KijanaHuru
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 1,822
- 2,320
Habari za muda huu wana jf,
Natumaini ni wazima wa Afya njema na mko salama kabisa, Nitaenda moja kwa moja juu ya mada yangu
Ulimwengu unakua kwa kasi kubwa sana huku teknolojia ikiwa msitari wa mbele kabisa katika kuongoza ukuaji wa dunia.
sasa ni kitu gani kwa watu wa shule binafsi mnaweza kunufaika katika hili?
Kuna mifumo inatengenezwa ya mitandao ambapo unaweza kufanya kazi zako muhimu za kiofisi zikikuunganisha mmiliki wa shule pamoja na wazazi wa watoto ambao ndio wanafunzi wako.
Huu mfumo unaendeshwa kwa vitu vikubwa viwili, Desktop App Pamoja na Mobile App,
wazazi wanakuwa na mobile app katika simu zao ambapo wataweza kupata taarifa zozote kwa wakati wowote kutoka kwa walimu ikiwemo taarifa za matokeo, maarifa za ada na matangazo mbalimbali.
hii inasaidia kwa haraka sana katika kuwasiliana na wazazi wote kwa uhakika mkubwa na kwa uharaka zaidi,
wazazi watajisajiri katika app kwakutumia namba za wanafunzi wao za usajili katika shule, na utawala utathibitisha usajili wa wazazi husika.
kupitia mfumo huu shule itaweza kupanga matokeo kwa urahisi zaidi hata pamoja na kuyatuma kwa wazazi lakini na taarifa za uhakika baina ya wazazi na shule zitafika kwa urahisi kabisa.
shule wataweza kuendesha huu mfumo kwa kutumia vitu viwili desktop app pamoja na mobile app ila wazazi watakuwa na mobile app tu kwa upande wa android pamoja na iOS.
huu mfumo unatengenezwa na kufanyika hapa hapa nchini kwetu kwa viwango vya hali ya juu mno.
garama ni rafiki kabisa na zinazoendana kabisa na ubora wa bidhaa unayofanyiwa
kama mahali hapajaeleweka basi unaweza kuuliza hapa chini ama kwa biashara zaidi unaweza ukapiga simu namba 0714 56 79 29.
Natumaini ni wazima wa Afya njema na mko salama kabisa, Nitaenda moja kwa moja juu ya mada yangu
Ulimwengu unakua kwa kasi kubwa sana huku teknolojia ikiwa msitari wa mbele kabisa katika kuongoza ukuaji wa dunia.
sasa ni kitu gani kwa watu wa shule binafsi mnaweza kunufaika katika hili?
Kuna mifumo inatengenezwa ya mitandao ambapo unaweza kufanya kazi zako muhimu za kiofisi zikikuunganisha mmiliki wa shule pamoja na wazazi wa watoto ambao ndio wanafunzi wako.
Huu mfumo unaendeshwa kwa vitu vikubwa viwili, Desktop App Pamoja na Mobile App,
wazazi wanakuwa na mobile app katika simu zao ambapo wataweza kupata taarifa zozote kwa wakati wowote kutoka kwa walimu ikiwemo taarifa za matokeo, maarifa za ada na matangazo mbalimbali.
hii inasaidia kwa haraka sana katika kuwasiliana na wazazi wote kwa uhakika mkubwa na kwa uharaka zaidi,
wazazi watajisajiri katika app kwakutumia namba za wanafunzi wao za usajili katika shule, na utawala utathibitisha usajili wa wazazi husika.
kupitia mfumo huu shule itaweza kupanga matokeo kwa urahisi zaidi hata pamoja na kuyatuma kwa wazazi lakini na taarifa za uhakika baina ya wazazi na shule zitafika kwa urahisi kabisa.
shule wataweza kuendesha huu mfumo kwa kutumia vitu viwili desktop app pamoja na mobile app ila wazazi watakuwa na mobile app tu kwa upande wa android pamoja na iOS.
huu mfumo unatengenezwa na kufanyika hapa hapa nchini kwetu kwa viwango vya hali ya juu mno.
garama ni rafiki kabisa na zinazoendana kabisa na ubora wa bidhaa unayofanyiwa
kama mahali hapajaeleweka basi unaweza kuuliza hapa chini ama kwa biashara zaidi unaweza ukapiga simu namba 0714 56 79 29.