Lyambalyetu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2021
- 278
- 255
Inaitwa kujiongeza!kabisa wabongo kwa wizi ni shida, ukilemaa wataiba hadi vijiko vya kukorogea chai, tuweke mahakama ya kadhi tu ndio dawa, somalia pamoja na shida zao hakuna wizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaitwa kujiongeza!kabisa wabongo kwa wizi ni shida, ukilemaa wataiba hadi vijiko vya kukorogea chai, tuweke mahakama ya kadhi tu ndio dawa, somalia pamoja na shida zao hakuna wizi
Inawezekana Wachaga ndiyo wametawala kampuni hiiUkisema ni Watanzania haitoshi au hadi useme ni Wachagga? Acha ukabila; ni bora ungesema ni Watanganyika
Huyu atajuaje mambo ya umiliki?Shanta inamilikiwa na nini we jamaa?
Acha kupotosha watu. Kama hujui kitu kaa kimya.
Hao kina Honest ni wamiliki au waajiriwa kama wewe tu?
Shida wabongo ni wezi. Matokeo yake mmeshachukulia kuiba kazini ni sehemu ya maisha ya kazi.
Mleta uzi leta ushahidi kama unahakika
Well saidTz mfumo wa ajira hasa sekta binafs umekaa hovyo sana ,,,,, ! Hakuna mikataba, hakuna kufata sheria, hakuna over time, full manyanyaso, na ukionekana kiherehere chap unapigwa chini na hakuna Chenye utawafanya,,,,, mbaya zaidi maboss huwa wanaweka machawa miongoni mwenu kama wafanyakazi ,,,, ushauri, jifanye mjinga komaa baada ya mda kajiajiri mwenyewe, usishindane na mwenye hela