Super Sub Steve JF-Expert Member Joined Jul 9, 2011 Posts 17,404 Reaction score 10,900 Nov 30, 2018 #41 Hivi mtu binafsi inaruhusiwa kumiliki uwanja kama ule wa Taifa? Ngoja nitafute kiwanja nitengeneze asset Kwa ajili ya wajukuu zangu
Hivi mtu binafsi inaruhusiwa kumiliki uwanja kama ule wa Taifa? Ngoja nitafute kiwanja nitengeneze asset Kwa ajili ya wajukuu zangu
Prince Kunta JF-Expert Member Joined Mar 27, 2014 Posts 22,797 Reaction score 28,904 Dec 1, 2018 #42 Unamilikiwa na ccm Nleterewa Nganengo said: Hivi mmiliki wa 'uwanja wa taifa' ndio nani? Click to expand...
Unamilikiwa na ccm Nleterewa Nganengo said: Hivi mmiliki wa 'uwanja wa taifa' ndio nani? Click to expand...
mwangalingimungu JF-Expert Member Joined Jul 29, 2013 Posts 1,301 Reaction score 733 Dec 1, 2018 #43 logframe said: Siku mechi ikichezwa usiku tutarajie Taa kuzima mda wowote. Tumieni huo Uwanja mda wowote ili kukabili changamoto ndogo ndogo Click to expand... Changamoto kubwa ni ile ya asiyetakiwa kuwa anaendelea kushunda ndani ya uwanja huo.
logframe said: Siku mechi ikichezwa usiku tutarajie Taa kuzima mda wowote. Tumieni huo Uwanja mda wowote ili kukabili changamoto ndogo ndogo Click to expand... Changamoto kubwa ni ile ya asiyetakiwa kuwa anaendelea kushunda ndani ya uwanja huo.