Wamiliki wa Migodi ya Shanta ni WaTanzania lakini wanayanyasaji sana

Wamiliki wa Migodi ya Shanta ni WaTanzania lakini wanayanyasaji sana

NewPage

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2021
Posts
1,321
Reaction score
2,106
WaAfrika sisi ni wajanja wajanja tu. Wamiliki wa Mgodi wa Shanta (WaChaga) ambao wana sites zao Singida, Mbeya na kwingineko wamekuwa miungu watu. Hawa jamaa wametuajiri bila kufuata taratibu za kisheria kwa kotokuruhusu sisi wafanyakazi tuwe na wenza wetu mahali pa kazi lakini pia hawatoi gharama za kutusafirisha kwa mujibu wa sheria tunapokuwa tunakuja kwenye migodi husika kama Sheria ya Ajira na Mahusiano Kazini inavyotaka. Hivi siku za karibuni hawa waChaga wamekuwa wanasingizia wafanyakazi tuhuma mbaya na kuwafukuza kazi bila kufuata taratibu za kisheria. Yaani mtu leo unaweza ukaamka tu ukaambiwa ati unahusika na bisahara ya dhahabu na kufukuzwa kazi.

Huko Mbeya mfanyakazi mwenzetu ambaye anahusika na mfumo wa ICT alifukuzwa kazi kwa manyanyaso makubwa ati kwa kuhisiwa ni mwizi kwa kuhusika kwake na mfumo wa CCTV kamera. Katika mgodi niliopo mimi wa Singida wafanyakazi zaidi ya watano wamefukuzwa kwa kusingiziwa eti wanahujumu uchumi kwa ajili ya kujihuisha na wizi wa dhahabu. Mwezi wa pili Kiongozi wa walinzi Daniel Mwita aliwalazimisha wafanyakazi wenezetu watatu akiwemo George Yuhulula, Paulo Mackenzie na Happiness Salon kuacha kazi kwa sababu ati wasingekubli kuacha kazi wangepewa kesi ya uhujumu uchumi kwani Serikali pia ilikuwa ikiuangalia mgodi huo kwa makini kutokana na matukio ya wizi yanayofanywa na wafanyakazi kama wao. Wafanyakazi hao kutokana na woga wamenyamaza kimya na kutufanya tuoliobaki tuendelee kunyanyasika wakati pengine wangejitokeza kueleza ukweli kwenye vyombo vya habari wangeweza kupata haki zao na kutusaidia sisi wengine tuliobaki tusiendelee kunyanyaswa kama ambavyo tunafanyiwa hivi. Kila siku ni kutishiwa tishiwa tu.

Pamoja na hayo ya kusingiziwa wafanyakazi husika tumekuwa tukifungiwa ndani na kulazimishwa kukiri makosa ambayo hatujayafanya na kwa kuwa baadhi yetu hatujui taratibu za kisheria basi hulazimika kuacha kazi au kuendelea kula manyanyaso.

Wito ni kwa Serikali kumulika migodi hii ya Shanta kwani wamiliki kwa kuwa hawajawahi kupelekwa kwenye vyombo va kutenda haki basi wanatunyanyasa sana wafanyakazi kwa tuhuma za uwongo na kutuumiza kwa kufokewa fokewa kama enzi za utumwa eti kwa kuwa tu mmetuajiri na mnatulipa.
 
WaAfrika sisi ni wajanja wajanja tu. Wamiliki wa Mgodi wa Shanta (WaChaga) ambao wana sites zao Singida, Mbeya na kwingineko wamekuwa miungu watu. Hawa jamaa wametuajiri bila kufuata taratibu za kisheria kwa kotokuruhusu sisi wafanyakazi tuwe na wenza wetu mahali pa kazi lakini pia hawatoi gharama za kutusafirisha kwa mujibu wa sheria tunapokuwa tunakuja kwenye migodi husika kama Sheria ya Ajira na Mahusiano Kazini inavyotaka. Hivi siku za karibuni hawa waChaga wamekuwa wanasingizia wafanyakazi tuhuma mbaya na kuwafukuza kazi bila kufuata taratibu za kisheria. Yaani mtu leo unaweza ukaamka tu ukaambiwa ati unahusika na bisahara ya dhahabu na kufukuzwa kazi.

Huko Mbeya mfanyakazi mwenzetu ambaye anahusika na mfumo wa ICT alifukuzwa kazi kwa manyanyaso makubwa ati kwa kuhisiwa ni mwizi kwa kuhusika kwake na mfumo wa CCTV kamera. Katika mgodi niliopo mimi wa Singida wafanyakazi zaidi ya watano wamefukuzwa kwa kusingiziwa eti wanahujumu uchumi kwa ajili ya kujihuisha na wizi wa dhahabu. Mwezi wa pili Kiongozi wa walinzi Daniel Mwita aliwalazimisha wafanyakazi wenezetu watatu akiwemo George Yuhulula, Paulo Mackenzie na Happiness Salon kuacha kazi kwa sababu ati wasingekubli kuacha kazi wangepewa kesi ya uhujumu uchumi kwani Serikali pia ilikuwa ikiuangalia mgodi huo kwa makini kutokana na matukio ya wizi yanayofanywa na wafanyakazi kama wao. Wafanyakazi hao kutokana na woga wamenyamaza kimya na kutufanya tuoliobaki tuendelee kunyanyasika wakati pengine wangejitokeza kueleza ukweli kwenye vyombo vya habari wangeweza kupata haki zao na kutusaidia sisi wengine tuliobaki tusiendelee kunyanyaswa kama ambavyo tunafanyiwa hivi. Kila siku ni kutishiwa tishiwa tu.

Pamoja na hayo ya kusingiziwa wafanyakazi husika tumekuwa tukifungiwa ndani na kulazimishwa kukiri makosa ambayo hatujayafanya na kwa kuwa baadhi yetu hatujui taratibu za kisheria basi hulazimika kuacha kazi au kuendelea kula manyanyaso.

Wito ni kwa Serikali kumulika migodi hii ya Shanta kwani wamiliki kwa kuwa hawajawahi kupelekwa kwenye vyombo va kutenda haki basi wanatunyanyasa sana wafanyakazi kwa tuhuma za uwongo na kutuumiza kwa kufokewa fokewa kama enzi za utumwa eti kwa kuwa tu mmetuajiri na mnatulipa.
 
WaAfrika sisi ni wajanja wajanja tu. Wamiliki wa Mgodi wa Shanta (WaChaga) ambao wana sites zao Singida, Mbeya na kwingineko wamekuwa miungu watu. Hawa jamaa wametuajiri bila kufuata taratibu za kisheria kwa kotokuruhusu sisi wafanyakazi tuwe na wenza wetu mahali pa kazi lakini pia hawatoi gharama za kutusafirisha kwa mujibu wa sheria tunapokuwa tunakuja kwenye migodi husika kama Sheria ya Ajira na Mahusiano Kazini inavyotaka. Hivi siku za karibuni hawa waChaga wamekuwa wanasingizia wafanyakazi tuhuma mbaya na kuwafukuza kazi bila kufuata taratibu za kisheria. Yaani mtu leo unaweza ukaamka tu ukaambiwa ati unahusika na bisahara ya dhahabu na kufukuzwa kazi.

Huko Mbeya mfanyakazi mwenzetu ambaye anahusika na mfumo wa ICT alifukuzwa kazi kwa manyanyaso makubwa ati kwa kuhisiwa ni mwizi kwa kuhusika kwake na mfumo wa CCTV kamera. Katika mgodi niliopo mimi wa Singida wafanyakazi zaidi ya watano wamefukuzwa kwa kusingiziwa eti wanahujumu uchumi kwa ajili ya kujihuisha na wizi wa dhahabu. Mwezi wa pili Kiongozi wa walinzi Daniel Mwita aliwalazimisha wafanyakazi wenezetu watatu akiwemo George Yuhulula, Paulo Mackenzie na Happiness Salon kuacha kazi kwa sababu ati wasingekubli kuacha kazi wangepewa kesi ya uhujumu uchumi kwani Serikali pia ilikuwa ikiuangalia mgodi huo kwa makini kutokana na matukio ya wizi yanayofanywa na wafanyakazi kama wao. Wafanyakazi hao kutokana na woga wamenyamaza kimya na kutufanya tuoliobaki tuendelee kunyanyasika wakati pengine wangejitokeza kueleza ukweli kwenye vyombo vya habari wangeweza kupata haki zao na kutusaidia sisi wengine tuliobaki tusiendelee kunyanyaswa kama ambavyo tunafanyiwa hivi. Kila siku ni kutishiwa tishiwa tu.

Pamoja na hayo ya kusingiziwa wafanyakazi husika tumekuwa tukifungiwa ndani na kulazimishwa kukiri makosa ambayo hatujayafanya na kwa kuwa baadhi yetu hatujui taratibu za kisheria basi hulazimika kuacha kazi au kuendelea kula manyanyaso.

Wito ni kwa Serikali kumulika migodi hii ya Shanta kwani wamiliki kwa kuwa hawajawahi kupelekwa kwenye vyombo va kutenda haki basi wanatunyanyasa sana wafanyakazi kwa tuhuma za uwongo na kutuumiza kwa kufokewa fokewa kama enzi za utumwa eti kwa kuwa tu mmetuajiri na mnatulipa.
Ninamfahamu Honest Mrema - jamaa mkorofi sana kwa kuwa ana hela! Lakini mwiho wa siku wote tutaenda tu kaburini
 
WaAfrika sisi ni wajanja wajanja tu. Wamiliki wa Mgodi wa Shanta (WaChaga) ambao wana sites zao Singida, Mbeya na kwingineko wamekuwa miungu watu. Hawa jamaa wametuajiri bila kufuata taratibu za kisheria kwa kotokuruhusu sisi wafanyakazi tuwe na wenza wetu mahali pa kazi lakini pia hawatoi gharama za kutusafirisha kwa mujibu wa sheria tunapokuwa tunakuja kwenye migodi husika kama Sheria ya Ajira na Mahusiano Kazini inavyotaka. Hivi siku za karibuni hawa waChaga wamekuwa wanasingizia wafanyakazi tuhuma mbaya na kuwafukuza kazi bila kufuata taratibu za kisheria. Yaani mtu leo unaweza ukaamka tu ukaambiwa ati unahusika na bisahara ya dhahabu na kufukuzwa kazi.

Huko Mbeya mfanyakazi mwenzetu ambaye anahusika na mfumo wa ICT alifukuzwa kazi kwa manyanyaso makubwa ati kwa kuhisiwa ni mwizi kwa kuhusika kwake na mfumo wa CCTV kamera. Katika mgodi niliopo mimi wa Singida wafanyakazi zaidi ya watano wamefukuzwa kwa kusingiziwa eti wanahujumu uchumi kwa ajili ya kujihuisha na wizi wa dhahabu. Mwezi wa pili Kiongozi wa walinzi Daniel Mwita aliwalazimisha wafanyakazi wenezetu watatu akiwemo George Yuhulula, Paulo Mackenzie na Happiness Salon kuacha kazi kwa sababu ati wasingekubli kuacha kazi wangepewa kesi ya uhujumu uchumi kwani Serikali pia ilikuwa ikiuangalia mgodi huo kwa makini kutokana na matukio ya wizi yanayofanywa na wafanyakazi kama wao. Wafanyakazi hao kutokana na woga wamenyamaza kimya na kutufanya tuoliobaki tuendelee kunyanyasika wakati pengine wangejitokeza kueleza ukweli kwenye vyombo vya habari wangeweza kupata haki zao na kutusaidia sisi wengine tuliobaki tusiendelee kunyanyaswa kama ambavyo tunafanyiwa hivi. Kila siku ni kutishiwa tishiwa tu.

Pamoja na hayo ya kusingiziwa wafanyakazi husika tumekuwa tukifungiwa ndani na kulazimishwa kukiri makosa ambayo hatujayafanya na kwa kuwa baadhi yetu hatujui taratibu za kisheria basi hulazimika kuacha kazi au kuendelea kula manyanyaso.

Wito ni kwa Serikali kumulika migodi hii ya Shanta kwani wamiliki kwa kuwa hawajawahi kupelekwa kwenye vyombo va kutenda haki basi wanatunyanyasa sana wafanyakazi kwa tuhuma za uwongo na kutuumiza kwa kufokewa fokewa kama enzi za utumwa eti kwa kuwa tu mmetuajiri na mnatulipa.
Dah hawa Shanta kumbe ni wachaga aisee ,Hao si ndio wanamiliki na mgodi chunya?
 
Kwa Tanzania kesi kama hizi kupata haki ni ngumu. Ma afisa wa idara ya kazi wakija hapo watapewa rushwa wakae kimya
Tatizo wafanyakazi wa Tanzania ni kama makondoo tu, hawajui haki zao wenyewe wafanywe chochote wapo twende tu. Halfu wao ni kupigana tu majungu ili kuzongania mavyeo
 
Duuh hawa jamaa nafahamu ofisi zao hapo masaki kuna kipindi nilikuwa nadeal nao.
Any way makazini ukiwa mnyonge utanyongwa hasa.
 
Mgodi unapataje mamlaka ya kutoa hukumu kwa mtuhumiwa?
Kazi ya Mahakama itakua nini kama wao wanatoa hukumu na kufukuza wafanya kazi?

Wafanyakazi wote waliofukuzwa kwa tuhuma ambazo hazijathibitishwa na Mahakama,wana haki ya kurudishwa kazini na kulipwa fidia.
 
Shanta inamilikiwa na nini we jamaa?

Acha kupotosha watu. Kama hujui kitu kaa kimya.

Hao kina Honest ni wamiliki au waajiriwa kama wewe tu?

Shida wabongo ni wezi. Matokeo yake mmeshachukulia kuiba kazini ni sehemu ya maisha ya kazi.

Mleta uzi leta ushahidi kama unahakika
 
WaAfrika sisi ni wajanja wajanja tu. Wamiliki wa Mgodi wa Shanta (WaChaga) ambao wana sites zao Singida, Mbeya na kwingineko wamekuwa miungu watu. Hawa jamaa wametuajiri bila kufuata taratibu za kisheria kwa kotokuruhusu sisi wafanyakazi tuwe na wenza wetu mahali pa kazi lakini pia hawatoi gharama za kutusafirisha kwa mujibu wa sheria tunapokuwa tunakuja kwenye migodi husika kama Sheria ya Ajira na Mahusiano Kazini inavyotaka. Hivi siku za karibuni hawa waChaga wamekuwa wanasingizia wafanyakazi tuhuma mbaya na kuwafukuza kazi bila kufuata taratibu za kisheria. Yaani mtu leo unaweza ukaamka tu ukaambiwa ati unahusika na bisahara ya dhahabu na kufukuzwa kazi.

Huko Mbeya mfanyakazi mwenzetu ambaye anahusika na mfumo wa ICT alifukuzwa kazi kwa manyanyaso makubwa ati kwa kuhisiwa ni mwizi kwa kuhusika kwake na mfumo wa CCTV kamera. Katika mgodi niliopo mimi wa Singida wafanyakazi zaidi ya watano wamefukuzwa kwa kusingiziwa eti wanahujumu uchumi kwa ajili ya kujihuisha na wizi wa dhahabu. Mwezi wa pili Kiongozi wa walinzi Daniel Mwita aliwalazimisha wafanyakazi wenezetu watatu akiwemo George Yuhulula, Paulo Mackenzie na Happiness Salon kuacha kazi kwa sababu ati wasingekubli kuacha kazi wangepewa kesi ya uhujumu uchumi kwani Serikali pia ilikuwa ikiuangalia mgodi huo kwa makini kutokana na matukio ya wizi yanayofanywa na wafanyakazi kama wao. Wafanyakazi hao kutokana na woga wamenyamaza kimya na kutufanya tuoliobaki tuendelee kunyanyasika wakati pengine wangejitokeza kueleza ukweli kwenye vyombo vya habari wangeweza kupata haki zao na kutusaidia sisi wengine tuliobaki tusiendelee kunyanyaswa kama ambavyo tunafanyiwa hivi. Kila siku ni kutishiwa tishiwa tu.

Pamoja na hayo ya kusingiziwa wafanyakazi husika tumekuwa tukifungiwa ndani na kulazimishwa kukiri makosa ambayo hatujayafanya na kwa kuwa baadhi yetu hatujui taratibu za kisheria basi hulazimika kuacha kazi au kuendelea kula manyanyaso.

Wito ni kwa Serikali kumulika migodi hii ya Shanta kwani wamiliki kwa kuwa hawajawahi kupelekwa kwenye vyombo va kutenda haki basi wanatunyanyasa sana wafanyakazi kwa tuhuma za uwongo na kutuumiza kwa kufokewa fokewa kama enzi za utumwa eti kwa kuwa tu mmetuajiri na mnatulipa.

Sikatai kuwa kuna uwezekano mkubwa wa kuwapo unyanyasaji, lakini pia ni jambo lisilopingika kuwa wafanyakazi wengi ni wezi wakubwa, yaani anataka kutajirika kwa kupitia mtaji wa aliyewekeza. Kwa mazingira kama hayo unategemea mwekezaji atulie aibiwe? Hata ungekuwa wewe ungekuwa mkali kulinda mali yako kutoka kwa viwavi.
Kama watu wameonewa wafuate sheria na tatartibu watapata haki, ukiona kimya ujue hawajaonewa ni wezi kweli.
 
Shanta inamilikiwa na nini we jamaa?

Acha kupotosha watu. Kama hujui kitu kaa kimya.

Hao kina Honest ni wamiliki au waajiriwa kama wewe tu?

Shida wabongo ni wezi. Matokeo yake mmeshachukulia kuiba kazini ni sehemu ya maisha ya kazi.

Mleta uzi leta ushahidi kama unahakika
kabisa wabongo kwa wizi ni shida, ukilemaa wataiba hadi vijiko vya kukorogea chai, tuweke mahakama ya kadhi tu ndio dawa, somalia pamoja na shida zao hakuna wizi
 
mkuu mimi nakushauri tu tafuta zako mtaji utoke hapo

usije ukadhani utakuja uishi vizuri kwenye kampuni ya watu

ata sisi tulioajiriwa kwenye makampuni binafsi tunaugulia lakini hatuna namna sababu kuna target tumeziweka so unatakiwa kuwa mpole mpaka target zako zikamilike then unatoka hapo na kuanza maisha mapya
 
Sometimes watanzania tuna tabia mbaya ya kukosa uaminifu hili ni tatizo kubwa sana. Ila km kweli mnaonewa fikisheni madai yenu kwa mamlaka husika bila shaka mtapata haki yenu.
 
Back
Top Bottom