ujirishishe na huduma unazotoa.
Kuna lodge chumba kimoja kina joto kuliko chumba kingine Nakadhalika.
Kuweni serious, lodge ni sehemu ya mteja kulala comfortable sio kuwaza wateja wote wanaenda kwa ngono tu na kuondoka.
Hivi vya 10000 i bet..khaa🙌Siku moja nilisafiri nikakutana na hii lodge.
Sikugusa chochote humo ndani.View attachment 2653324View attachment 2653325
Ilikuwa 10,000 ndio[emoji23][emoji23]Hivi vya 10000 i bet..khaa[emoji119]
Sio kila mtu anaweza kufanya biasharaFursa hiyo jitose kwenye biashara wa Lodge nzuri.Jenga zako nzuri upige pesa
Badala ya kukaa unalaumu humu watu wenye lodge mbovu
Kuna maeneo huko 'Tanganyika', hiyo ndio lodge bora zaidi, ambayo wakazi wa eneo hilo wanaikubali kuwa iko kwenye hali nzuri.Hivi vya 10000 i bet..khaa🙌
Sio kwa kinaKuna maeneo huko 'Tanganyika', hiyo ndio lodge bora zaidi, ambayo wakazi wa eneo hilo wanaikubali kuwa iko kwenye hali nzuri.
Na mlango wa bafuni hakuna...kama kuna harufu basi kero tupuSiku moja nilisafiri nikakutana na hii lodge.
Sikugusa chochote humo ndani.View attachment 2653324View attachment 2653325
Nakazia- Tatizo bei unazotaka kulipa, huwezi lipa 50, 000 ukakuta hiz shida hapo juu, guest za 15,000 hizo ndo sifa zake