Wamiliki wa Migodi ya Shanta ni WaTanzania lakini wanayanyasaji sana

kabisa wabongo kwa wizi ni shida, ukilemaa wataiba hadi vijiko vya kukorogea chai, tuweke mahakama ya kadhi tu ndio dawa, somalia pamoja na shida zao hakuna wizi
Inaitwa kujiongeza!
 
Huyu atajuaje mambo ya umiliki?
 
Tz mfumo wa ajira hasa sekta binafs umekaa hovyo sana ,,,,, ! Hakuna mikataba, hakuna kufata sheria, hakuna over time, full manyanyaso, na ukionekana kiherehere chap unapigwa chini na hakuna Chenye utawafanya,,,,, mbaya zaidi maboss huwa wanaweka machawa miongoni mwenu kama wafanyakazi ,,,, ushauri, jifanye mjinga komaa baada ya mda kajiajiri mwenyewe, usishindane na mwenye hela
 
Well said
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…